Chadema njooni mchukue kadi yenu

Chadema njooni mchukue kadi yenu

mnapenda sana kuita watu vilaza lkn mie nimesoma vizuri sana! taaluma yangu haina shaka tangu mara sec, pugu , udsm na ninapofanya kazi sasa! hongera na ww kama unaweza kuwa na cheti na ufanisi kazi kama mm!

Mimi bado naamini kuwa wewe ni kilaza No 1. Hebu rudi kwenye post yako uisome vizuri halafu uifanyie tahariri labda ndio tutajua kuwa umefika huko unakotaka kutuaminisha, lakini kama ni kinyume na hapo sijakusoma ndugu kwani hata ulichokiandika mwenyewe hukijui.
 
hapa lazima niseme kitu. Sina njaa nashukuru Mungu, ila kwa upuuzi huu wa akina zitto hunielezi kitu!

dadangu ningekua mi kwa maukweli nilipewa na magreat thinkers ningeona aibu hata id yangu ningeifuta, ila sababu unanjaa na unatekeleza ajaira yako uliyopewa toka2010 utaendelea kuwepo
 
Huyu JOHN KOMBA mzee wa ToT naye bana; tangu lini umeachana na kadi yako ya kuzaliwa ya CCM. Tuondolee huo uchafu wako hapa!!!
 
kukomboa nchi ipi! kama ni ukombozi mkawasaidie Seria sio bongo .hapa tuko huru tuna-deal na changamoto za kimaendeleo!

Wewe huoni udhalimu unaofanywa na chama chako cha magamba?
 
Kila siku napenda kuwapa ushauri Pro-Chadema JF fanyeni kazi tabia ya kushinda vijiweni huku mnacheza drafti mkisubiri mikutano na maandamao ya Chadema nikupeteza muda wenu bure, hakuna serikali yeyote duniani inayogawa pesa kwa watu wa vijiweni.
 
Kila siku napenda kuwapa ushauri Pro-Chadema JF fanyeni kazi tabia ya kushinda vijiweni huku mnacheza drafti mkisubiri mikutano na maandamao ya Chadema nikupeteza muda wenu bure, hakuna serikali yeyote duniani inayogawa pesa kwa watu wa vijiweni.
Serikali ya Ustaadhi Imaamu Profesa Pumba itakuwa inagawa Pesa, acha kuwapotosha Waislamu.
 
Sitafuti kazi kupitia CDM nilipata kazi kabla makani hajawa mwenyekiti cdm! Nape ndo nani tena hapa mjini?
Nape ni yule kijana anaefanya kazi pale Lumumba kuidhinisha posho yako ya kutwa kwa wewe kukaa mtandaoni kutapika mapovu.
 
Aheri yako wewe uliyepata kazi UAMSHO makao makuu; hongera sana mkuu!!!!!!!!!

Kila siku napenda kuwapa ushauri Pro-Chadema JF fanyeni kazi tabia ya kushinda vijiweni huku mnacheza drafti mkisubiri mikutano na maandamao ya Chadema nikupeteza muda wenu bure, hakuna serikali yeyote duniani inayogawa pesa kwa watu wa vijiweni.
 
Huyu ***** sisiemu walimpa kazi gani akaona haifai sasa anataka chadema impe kazi????majitu mengine bwana yanafikiri kwa kutumi makalio badala ya kichwa
 
Kila siku napenda kuwapa ushauri Pro-Chadema JF fanyeni kazi tabia ya kushinda vijiweni huku mnacheza drafti mkisubiri mikutano na maandamao ya Chadema nikupeteza muda wenu bure, hakuna serikali yeyote duniani inayogawa pesa kwa watu wa vijiweni.
ila watu wa ccm wanagawiwa mapesa bila kufanya kazi
 
Tatizo unakipenda kiingireza lakini bahati mbaya kiingereza hakikupendi.
Habari za uhakika nilizonazo Profesa Pumba ndio next Mufti wa Bakwata, na ameshaanza kazi kimya kimya za kutetea haki za Mujahedeen.
 
Kila siku napenda kuwapa ushauri Pro-Chadema JF fanyeni kazi tabia ya kushinda vijiweni huku mnacheza drafti mkisubiri mikutano na maandamao ya Chadema nikupeteza muda wenu bure, hakuna serikali yeyote duniani inayogawa pesa kwa watu wa vijiweni.
Ungeanza kuwashauri kwanza wale vijana wa UVCCM waache kulialia kisa wamenyimwa chai, kisha uje kwa sisi washikaji zako tunaotega kila ijumaa kuandamana ili tupate nafasi ya kupora watu na kulalamika kuwa tunaonewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom