CHADEMA, Profesa Safari yuko wapi?

CHADEMA, Profesa Safari yuko wapi?

kweli nyie vijana wa lumumba ni vilaza wa kiwango cha lami
 
Ya kufikilika kama hadhithi ya mashimo ya mfalume suleima na
 
Hilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.
Kuna jamaa wa ndani Ufipa amabaye akupenda jina lake litajwe alinidokeza kuwa imetokea kutoelewana na uongozi wa Chadema baada ya kuhoji kwa nini hafla ya kumpongeza Lowassa ilifanyikia Kanisani.
 
Mtoa mada anasumbuliwa na udini.
..ni mdini sana na ni hatari kwa usalama wa nchi,afuatiliwe
Unaposema neno Udini uwa mna maaana ya Uislam siku zote kwenu uwa hamna mkristo mdini daah.
 
Majuzi lizaboni alikuwa anawaulizia wake za Wakina mbowe na elowasa.
Leo huyu mama anamulizia mme wa mtu wa mtu......magamba kweli wameishiwa hoja
 
Kila mahali mmechapwa sasa mnaona singo zenu mpya ni kuulizia wake za kina mbowe mara Mnyika mara Halima mpka leo si shangai kwanani wanasheria wa serikali wanashindwa vibaya kama kuna watu uko wa aina ii
 
Kila mahali mmechapwa sasa mnaona singo zenu mpya ni kuulizia wake za kina mbowe mara Mnyika mara Halima mpka leo si shangai kwanani wanasheria wa serikali wanashindwa vibaya kama kuna watu uko wa aina ii

Kama Mbowe ana mke wa ndoa basi kwa sasa ni maiti kwa mujibu wa Bible.

Zinaa.
 
Prof.safari yupo , yupo kimya bado kashikwa na butwaa ,haamini macho na masikio yake kama chadema kilimpokea fisadi Lowasa waliyemtaja mwembeyanga kwamba ni fisadi mkuu Nchini.
Kwahiyo yupo yupo tu hajui afanyaje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom