Ulimsikia mwenyekiti akilalamika CCM inaongozwa na vila...za.Rudia hotuba yake baada ya kuchaguliwaWasomi hawana nafasi Chadema!
Mbona unapaniki nimekuuliza Mbowe anahusika vipi hapa?Kama ni shanga labda umevaa wewe si mimi.
Prof.mwanasheria lakini hawamtumii kwenye kesi kwa sababu hawezi kupiga nao dili.
Kesi zote anapewa Kibatala,gharama zote za kesi zinalipwa na chadema kutoka fedha za ruzuku kila kesi Mbowe anafungu lake,katibu mkuu ana fungu lake,Kibatala ana fungu lake pia mtuhumiwa Lisu naye ana fungu lake mpaka sasa Lisu ana kesi tatu Kisutu,siku si nyingi atamuita tena rais dikteta uchwara ili akamatwe afunguliwe kesi watumie fedha za ruzuku.
Ruzuku ya chadema inaishia Dar kwenye kesi za Lisu.
Kajisome tena ulichoandika.
Huwa sikisii.
Naona umekiri mwenyewe kuwa umeishiwa hoja.
Teh teh teh
Hilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.
Prof.mwanasheria lakini hawamtumii kwenye kesi kwa sababu hawezi kupiga nao dili.
Kesi zote anapewa Kibatala,gharama zote za kesi zinalipwa na chadema kutoka fedha za ruzuku kila kesi Mbowe anafungu lake,katibu mkuu ana fungu lake,Kibatala ana fungu lake pia mtuhumiwa Lisu naye ana fungu lake mpaka sasa Lisu ana kesi tatu Kisutu,siku si nyingi atamuita tena rais dikteta uchwara ili akamatwe afunguliwe kesi watumie fedha za ruzuku.
Ruzuku ya chadema inaishia Dar kwenye kesi za Lisu.
Kuna jamaa wa ndani Ufipa amabaye akupenda jina lake litajwe alinidokeza kuwa imetokea kutoelewana na uongozi wa Chadema baada ya kuhoji kwa nini hafla ya kumpongeza Lowassa ilifanyikia Kanisani.
mnafiki katika ubora wakoTangu fisadi Lowasa ajiunge na CHADEMA, hakika Prof Safari hana raha kabisa chamani
Amefichwa Kapuni huko Ufipa
Kauliza swali la maingi bila ya kuegemea upande wowote. Nashangaa wewe unakuja na suala la udini
Alisema wapi? lini? leta ushahidi acha tabia za umbeaMbowe kasema sasa akifanya tena huo ujinga gharama za kesi itakuwa juu YAKE sio tena chama