Chadema njooni mchukue kadi yenu

Chadema njooni mchukue kadi yenu

Umeanza utumwa rasmi tunakuona! Pole sana!


UOTE=omusimba;4969360]natanguliza busara na weledi![/QUOTE]



/
 
Hapo kwenye nyekundu tu panatosha kutambua kiwango cha uze.zeta ulionao si kichwani tu bali hadi kwenye nguo ulizo vaa sasa hivi. Pole sana, umezoea kugawiwa T-shirt na shati za kijanibure, na kuuza kadi zako za kura kila uchaguzi au pengine ndo ulikuwa wakala wa kupewa pesa za kununu kadi za wapiga kura sasa ulijiunga CDM ili upewe dili, CDM ni kupiga kazi mziki wake muulize Nape, IGP au JK watakueleza si unalalama tu hapa kwenye JF. We ulifikiri ukijiunga CDM basi ndo umeupata u-house maid kwa Zitto au Slaa, fanya kazi sio kumendea vya bure, CDM haigawi pesa ili watu waandamane, wewe ulisikia propaganda za CCM walizozusha kuwa CDM inagawa pesa kwa vijana kuandamana ndo ukaja umekimbia kama mweu......umekula kekundu. Vijana wa CDM tunachanga kuendesha chama na sasa tuko bize na M4C na Sangara huku tukichapa kazi kwa kwenda mbele, kachukue hongo CCM huko achana na CDM hakuna vilaza.

Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?
 
hakuna lolote unalojua wewe, ukitaka kujua uelewa wa mtu upo juu au chini ni kwa hoja mbovu kama hii ya kwako wala huitaji kumjua mtu uelewa unaweza pimwa kwa njia kama hiyo

Vijana wa CDM kwa jaziba!
 
Hapo kwenye nyekundu tu panatosha kutambua kiwango cha uze.zeta ulionao si kichwani tu bali hadi kwenye nguo ulizo vaa sasa hivi. Pole sana, umezoea kugawiwa T-shirt na shati za kijanibure, na kuuza kadi zako za kura kila uchaguzi au pengine ndo ulikuwa wakala wa kupewa pesa za kununu kadi za wapiga kura sasa ulijiunga CDM ili upewe dili, CDM ni kupiga kazi mziki wake muulize Nape, IGP au JK watakueleza si unalalama tu hapa kwenye JF. We ulifikiri ukijiunga CDM basi ndo umeupata u-house maid kwa Zitto au Slaa, fanya kazi sio kumendea vya bure, CDM haigawi pesa ili watu waandamane, wewe ulisikia propaganda za CCM walizozusha kuwa CDM inagawa pesa kwa vijana kuandamana ndo ukaja umekimbia kama mweu......umekula kekundu. Vijana wa CDM tunachanga kuendesha chama na sasa tuko bize na M4C na Sangara huku tukichapa kazi kwa kwenda mbele, kachukue hongo CCM huko achana na CDM hakuna vilaza.

usitoe mapovu kijana. tuache siasa ktk kila jambo. Kuna udhaifu wa ccm na serikali yake , hilo liko wazi sana. Lakini m4c na maandamano sio suluhisho. Mimi ninajitosheleza sina fungu ccm wa cdm , naiishi kwa kipato changu kidogo hongerini wasomi na matajiri wa cdm.
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

Ingawa umechelewa kutambua ukweli, nachukua fursa hii kukupa hongera kwa kujua janja ya wa viongozi ambao ni wachumia tumbo waliopo ndani ya CDM
 
vijana wanategemea chadema ikiingia madarakani watapata kazi kwa kupewa nafasi kama vile ubalozi.nk bila kujua kuwa hizo nafasi ni chache kiasi kwamba wengi wao watabaki bila hata kuonekana

hivi yale mabilioni ya Kikwete yalimnufaisha nani vile...
 
mnapenda sana kuita watu vilaza lkn mie nimesoma vizuri sana! taaluma yangu haina shaka tangu mara sec, pugu , udsm na ninapofanya kazi sasa! hongera na ww kama unaweza kuwa na cheti na ufanisi kazi kama mm!


unaitaji kipimo gani ujikubali km wewe ni kilaza, umeandika njoo mchukuwe kadi yenu.... ndani umeandika niliichoma wiki iliyopita, nikuuliza maandamano ni kila siku na ni eneo mmoja? pili CDM inawaambia vijana wasifanye kazi? chma chako cha CC- ME kilijaribu kupita kwa nepi kupita daadhi ya mkoa akaona anaumbuka maudhurio kidigo akaacha..
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

We kila kitu unachoma tu? Angalia usije mwisho ukajichoma mwenyewe na mawazo yako hayo.
 
Naona umeamua nawe uwe miongoni mwa GTs na ufikie kupata hadhi ya Gold kwa uwingi wa Posts. Umefanikiwa mkuu..
Gold haifikiwi kwa uwingi wa post mkuu......mkono mtupu haulambwi.
 
Duuu!
Utoto ni kitu kibaya sana!
Unashindwa kufanya kazi unategemea cdm wakutafutie?
*siku ulivyo chukua card uliweka uzi?
*kwanza Acha kudanganya watu kuwa ulikuwa cdm, huna lolote umetumwa, maneno yako hayana tofauti na aliye kutuma.

*Najua ulichukua kazi ili upate wadhifa sasa umekosa unaanza kulilia hapa jf!

*Sasa card umechoma unataka tuje kuchukua nini? Sidhani kama unajua unacho kiandika!

*Wakati wewe umechoma wenzio zaidi ya wewe wamechukua!

*Nimeshindwa kukutofautisha na wale vijana wa ccm waliopigana kwani wana mawazo kama yako, nenda kajiunge nao.

*Hongera kwa kujitafutia umaarufu jf


Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?
 
Hivi ili ujulikane wewe ni chadema lazima ujue matusi? Mada iliyo mbele yetu ni ndogo sana lakini watu tunashindwa kuikabili kwa hoja,si kweli kwamba wote ambao hawasapoti chadema ni vilaza na si kweli kwamba ukiwa chadema tu ndo tiketi ya kutokuwa kilaza,chama kinajengwa na watu wenye maono na mitazamo tofauti lakini inakuja kuletwa pamoja na ilani ya chama,uvumilivu na ustahimilivu vinaweza kusaidia chama,chadema hatutakiwi kumshambulia kila anayeonekana yuko tofauti na sisi bali tutafute njia za kumuonesha kuwa chadema ni tofauti na anavoichukulia na kuijua.
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

Kwa kuwa walikuletea hapa,subiri watakuja, lakini ungemtaja aliyekuletea ili awahi
 
Chadema njooni mchukue kadi yenu, na wiki iliyopita nimeichoma kadi ya Cdm sasa unataka waje wachukue kadi ipi? Mbwa pori wewe kalalwe huko
Ndiyo hapo,ama amehifadhi majivu?Kweli kuna watu wana akili tope kabisa.Halafu kauanzishia upuuzi huu thread.
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

Watu wenye fikra finyu kama wewe hawafai ndani ya chadema, ondoka haraka. Unatupotezea muda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom