Chadema njooni mchukue kadi yenu

mnapenda sana kuita watu vilaza lkn mie nimesoma vizuri sana! taaluma yangu haina shaka tangu mara sec, pugu , udsm na ninapofanya kazi sasa! hongera na ww kama unaweza kuwa na cheti na ufanisi kazi kama mm!

we kilaza hukusoma mara, acha kuaibisha hiyo shule ya chadema.
 
Kimbie kachukue kadi ya ccm,hujawahi kutusaidia kitu.WATU kama wewe ndo wale wahítimu wa ngumbaru.
 
cdm wanauwezo wa kutengeneza sera ya kuajiri vijana wote na bado wasitoshe kufanya kazi....uliza kwanini wakati wa industrialization waafrica walichukuliwa kama watumwa?

Kazi za tanzania ni nyingi kupita maelezo ila ccm imeshikiliwa na mafisadi ambao vijana wakipewa kazi watakosa wakuwaabudu na kuhongwa kwa faida binafsi yao na familia zao..they dont think about this country bali miradi yao ndiyo iliyowaweka hapo kwenye saisa..bora wangekuwa wanazalisha maana zingeleta ajira lakini nyingi za hizo miradi ni hewa zinazoendeshwa kwa kodi ya watanzania wachache wanaolipa kodi na hasa wafanyakazi wenye ajira rasmi.
.......

Unadhani chadema wana mbinu za kipekee na watakuwa na mbinu ambazo hazijapata kutokea duniani katika kutatua tatizo la ukosefu wa ajira.

Kwa sababu tatizo hili lipo tena kwa kiwango kikubwa sana afrika na duniani kwa ujumla.kwani sera za chadema kuhusu ajira ni zipi kiasi cha kuleta imani kiasi hicho?

kwani sera za ccm nazo juu ya ajira zinasemaje ili tuweze kuaangalia utofauti! Kwani wana chadema ni kina nani kama sio watanzania hawahawa wanaohama kutoka ccm baada ya kukosa uongozi huko?
 
baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo ijumaa trh 9! Tofauti na mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo.

M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. Cdm watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo.

Jiulize swali rahisi; zitto au slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? Au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo libya wakidai kutimiziwa ahadi ?.....

Heshima yako sana,umeongea vyema sana.
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo.

M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo.

Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi?

Naona kama umechanganyikiwa vile maana M4C ni vuguvugu la mabadiliko ya kisiasa, uhimizaji vijana kufanya kazi ni moja ya sera za chama, sasa wewe ulitegemea katika kukijenga chama cdm ifanye kazi ya serikali? Au hujui kazi ya ruzuku ni ipi? Hebu nenda ofisi ya msajili muulize kazi ya ruzuku ni ipi halafu urejee hapa..

Ukipitia ilani ya cdm utagundua kuwa cdm ikiingia madarakani itawapa nini hao vijana.. hakuna chama kinachoweza kugawa fedha kama unavyofikiri ila kuna vyama vinavyoweza kutengeneza fursa zaidi za ajira.. hii inamaana kwamba kama katika hizo fursa hu-qualify yawezekana bado ukapigika tu mtaani.
quote_icon.png
By omusimba

mnapenda sana kuita watu vilaza lkn mie nimesoma vizuri sana! taaluma yangu haina shaka tangu mara sec, pugu , udsm na ninapofanya kazi sasa! hongera na ww kama unaweza kuwa na cheti na ufanisi kazi kama mm!

.......

Usituvunje mbavu wengine, waweza kusoma sana na kupata alama za juu lakini matumizi maishani likawa tatizo kubwa, na hili linasumbua wengi hapa tz maana unakuta mtu ana elimu ya darasani lakini maamuzi na matendo yake bure kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hulazimishwi kuwa chama chochote so acha kubwabwaja, km chama fulani hakitimizi malengo yako hamia unapoona panafaa au kuwa independent

  • :shut-mouth:
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Unadhani chadema wana mbinu za kipekee na watakuwa na mbinu ambazo hazijapata kutokea duniani katika kutatua tatizo la ukosefu wa ajira.

Kwa sababu tatizo hili lipo tena kwa kiwango kikubwa sana afrika na duniani kwa ujumla.kwani sera za chadema kuhusu ajira ni zipi kiasi cha kuleta imani kiasi hicho?

kwani sera za ccm nazo juu ya ajira zinasemaje ili tuweze kuaangalia utofauti! Kwani wana chadema ni kina nani kama sio watanzania hawahawa wanaohama kutoka ccm baada ya kukosa uongozi huko?

