Kila siku napenda kuwapa ushauri Pro-Chadema JF fanyeni kazi tabia ya kushinda vijiweni huku mnacheza drafti mkisubiri mikutano na maandamao ya Chadema nikupeteza muda wenu bure, hakuna serikali yeyote duniani inayogawa pesa kwa watu wa vijiweni.
mnapenda sana kuita watu vilaza lkn mie nimesoma vizuri sana! taaluma yangu haina shaka tangu mara sec, pugu , udsm na ninapofanya kazi sasa! hongera na ww kama unaweza kuwa na cheti na ufanisi kazi kama mm!
Hivi tunajadili nini hapa?
Mkuu tafuta kibarua umri unaenda na Chadema ndio hiyo inazama.
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?
Kuwa mwanachama wa chadema haimaanishi kuacha kufanya kazi na kusubiri kuletewa maendeleo yako binafsi.fanya kazi kijana na nakupa angalizo huko kwenye uharakati unapotaka kwenda kusiwe ni kule kwa kuanza kutetea mambo ya Cameroon
Bora ujiulize, tafuteni kazi Chadema hawawezi kuwasaidia.
Baada ya kuchoma hiyo kadi so? Ndio utakuwa umetatua tazizo au umeongeza tatizo?
we unajadili nini hapa?Bora ujiulize, tafuteni kazi Chadema hawawezi kuwasaidia.
Kwani ulipoahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania ulienda hazina kuvunja ulipoona hayapatikani???? Dogo majungu si mtaji, fanya kazi acha kulalama kama mpiga debe.
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?
Hapo kwenye bold ndio wapi? Eti nimesoma Mara Sec, Pugu, UDSM,........... Products za institutions hizi haziwezi kuandika utumbo kama huo. I think your level of appreciating issues is diminishing!kukomboa nchi ipi! kama ni ukombozi mkawasaidie Seria sio bongo .hapa tuko huru tuna-deal na changamoto za kimaendeleo!
Habari za uhakika nilizonazo Profesa Pumba ndio next Mufti wa Bakwata, na ameshaanza kazi kimya kimya za kutetea haki za Mujahedeen.