Kichwa kikitumika vizuri huwa kinafikiri lakini kikitumika vibaya ndiyo yale ya DR Masaburi kuwa unafikiri kwa makalio.
Kama hadi leo hujajua nini maana na kazi za serikali dhidi ya raina wake ni bora hata ungejinyonga.................. CDM haiji kugawia watu pesa mifukoni kama akili yako inavyowaza, cdm inakuja kusimamia rasilimali za nchi na kuhakikisha zinawanufaishia watu wote, inakuja kusimamia kodi zinazomfanya baba yako aongoze kwenda majuu zaidi ya raisi yoyote EAST AFRICA, cdm inakuja kufanya elimu iwe haki ya kila raia na wajibu wa serikali kuona raia wake wanapata elimu bora na kwa usawa, cdm inakuja kusimamia miradi iliyowapata utajiri mafisadi wachache, cdm inakuja kukusaidia na wewe unayefikiri kwa kutumia njaa ya tumbo.............................na kama akili yako inakuambia cdm kiongozi ni Mnyika tu basi akili yako haina akili,angalia michango ya wabunge wote wa cdm bungeni na madiwani wao katika halimashauri mbalimbali,........................endelea kuwalamba miguu wanaochukua mali za nchi hiiiiiiiiiiii,tuache sisi tusonge mbele...........Only time will tell.