Sijui nikujibu vipi....Hiyo dunia unayoiongelea wewe ni ipi?....Hiyo dunia nyingine hawajakosa ajira za ku meet basic needs za watu wanafikiria laxurious life wakati sisi watu wetu hata milo mitatu bado...Hiyo tu peke yake ni ajira tosha ya kufanya watu wetu kula milo mitatu sijui wewe ajira unadhani ni kitu gani cha ajabu.....

Labda nikupe mfano wa vitu unavyofahamu...Leo hii mf. sorry for using his name..Mengi akisema hana pesa unadhani anaongelea pesa anazozitaka Matonya? Then think in that context nini maana ya kukosekana ajira katika dunia iliyo endelea na hii ya kwetu ambao wengine wanaona aibu kuishi dunia moja na sisi....

Siyo kweli wana CCM ni wale wale CHADEMA mfano Zitto hajawahi kuwepo CCM, mimi mwenyewe sijawahi kuwa CCM sasa una justfy vipi hii kauli yako?

Miaka 50 niambie kati ya hawa walio katika uongozi nani hajawahi kuwepo hapo kama senior citizen katika nchi hii? Je si sura zile zile zinatuamulia na tunawaambieni kuna nepotism hamtusikii....We love you that why we ask you that we can settle the matter kwa haraka na kwa urahisi kuliko unavyoweza kuwaza....

Mimi hapa bila kupewa sadakalawe cheo chochote ndani ya mwaka mmoja na uwezo wa ku-creat ajira kwa vijana wa wilaya si pungufu ya tano na nikaunda ka self-finacing projects bila tabu yoyote....
 
Pombe mbaya sana; mtoa mada hii amelewa; yeye anafikiri wana CDM wana mawazo finyu kama ya kwake.

Hatuko hivyo; kazi tunafanya na inapotokea kuna madudu yamefanyika serikalini tukahamasishwa kuandamana kukemea madudu hayo tunavaa magwanda yetu na kuonesha kuwa sisi tumekerwa na hilo ndani ya serikali.
 
Sijui nikujibu vipi....Hiyo dunia unayoiongelea wewe ni ipi?....Hiyo dunia nyingine hawajakosa ajira za ku meet basic needs za watu wanafikiria laxurious life wakati sisi watu wetu hata milo mitatu bado...Hiyo tu peke yake ni ajira tosha ya kufanya watu wetu kula milo mitatu sijui wewe ajira unadhani ni kitu gani cha ajabu.....

Labda nikupe mfano wa vitu unavyofahamu...Leo hii mf. sorry for using his name..Mengi akisema hana pesa unadhani anaongelea pesa anazozitaka Matonya? Then think in that context nini maana ya kukosekana ajira katika dunia iliyo endelea na hii ya kwetu ambao wengine wanaona aibu kuishi dunia moja na sisi....

Siyo kweli wana CCM ni wale wale CHADEMA mfano Zitto hajawahi kuwepo CCM, mimi mwenyewe sijawahi kuwa CCM sasa una justfy vipi hii kauli yako?

Miaka 50 niambie kati ya hawa walio katika uongozi nani hajawahi kuwepo hapo kama senior citizen katika nchi hii? Je si sura zile zile zinatuamulia na tunawaambieni kuna nepotism hamtusikii....We love you that why we ask you that we can settle the matter kwa haraka na kwa urahisi kuliko unavyoweza kuwaza....

