CHADEMA sasa yawaadhibu wananchi: NAPE

CHADEMA sasa yawaadhibu wananchi: NAPE

JF members

Nimeisikia hii habari via TBC[SUB]1[/SUB] magezeti asubuhi hii kuwa Nape anasema baada ya CHADEMA kushindwa kwenye uchaguzi ulio pita sasa kimeamua kuuwaadhibu wananchi kwa kupitia vurugu zinazoendelea nchini

My take:
Naomba sana tuwe wakweli Mfano hizi vurugu zilizo fanyika MBY kwa masaa zaidi ya 30 mfululizo chanzo chake nini ?

Ukweli ni kwamba watu hasa machinga walichoka kunyanyaswa na migambo wa jiji ambao walikuwa wakiwafukuza ktk maeneo yao ya kazi na kuwafukuzia ambako hata wao ( migambo) hawakujui

Pili migambo kumwaga michele, mbogamboga, matunda ya akina mama ambayo wanauza kando ya barabara

Tatu wenye maduka kuwazuia kabisa kutoa bidhaa yeyote ya dukani nje kama sample othewise wanachukua hiyoo bidhaa eg nguo

Nne huu ni mwezi wa mavuno kwa machinga kwani tunaelekea kwenye sikukuu

NAOMBA SANA TUWE WAKWELI SI KILA JAMBO NI SIASA MENGINE NI MASUALA YA KAWAIDA SANA AMBAYO VIONGOZI WA JIJI WALISHINDWA KUYA WEKA SAWA MAPEMA
Siasa za karne hii hazitaki ubabaishaji kwa maana wanaofanya tathmini ya kauli za kisiasa ni wananchi wenyewe, yeye na ccm yao bado wanafikiri wananchi wanadanganyika kama ilivyokuwa zamani zile, kwa tahadhari tu kwa Nape na ccm yake kila kauli za hovyo zinapotolewa nao zinawagharimu, niliwahi kusema ccm kinahitaji political consultant wa kimataifa sio kina Mukama ili wajifunze jinsi ya kuukabili umma.
 
Ndugu Duble Chris wala usihangaike kumuelekeza asiyejua kuwa hajui ni heri angekuwa anafahamu kuwa hajui. Ila wananchi wa Mbeya wanafahamu tatizo ni wao kina Omr na wanaofikiri kama yeye kuwa wtz ni mambumbumbu kuliko wao
 
JF members

Nimeisikia hii habari via TBC[SUB]1[/SUB] magezeti asubuhi hii kuwa Nape anasema baada ya CHADEMA kushindwa kwenye uchaguzi ulio pita sasa kimeamua kuuwaadhibu wananchi kwa kupitia vurugu zinazoendelea nchini

My take:
Naomba sana tuwe wakweli Mfano hizi vurugu zilizo fanyika MBY kwa masaa zaidi ya 30 mfululizo chanzo chake nini ?

Ukweli ni kwamba watu hasa machinga walichoka kunyanyaswa na migambo wa jiji ambao walikuwa wakiwafukuza ktk maeneo yao ya kazi na kuwafukuzia ambako hata wao ( migambo) hawakujui

Pili migambo kumwaga michele, mbogamboga, matunda ya akina mama ambayo wanauza kando ya barabara

Tatu wenye maduka kuwazuia kabisa kutoa bidhaa yeyote ya dukani nje kama sample othewise wanachukua hiyoo bidhaa eg nguo

Nne huu ni mwezi wa mavuno kwa machinga kwani tunaelekea kwenye sikukuu

NAOMBA SANA TUWE WAKWELI SI KILA JAMBO NI SIASA MENGINE NI MASUALA YA KAWAIDA SANA AMBAYO VIONGOZI WA JIJI WALISHINDWA KUYA WEKA SAWA MAPEMA
Samahani mkuu, hivi hizi sheria za mji zilipitishwa na nani?...
 
jamani mnasema Nape ni graduate wa chuo kimoja wapo nchini india, ila ninavyojuwa mimi nape alipa D mbili mtihani wa form four , D ya kiswahili na D ya civics akaanza kutafuta alisit pale perfect vision, alifanikiwa kupata baada ya miaka miwili na baadaye sijui alisoma wapi A level , sasa mtu mwenye uwezo wa kupata D mbili nafikiri haina haja ya kumjadili, lakini hata JK naye alipata division 3 ya mwisho Tanga school form 6 na gentleman degree mlimani, hivyo kilaza kwa kilaza
 
jamani mnasema Nape ni graduate wa chuo kimoja wapo nchini india, ila ninavyojuwa mimi nape alipa D mbili mtihani wa form four , D ya kiswahili na D ya civics akaanza kutafuta alisit pale perfect vision, alifanikiwa kupata baada ya miaka miwili na baadaye sijui alisoma wapi A level , sasa mtu mwenye uwezo wa kupata D mbili nafikiri haina haja ya kumjadili, lakini hata JK naye alipata division 3 ya mwisho Tanga school form 6 na gentleman degree mlimani, hivyo kilaza kwa kilaza
Lula de Silva, Jacob Zuma, Wilbroad Slaa,Lema. Kubenea....
 
