Kwa Nini Tume ya Uchafuzi Bado Ipo Kazini?

Kwa Nini Tume ya Uchafuzi Bado Ipo Kazini?

Kalamu

Platinum Member
Joined
Nov 26, 2006
Posts
22,075
Reaction score
31,637
Hili ndilo swali la DHARURA linalotakiwa kupata jibu haraka wakati huu kabla ya masaa 72 hayajatimia kama walivyo ahidi kabla ya zoezi la uchafuzi kuanza hapo Oktoba 29.

Hawa wanafanya kazi gani wakati uchafuzi ulizuiliwa na wananchi?

Kwa nini waruhusiwe kuendelea kutoa matokeo ya zoezi ambalo ni haramu?

Shughuli za hii tume ni muhimu zidhibitiwe mara moja kabla hawajamtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mshindi
 
Nashauri nguvu ya maandamano ielekezwe kwenye hii Tume inayoendelea kutengeneza mazingaombwe ya uchafuzi.
 
Nashauri nguvu ya maandamano ielekezwe kwenye hii Tume inayoendelea kutengeneza mazingaombwe ya uchafuzi.
Mkuu wa Kikosi cha Jeshi pale Ihumwa apeleke vijana wake tu wakawachukue watumishi wote wa Tume na kuwaweka korokoroni
 
Back
Top Bottom