Mimi hapa bila kupewa sadakalawe cheo chochote ndani ya mwaka mmoja na uwezo wa ku-creat ajira kwa vijana wa wilaya si pungufu ya tano na nikaunda ka self-finacing projects bila tabu yoyote....
suala la nini maana ya ajira linafahamika kwa watu wote.suala kuhusu ukosefu we ajira hasa kwa vijana ni tatizo kubwa kwa nchi nyingi sana duniani japo viwango hutofautiana kutoka nchi moja nanyingine kwa viwango tofauti.kuhusu uwezo wako wewe wa kutengeneza ajira ukipewa nafasi au uwezo wa upinzani kufanya hivyo mimi nautilia mashaka kwa sababu ya ushahidi wa kitaalam nilionao kuhusu tabia za wanadamu hasa sisi waafrika.kwa mfano
1.Mimi nimesoma kwenye chuo flani nchini.tangu nimeanza kusoma hapo,mpaka namaliza kumekuwa na maraisi kama watano hivi.wa kwanza niliyemkuta alikuwa analaumiwa kwamba alichaguliwa akidhaniwa atakuwa mkombozi lakini amekuwa mchumia tumbo.akapata upinzania mkali.baadae aliekuwa anampinga naye akaingia madarakani akawa analaumiwa kuchumia tumbo na kutowajibika.mpinzani wake naye akaiingia hali imekuwa hivyohivyo mpaka namaliza.sasa swali ni je! ni nani tunayetakiwa tumuamini kati ya hawa nanaompinga mwenzao akiwa madarakani na kwa nini?
2.Wanasiasa wa vyama vyote wamepitia shuleni na vyouni.Katika kipindi chote wakiwa vyuoni huwaona wakijiita wasomi na kuipinga serikali kwelikweli.kwe mfano kuipinga bodi ya mkopo kwa utaratibu wake.baada ya muda nao humaliza na kuingia serikalini au taasisi kama bodi ya mkopo na ukifika wanachokufanyia ndo kilele walichokuwa wakipinga wakiwa chuoni au hata kibaya zaidi.sasa najiuliza kama hata hawa wapinzani wa siasa za tanzania sio wasaka tonge kweli?
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo.

M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo.

Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

huna hoja napita nimefumba macho
 
suala la nini maana ya ajira linafahamika kwa watu wote.suala kuhusu ukosefu we ajira hasa kwa vijana ni tatizo kubwa kwa nchi nyingi sana duniani japo viwango hutofautiana kutoka nchi moja nanyingine kwa viwango tofauti.kuhusu uwezo wako wewe wa kutengeneza ajira ukipewa nafasi au uwezo wa upinzani kufanya hivyo mimi nautilia mashaka kwa sababu ya ushahidi wa kitaalam nilionao kuhusu tabia za wanadamu hasa sisi waafrika.kwa mfano
1.Mimi nimesoma kwenye chuo flani nchini.tangu nimeanza kusoma hapo,mpaka namaliza kumekuwa na maraisi kama watano hivi.wa kwanza niliyemkuta alikuwa analaumiwa kwamba alichaguliwa akidhaniwa atakuwa mkombozi lakini amekuwa mchumia tumbo.akapata upinzania mkali.baadae aliekuwa anampinga naye akaingia madarakani akawa analaumiwa kuchumia tumbo na kutowajibika.mpinzani wake naye akaiingia hali imekuwa hivyohivyo mpaka namaliza.sasa swali ni je! ni nani tunayetakiwa tumuamini kati ya hawa nanaompinga mwenzao akiwa madarakani na kwa nini?
2.Wanasiasa wa vyama vyote wamepitia shuleni na vyouni.Katika kipindi chote wakiwa vyuoni huwaona wakijiita wasomi na kuipinga serikali kwelikweli.kwe mfano kuipinga bodi ya mkopo kwa utaratibu wake.baada ya muda nao humaliza na kuingia serikalini au taasisi kama bodi ya mkopo na ukifika wanachokufanyia ndo kilele walichokuwa wakipinga wakiwa chuoni au hata kibaya zaidi.sasa najiuliza kama hata hawa wapinzani wa siasa za tanzania sio wasaka tonge kweli?

Experience yako mbaya isisababishe wewe kuona mambo jinsi unavyotaka iwe....Life is more than that what you dont know others know....Ukilala dunia haiachi kuzunguka wala kulala kwako hakufanyi wengine washindwa kufanya vitu wanavyovitaka. What do I mean? Usiifanye experience yako kuwa benchmark jaribu kusikiliza na wengine ama kama umepewa nafasi ukashindwa achia wengine nao wafanye lakini usiseme haiwezekani kwakua wewe tu hujaona ama kubahatika kuweza kufanya ikawezekana....

Huku duniani watu wanaishi maisha ya ustaarabu na wao kama ni binadamu kama sisi kwanini sisi tushindwe? Inamaana kuna ambacho tunachokifanya tofauti na hawa wengine na moja ni hili la kutokupenda kuacha wengine kufanya tunaposhindwa...Ndiyo maana wenzetu wamekuwa katika hayo maisha maana ni waungwana wakishindwa wanaachia wengine....

CDM haijawahi kuwa katika uongozi wa nchi tangu iumbwe leo wewe unakataa hawawezi hata kama hawajapewa fursa ya kujaribu wakahindwa?......Dr. Slaa ameongoza jimbo la Karatu sote ni mashahidi ya nini kinachotokea compared to majimbo hawa viongozi wengine walipo toka sasa wewe hizo gutts za kusema CDM haiwezi zinatoka wapi?

