johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Tukumbuke TB Joshua hana CCM wala Chadema akishuka Tanzania KILA goti linapigwa, wote ni mashahidi.So tuache udini si wa kuushabikia kabisa.Kweli kamanda sio jambo la kushabikia ila limeota mizizi chadema.. Tazama wenye sauti chadema ni kina nani