Kweli aisee, naona yupo kimya sana, au kaona sarakasi za maigizo zinazoendelea kwenye chama mfu hazina diliHilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.
Lumumba wakipost chochote bila kuitaja ukawa hiyo post yao inadoda kabisaHivi kwanini kila uchao Lumumba hamuishi kuiota CHADEMA? Kila thread ya mwana Lumumba ni CHADEMA/UKAWA vipi habari za tingatinga hazilipi?
Kauliza swali la maingi bila ya kuegemea upande wowote. Nashangaa wewe unakuja na suala la udiniMtoa mada anasumbuliwa na udini.
..ni mdini sana na ni hatari kwa usalama wa nchi,afuatiliwe
Mkuu huyo kazingirwa na dhambi ya ubaguzi wa dini tu hana loloteJuzi tu hapo alikuwa kwenye Mkutano wa KK sambamba na Lowassa, Mbowe na wengineo, Unataka kuniambia hukumuona??
Au unataka kuuliza swali gani labda?
Na wewe nikuulize swali, Bernad Membe yuko wapi?
BACK TANGANYIKA
Nami ndo nashangaa aisee, wao ni UKAWA/CHADEMA hata Magazeti now habari za UKAWA/LISSU ndo zinauza habari za Magufuli hazilipiLumumba wakipost chochote bila kuitaja ukawa hiyo post yao inadoda kabisa
Ni afadhali nawe ukaishi msoga na fayzaProf Safari anatengwa sababu ya dini yake na asili yake.. Ukanda na udini ndio sera ya Chadema.
Hivi kwanini kila uchao Lumumba hamuishi kuiota CHADEMA? Kila thread ya mwana Lumumba ni CHADEMA/UKAWA vipi habari za tingatinga hazilipi?
Amefichwa Kapuni huko UfipaHilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.
Hapo ndiyo ujue kuwa cdm sasa ndiyo wenye mashiko na mvuto ndani ya siasa za TanzaniaNami ndo nashangaa aisee, wao ni UKAWA/CHADEMA hata Magazeti now habari za UKAWA/LISSU ndo zinauza habari za Magufuli hazilipi
Kweli kamanda sio jambo la kushabikia ila limeota mizizi chadema.. Tazama wenye sauti chadema ni kina naniHilo si jambo la kushabikia hasa sisi wanaCCM, tukiipanda mbegu hii habari ya ZAMU inaweza kubaki HISTORIA, kalagabaho
Swali la MAINGI?Kauliza swali la maingi bila ya kuegemea upande wowote. Nashangaa wewe unakuja na suala la udini
Mwaka huu lazima mtaijua cdm na itabidi maji muyaite MMAATangu fisadi Lowasa ajiunge na CHADEMA, hakika Prof Safari hana raha kabisa chamani
Heri yenu ccm wenye wasomi kina sendekaWasomi hawana nafasi Chadema!
Cc:Fayza FoxDaah
Kwahiyo Salum mwalimu ni msabato?
SIpendi udini na nauchukia sana, ila kauli za kishenzi kama hizi iwe zimetoka ccm au ukawa ni kauli chafu kuliko uharo wa nguruwe
Hili ajuza halina mume Mkuu!!!! linashinda kwenye mitandao kutafuta waume za watuWewe ni mke wa mtu, mume wa mtu unamuulizia wa nini? au Kwa Sababu mke wake ni mpole?
mbona humuulizia malecela? au Kwa kuwa unaujua mziki wa mkewe ?Tulia na mumeo bana.
Mhh!Profesa Safari yupo safarini