Kutoka chuo cha Mt Augustino Mwanza, ni wanafunzi wa sheria alievaa t-shirt yenye picha ya Lissu anaitwa Kilemile Rajabu alikaa ndani siku 29 kwa makosa ya uhaini na uchochezi na aliesimama pembeni anaitwa Maulidi khamis, huyu alihakikisha katika hizo siku 29 Rafiki yake anapata mahitaji yote ya msingi akiwa polisi hadi pale alipoachiwa huru.
Jana wamefanikiwa kumaliza mitihani yao ya mwisho ya sheria hapo chuoni Inshaallah hawa ni mawakili wa baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.