Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
- Thread starter
- #41
Mchambuzi unachambua sana bana.. waTZ wavivu kusoma ujue.
Ebu nishauri dada yangu, niwe nafanya nini ili iwe rahisi zaidi; nimewahi andika fupi, lakini naishia kuambiwa na baadhi ya watu kwamba its too shallow and falls short of a good analysis;