by chomete
hili jamaa linatumia masaburi kweli cjui lini atapevuka, mtazamo wake na uwezo wake nina mashaka nao ana hitaji msaada wa maombi
by Mgibeon
Ameacha kutumia KAROLAITI?

by Mumwi
Hili jamaa lilishaombewaga sana pale Amana lakini ndo linazidi kuchanganyikiwa labda lilipata laana mahali.
by Mhutu
kuhusu ushoga, yeye mwenyewe Nape ameshaacha kujichubua?
by Memo
Hahahahaa!
Nasikia amesafiri kwenda UK kuonana na David Cameroon
by makamuzi
Nape ni mropokaji tu.David Cameroun ilnabid awaanzie yeye pamoja na Kikwete
by GAGAGIGIKOKO
Nape, siasa haziwezi. Ni makamba mpya. Shame upon it! (NAPE)

Jamani, kwani kutofautiana mitazamo ni ugomvi? Mbona tunafikia hatua
ya kumdhalilisha mtu eti tu kwa kuwa ana mitazamo tofauti na sisi?
Ndiyo maana CDM inaonekana kama chama cha wahuni wakati kina
watu makini... yote hii kwa sababu tunashindwa kumjibu mtu kwa lugha
ya staha lakini yenye hoja makini zenye nguvu! this is shame!...
 
Jamaa anasema ukweli, CDM wanafikiri siasa za fujo ndio zitawaendeleza. Hii serikali inawaendekeza sana. Wao wanahamasiha fujo halafu mambo yakicharuka wanatia mbio huku wakiwaacha wanachama wao wale bakora. Mfano mzuri ni yalio tokea Arusha. Viongozi wao walipotea ghafla wakati bakora zikitembezwa. Mmoja karuka ukuta na mwingine kajificha kama panya kwenye sanduku.

issue si CDM ni mazingira, uchumi mbaya, kukosa ajira na mengine mengi yanayoleta ugumu wa maisha ndo chanzo cha fujo watu wako frustrated CDM imekua tu kama pakuanzia lakini nakuhakikishia hata bila CDM watu wangefikia tu level ya kuchoka. it is evene psychologically proven kua watu hufika hiyo level. na wala haina haja ya kuwapiga bali kutafuta solution
 
jf members

nimeisikia hii habari via tbc[sub]1[/sub] magezeti asubuhi hii kuwa nape anasema baada ya chadema kushindwa kwenye uchaguzi ulio pita sasa kimeamua kuuwaadhibu wananchi kwa kupitia vurugu zinazoendelea nchini

my take:
naomba sana tuwe wakweli mfano hizi vurugu zilizo fanyika mby kwa masaa zaidi ya 30 mfululizo chanzo chake nini ?

Ukweli ni kwamba watu hasa machinga walichoka kunyanyaswa na migambo wa jiji ambao walikuwa wakiwafukuza ktk maeneo yao ya kazi na kuwafukuzia ambako hata wao ( migambo) hawakujui

pili migambo kumwaga michele, mbogamboga, matunda ya akina mama ambayo wanauza kando ya barabara

tatu wenye maduka kuwazuia kabisa kutoa bidhaa yeyote ya dukani nje kama sample othewise wanachukua hiyoo bidhaa eg nguo

nne huu ni mwezi wa mavuno kwa machinga kwani tunaelekea kwenye sikukuu

naomba sana tuwe wakweli si kila jambo ni siasa mengine ni masuala ya kawaida sana ambayo viongozi wa jiji walishindwa kuya weka sawa mapema

unaweka siasa pembeni alafu unaanza na siasa tukueleweje? Unajua chanzo cha wamachinga mbeya kufanya vurugu? Unakumbuka sugu aliwambia nini wamachinga? Usijivue gamba la siasa. Endeleeni na vurugu zenu , wananchi watawahukumu tu 2015. Mikanda yote ya vikao vya siri jinsi kuanzisha vurugu inahifadhiwa iko siku itaanikwa wananchi wataujua ukweli.
 
nape,siasa haziwezi.ni makamba mpya.shame upon it! (nape)

sasa wewe unaeongea ni mwanasiasa? Aibu yako aibu ya nape? Nadhani cdma mnamwogopa sana nape ndiyo maana kila siku nape, na hakika bwana mdogo atawamaliza tu chadema.
 
Back
Top Bottom