Ni vibaya kusema uwongo hadharani jaribu kuwa mkweli kwa nafsi yako...Si vibaya kupenda watu ama chama unachokipenda lakini hiyo isikufanye ukakana hadharani ukweli ulio wazi hapo ndipo wengine watakunyamazia waendelee kufanya wafanyacho na siku wakifanikisha utabaki mtupu kwa aibu ambayo itakupelekea badala ya kufurahia kuanza kuharibu kazi nzuri ya wengine ili u-justfy maneno yako.
 
Sitafuti kazi kupitia CDM nilipata kazi kabla makani hajawa mwenyekiti cdm! Nape ndo nani tena hapa mjini?

nape ni yule mwenye mtazamo finyu kuhusu cdm kama wewe,tofauti yeye anaujua ukweli ila anatetea tumbo lake.je wewe?
 
experience yako mbaya isisababishe wewe kuona mambo jinsi unavyotaka iwe....life is more than that what you dont know others know....ukilala dunia haiachi kuzunguka wala kulala kwako hakufanyi wengine washindwa kufanya vitu wanavyovitaka. What do i mean? Usiifanye experience yako kuwa benchmark jaribu kusikiliza na wengine ama kama umepewa nafasi ukashindwa achia wengine nao wafanye lakini usiseme haiwezekani kwakua wewe tu hujaona ama kubahatika kuweza kufanya ikawezekana....

Huku duniani watu wanaishi maisha ya ustaarabu na wao kama ni binadamu kama sisi kwanini sisi tushindwe? Inamaana kuna ambacho tunachokifanya tofauti na hawa wengine na moja ni hili la kutokupenda kuacha wengine kufanya tunaposhindwa...ndiyo maana wenzetu wamekuwa katika hayo maisha maana ni waungwana wakishindwa wanaachia wengine....

Cdm haijawahi kuwa katika uongozi wa nchi tangu iumbwe leo wewe unakataa hawawezi hata kama hawajapewa fursa ya kujaribu wakahindwa?......dr. Slaa ameongoza jimbo la karatu sote ni mashahidi ya nini kinachotokea compared to majimbo hawa viongozi wengine walipo toka sasa wewe hizo gutts za kusema cdm haiwezi zinatoka wapi?

Ni vibaya kusema uwongo hadharani jaribu kuwa mkweli kwa nafsi yako...si vibaya kupenda watu ama chama unachokipenda lakini hiyo isikufanye ukakana hadharani ukweli ulio wazi hapo ndipo wengine watakunyamazia waendelee kufanya wafanyacho na siku wakifanikisha utabaki mtupu kwa aibu ambayo itakupelekea badala ya kufurahia kuanza kuharibu kazi nzuri ya wengine ili u-justfy maneno yako.
kwa hiyo wewe unakataa kwamba hatuwezi kujifunza kwa experience?sisemi kwamba ni lazima tukiwachagua chadema wasifanye kitu ila nasema nina wasiwasi kutokana na experience za siasa za kiafrika.kwa mfano mimi ni mpenzi wa ccm lakini huwa nimekuwa nikiombea kuwa chadema washinde 2015 ili tuone kama wana jipya by practice au la! Kwa sababu kwa suala la sera na nadharia sioni kama wana jipya sana na mimi ninachokiona ni kwamba tatizo la uongozi mbaya tanzania ni zaidi ya chama cha siasa.sio kwamba lengo ni kuikandia chadema tu,.
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo.

M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo.

Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

Mkuu asante kwa Changamoto, laiti kama wanachama wenzangu wa CDM wangeweza kuona katika big picture, ushindi wetu wa Urais 2015 ungekuwa wazi. Ili watanzania watuone ni tofauti na CCM tunabidi tufanye mambo yanayoonekana hususan kwenye majimbo tulioshinda. Lakini leo ukiuliza kwa makini tofauti ya jimbo linaloongozwa na mpinzani na CCM, ni dhahiri hakuna tofauti. Lets be more precise, kati ya Jimbo la Kinondoni na Ubungo kuna tofauti yeyote zaidi ya kumuona Mnyika anabwabwaja kwenye Bunge? Kwa mtizamo wangu Mnyika ana support kubwa ya vijana, je ametumia support hiyo kuleta mabadiliko yeyote yanayoonekana? naomba tutafakari!!!!!!!
 
