Chadema wanajua sana wanacho kifanya.
ila hawa jamaa nia yao ni kuichafua Tanzania kwa mataifa mengine kwa kisingizio cha demokrasia lkn nia yao ni kuvunja amani, wanatumiwa na maadui kuivuruga Tz, wanajua wanacho kifanya, hawana tofauti na WASALITI/VIBARAKA.
Kama Taifa imara viongozi wetu wanapaswa wawe makini kamwe wasiachie hawa wahuni wachache kuharibu taswira ya Taifa letu.