Chukua kahawa na kashata,nenda kibarazani ukapunge upepoYote hiyo kwa kuwa nimemuuliza Professor Safari?
Duh! Tutakuwa hata hatujambi basi!
Mme wa mtu huyo! Kamuulizie kwa mkewe.Hilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.
Nilikuwa na jibu kama lako mkuuMpigie simu kama unamtaka
Ila huyo sijui benina ndo wakuuliziwa?!FaizaFoxy Wewe punguani nimeishiwa hoja sasa mnaulizia watu humu JF
Halafu mada ya zamani, alikuepo wewe ulipotorokaHilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.