Notorious, unachekesha kweli ! Sie vilaza ndo wenye historia Mara sec sio ww wa kizazi cha tution!


form four 1992 inatoka album ya kwanza ya THE CHRONIC, ya dr dre ikiwa na classic single **** wit DRE DAY, kulikuwa hakuna tuition we mama, soma hiyo mistari ya dr hapo chini"

"**** Wit Dre Day"

[Intro: Dr. Dre]

Ha, yeah, hell yeah, ha knowhatI'msayin
(Sssss)

[Verse One: Dr. Dre]

Yeah, Mista Busta, where the **** ya at?
Can't scrap a lick, so I know ya got your gat
Your dick on hard, from ****in your road dogs
The hood you threw up with, niggaz you grew up with
Don't even respect your ass
That's why it's time for the doctor, to check your ass, nigga
Used to be my homey, used to be my ace
Now I wanna slap the taste out yo mouth
Nigga bow down to the row
****in me, now I'm ****in you, little hoe
Oh, don't think I forgot, let you slide
Let me ride, just another homicide
Yeah it's me so I'ma talk on
Stompin on the 'Eazy'est streets that you can walk on
So strap on your Compton hat, your locs
And watch your back cause you might get smoked, loc
And pass the bud, and stay low-key
B.G. cause you lost all your homey's love
Now call it what you want to
You ****ed wit me, now it's a must that I **** wit you

[Interlude: Dr. Dre]

Yeah, that's what the **** I'm talkin about
We have your mother****in record company surrounded
Put down the candy and let the little boy go
You knowhatI'msayin, punk mother****er
(We want Eazy, we want Eazy)

[Verse Two: Snoop Doggy Dogg]

Bow wow wow yippy yo yippy yay
Doggy Dogg's in the mother****in house
Bow wow wow yippy yo yippy yay
Death Row's in the mother****in house
Bow wow wow yippy yo yippy yay
The sounds of a dog brings me to another day
Play with my bone, would ya Timmy
It seems like you're good for makin jokes about your jimmy
But here's a jimmy joke about your mama that you might not like
I heard she was the 'Frisco dyke
But **** your mama, I'm talkin about you and me
Toe to toe, Tim M-U-T
Your bark was loud, but your bite wasn't vicious
And them rhymes you were kickin were quite bootylicious
You get with Doggy Dogg oh is he crazy?
With ya mama and your daddy hollin' Bay-Bee
So won't they let you know
That if you **** with Dre nigga you're ****in wit Death Row
And I ain't even slangin them thangs
I'm hollin' one-eight-seven with my dick in yo mouth, beeyatch

[Interlude: RBX]

Yeah nigga, Compton and Long Beach together on this mother****er
So you wanna pop that shit get yo mother****in cranium cracked nigga
Step on up. Now, we ain't no mother****in joke so remember the name
Mighty, mighty D-R. Yeahhh, MOTHER****ER!

[Verse Three: Dr.Dre and Snoop Doggy Dogg]

Now understand this my nigga Dre can't be touched
Luke's bendin over, so Luke's gettin ****ed, busta
Musta, thought I was sleazy
Or though I was a mark cause I used to hang with Eazy
Animosity, made ya speak but ya spoke
Ay yo Dre, whattup, check this nigga off loc
If it ain't another ho that I gots ta **** with
Gap teeth in ya mouth so my dick's gots to fit
With my nuts on ya tonsils
While ya on stage rappin at your wack-ass concerts
And I'ma snatch your ass from the backside
To show you how Death Row pull off that who-ride
Now you might not understand me
Cause I'ma rob you in Compton and blast you in Miami
Then we gon creep to South Central
On a Street Knowledge mission, as I steps in the temple
Spot him, got him, as I pulls out my strap
Got my chrome to the side of his White Sox hat
You tryin to check my homey, you better check yo self
Cause when you diss Dre you diss yourself, MOTHER****ER
Yeah nigga...

[Outro: Snoop Doggy Dogg]

Yeah, nine-deuce
Dr. Dre, dropin chronic once again
It don't stop, Punishing punk mother****ers real quick like
Compton style nigga,
Doggy Dogg in the mother****in house, yeah
Long Beach in the mother****in house, yeah
Yeah, straight up, really doe
Breakin all you suckaz off somethin real proper like
YouknowhatI'msayin?
All these sucka ass niggaz can eat a fat dick
Yeah, Eazy-E Eazy-E Eazy-E can eat a big fat dick
Tim Dog can eat a big fat dick
Luke, can eat a fat dick, yeah...


 
Ongea ukweli kama kale kamchezo kako ka ........ umekarudia na ndio maana unataka wana chadema waje kukupakata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom