CHADEMA twazidi kujiimarisha

CHADEMA twazidi kujiimarisha

Wilaya imeshiba rasilimali huku wananchi wa kahama wakiogelea kwenye umasikini. Mbwa nyie. Hata hamjitambui.
Yaani kwa pikipiki tu hizi 200 unaweweseka ama kweli naamini ma uvccm mna roho mbaya kama za green mamba
FB_IMG_1557991087182.jpeg
FB_IMG_1557991101132.jpeg
 
Unataka serikali ikupe pesa za kujenga nyumba? Uchumi wetu hapa Kahama tumeushika vijana kupitia kilimo, uchimbaji madini, biadhara n.k tunakuja na organization ya kusimamia na ku motivate shughuli za vijana nyinyi nunueni piki piki
Wilaya imeshiba rasilimali huku wananchi wa kahama wakiogelea kwenye umasikini. Mbwa nyie. Hata hamjitambui.
 
hizo siyo pikipiki nani kaziona yaani mmetuagizia mabomu muje mutu uweuwe tena kwenye chaguzi zijazo kweli mtasambaratika kama BABELI wanga nyie tena mkome
Hiki kiswahili cha kupuuzi yaonesha Lumumba kumejaa watu wa uwezo na uelewa mdogo kiasi gani
 
Kwanini msifanye mambo yenu kimya kimya masikini kupata matako huteseka mnawaringishia ccm hvo vingari hapo ndipo mnapoferi cdm poleni
 
Huku Kahama ni bora tuwachague CHAUMA kuliko ma chadema majizi, kelele nyingi, blah blah tupu,ukanda, ukabila. Huku hampati kitu wazee sisi sio wajinga wajinga
Hujitambui wewe unadhani hapa Tanzania ccm ndiye wenye haki ya kuishi pekee yao?
Hizo tabia za kinyarwanda
 
Majizi ni wale walio kwapua 1.5 trillion za walipa kodi
Huku Kahama ni bora tuwachague CHAUMA kuliko ma chadema majizi, kelele nyingi, blah blah tupu,ukanda, ukabila. Huku hampati kitu wazee sisi sio wajinga wajinga
 
Kimya kimya kwani tumeiba?wezi wa kodi za watanzania ndiyo mnaficha myafanyayo
Kwanini msifanye mambo yenu kimya kimya masikini kupata matako huteseka mnawaringishia ccm hvo vingari hapo ndipo mnapoferi cdm poleni
 
Yaani umejiunga leo hii jf ili kupinga na kuonyesha chuki yako dhidi ya mafanikio ya cdm maana naona ndiyo kwanza una post ya 38
Endelea kupiga mdomo humu mkuu ila kwa Kahama msahau kabisa yani futeni wala hatuwataki na hivyo vi piki piki labda mkajaribu kwingine huko
 
Back
Top Bottom