CHADEMA tambueni Tanzania ni dola huru, Marekani haina mamlaka kutetea uhalifu wa wanasiasa kama Mbowe

Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
peleka masaburi mbali kama mwendazake alishindwa na anaendelea kuliwa na funza usijidanganye you are not so free
 
Shida ya ccm inaongoza nchi kwa mawazo Yale Yale iliyoasisiwa nayo.awajui kizazi cha sasa kina global thinking na sio kile kilichofungwa fikra za kambi ya mashariki miaka ya 70 to late 80s
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Ukijua namna ya kutofautisha CCM na JMT utaanza kupata akili,tatizo ni CCM sio JMT.
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Dola huru unaujua
jiongeze, wewe unaejifanya unatafuta haki uliwahi kuona watoto wa Mbowe anakamatwa au mke wake uliwahi kumuona amekamatwa?! au amelala mahabusu?!
uliwahi kumuona mtoto wa Mbowe kashika bango? au uliwahi kumuona mke wa Myika, Mrema au Kibatala kashika bango anaandamana?!
jiongeze, tafuta maisha yako.
Akili ndogo sana hizi.
Kina Mandela na nyerere wangekuwa na akili kama hizi sijui ingekuwaje
 
Dola huru unaujua

Akili ndogo sana hizi.
Kina Mandela na nyerere wangekuwa na akili kama hizi sijui ingekuwaje
CCM inawapenda sana wasio na akili,hao mkuu achana nao.

Tunashughulika na watu wa ovyo kweli wenye akili zenye uwezo wa kutambua tu kama mvua au jua linawaka,IQ ni below level. Ndio maana kuua hawaoni taabu,ni kama wanyama tu km mbuzi na ng'ombe.
 
Chadema wanajua sana wanacho kifanya.

ila hawa jamaa nia yao ni kuichafua Tanzania kwa mataifa mengine kwa kisingizio cha demokrasia lkn nia yao ni kuvunja amani, wanatumiwa na maadui kuivuruga Tz, wanajua wanacho kifanya, hawana tofauti na WASALITI/VIBARAKA.

Kama Taifa imara viongozi wetu wanapaswa wawe makini kamwe wasiachie hawa wahuni wachache kuharibu taswira ya Taifa letu.

wala isikupe tab, hawa tunajua pa kuwabana na plaiz hawajaanza huu mchezo leo
 
hivi snowden anatokea taifa gani.Chadema mnapomlaumu rais kwanini amfutii mashtaka mbowe mnamtega rais ili avunje katiba ili hali mnajua mahakama haingiliwi.msubiri uwamuzi wa mahakama kama ninyi kweli mnafuata katiba
 
wala isikupe tab, hawa tunajua pa kuwabana na plaiz hawajaanza huu mchezo leo
Zaidi ya kutumia jeshi CCM ni kama genge la wahuni,mnatumia nguvu wenzenu wanatumia akili.

Mtabanwa kimataifa mpaka tuwe kama Zimbabwe ya Mugabe. Tena afadhali Mugabe alikuwa smart,nyie wenye bongo makalioni ni miezi miwili tu ya mminyo mnakuwa na hali mbaya kuliko Zimb.
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Ndugu, Taifa 'huru' linalotetea makandamizaji kama haya, limeshapotea, liko kando ya njia ya haki

1628240312931.png
 
Mnataka kutoa macho kuwa ziara ya Waziri wa masuala ya siasa wa Usa Ms Nuland kama nafasi ya kupenyeza kilio chenu cha uongo kuwa kuna ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ugamizwaji wa haki za wanasiasa. Huku mkitolea mfano ishu ya mwenyekiti Mbowe.

Tambueni tu kuwa hili ni taifa huru na dola huru. Ambalo linamalaka kamili ya utawala. Kama kuna mwanasiasa au raia atafanya makosa basi atakuwa arrested and arraigned in court.

My take: Someni ibara ya 1 ya katiba ya JMT.
Taifa 'huru' linalotetea makandamizaji kama haya, limeshapotea, liko kando ya njia ya haki

View attachment 1882581
 
Back
Top Bottom