CHADEMA, Profesa Safari yuko wapi?

CHADEMA, Profesa Safari yuko wapi?

Hasira na povu la nini?
Umeshamwona uliyekuwa unamuulizia? leta umbea wako sasa Prof.Safari huyo hapo.
FB_IMG_1469291826821.jpg
 
Achana na huyu FaizaFoxy punguani alikuwa anamuulizia Prof.Safari nimemleta picha amebaki aibu

Ewe punguani kasome tena post namba moja, umeona nimeulizia picha?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Ewe punguani kasome tena post namba moja, umeona nimeulizia picha?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Unataka kujua yuko wapi wewe ni mke wake?wewe hopeless kabisa
 
Prof. Safari hapendi uzinzi. Nadhani usimtafute muache amche mola wake. Tafuta wengine
 
Yan ccm kila mtu mnataka kujua alipo.. mbona sisi hatumuulizii January Makamba
 
Prof Safari anatengwa sababu ya dini yake na asili yake.. Ukanda na udini ndio sera ya Chadema.
duh nilijua mnalenga kwenye udini. cdm sio chama kama hamjui. ni kampuni binafsi wachg ndio wana hisa kubwa.
 
Juzi tu hapo alikuwa kwenye Mkutano wa KK sambamba na Lowassa, Mbowe na wengineo, Unataka kuniambia hukumuona??

Au unataka kuuliza swali gani labda?

Na wewe nikuulize swali, Bernad Membe yuko wapi?

BACK TANGANYIKA
Nadhani aliwaona ila kuna jibu analihitaji.Ukimjibu tofauti ataona kuwa hujamjibu.

Kuna watu angewaulizia Ningemuona wa Busara sana.Unamuulizia Prof Safari?.Ili iweje?.

[HASHTAG]#BringbackMaxenceMello[/HASHTAG].
 
Kwa usemi wa Tundu na kupotea kwa professor safari , serikali itoe jibu, kwani ndio yenye miundo mbinu
 
Daah

Kwahiyo Salum mwalimu ni msabato?

SIpendi udini na nauchukia sana, ila kauli za kishenzi kama hizi iwe zimetoka ccm au ukawa ni kauli chafu kuliko uharo wa nguruwe
Tutake radhi tunaokula huyu mdudu mtamu kuliko nyama zote. lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom