MFUKO WA RAMBO
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 201
- 114
Yeah wameenda kunywa chai, tunaijua iyoNaona leo kila mtu anaiongelea CHADEMA.
Yeah wameenda kunywa chai, tunaijua iyoNaona leo kila mtu anaiongelea CHADEMA.
Kwa maana hiyo vyama vya upizani vipo kwa maslahi yao binafsi na siyo kupeleka Agenda za wananchi.unadhani vyama vya namna hiyo vinaweza kudumu hata mwaka mmoja.vyama kama CUF ,NCCR,vimejifia baada ya kukubali hayo unayo yasema kucompromise na serikali na chama tawala chadema bado hawajafikia muafaka na chama tawala na Serikali yake wapo kwenye mazungumzo wakujenga mustakabali mzima wa jinsi ya kuishi mtawala na mtawalia wasipofikia mwafaka ,tutegemee hali ngumu kwetu sisi watawalipa kwani watawala wanajichotea Top layer ya mchuzi sisi tutambulia mimaji mitupu ,kwahiyo hakuna ubaya kukutana ubaya utakuwa kwenye maamuzi yatakayo vikiwa kama yatakuwa na maslahi kwetu sotePamoja na madhaifu yake lakini kiukweli Zito Kabwe amedhiilisha ni kiongozi mwenye maono kuliko viongozi wote waliopo Chadema.
Kila kinachotokea sasa Zitto alikiona muda mrefu nyuma na akawa anawakumbusha kuweka akiba ya maneno sababu yeye anamjua Mbowe kuliko nyinyi mnaomsoma mitandaoni.
Sasa viongozi wenu pamoja na kejeli zote zote na matusi lakini wameishia alipokuwa anawaambia Zitto.
Kinachofata jiandaeni kuwaona viongozi wenu wakienda kwenye kikosi kazi cha Zitto kutoa maoni yao.
Watachukua ruzuku iliyotakana na uchaguzi haramu.
Mwisho wa siku wataenda kushiriki uchaguzi bila katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi na wimbo utakuwa ule ule wa siku zote maCCM yanaiba kura.
Haya yote Zitto ameyaona kabla ya viongozi wenu.
Zitto anajua muafaka wa kitaifa upo ndani ya katiba kila kitu mnachoenda kujadili na Rais kipo kwenye katiba na sheria za nchi ila anafahamu upinzani wote ni njaa kali, huwezi kuwa na principles ukiwa na njaa kali ndio maana kina Halima walichagua ulaji sio misimamo. Hivyo Zitto alikuwa anawaona mkirukaruka mwisho wenu ni kusogea kwenye foleni ya kulamba asali.
Tukubali tukatae Zitto amewazidi kwa mbali sana upeo viongozi wa Chadema.
Chadema kaeni karibu na Zitto awasaidie mawazo ya kuendesha chama chenu, kina Mbowe vichwa havioni mbali anymore.
Uko sahihi mkuu! Huo ndio ukweli, Chadema ni chama kilichoishiwa pumzi, matusi ya Lema yanaipoteza chadema.Tukubali tukatae Zitto amewazidi kwa mbali sana upeo viongozi wa Chadema.
Chadema kaeni karibu na Zitto awasaidie mawazo ya kuendesha chama chenu, kina Mbowe vichwa havioni mbali anymore.
Ndio kukompromyse kwenyewe hukoKwa maana hiyo vyama vya upizani vipo kwa maslahi yao binafsi na siyo kupeleka Agenda za wananchi.unadhani vyama vya namna hiyo vinaweza kudumu hata mwaka mmoja.vyama kama CUF ,NCCR,vimejifia baada ya kukubali hayo unayo yasema kucompromise na serikali na chama tawala chadema bado hawajafikia muafaka na chama tawala na Serikali yake wapo kwenye mazungumzo wakujenga mustakabali mzima wa jinsi ya kuishi mtawala na mtawalia wasipofikia mwafaka ,tutegemee hali ngumu kwetu sisi watawalipa kwani watawala wanajichotea Top layer ya mchuzi sisi tutambulia mimaji mitupu ,kwahiyo hakuna ubaya kukutana ubaya utakuwa kwenye maamuzi yatakayo vikiwa kama yatakuwa na maslahi kwetu sote
Tatizo mnaandika KWa hisia , kwani ni wapi walisema hawataki majadiliano ya maridhiano tangu kipindi Cha mwendazake, ata wa Sasa mpaka kuandika barua ya Kukutana naye, kupitia viongozi wa chadema ndo kilichofanyika juzi bila kujali unaekutana nae anania ya dhati?Pamoja na madhaifu yake lakini kiukweli Zito Kabwe amedhiilisha ni kiongozi mwenye maono kuliko viongozi wote waliopo Chadema.
Kila kinachotokea sasa Zitto alikiona muda mrefu nyuma na akawa anawakumbusha kuweka akiba ya maneno sababu yeye anamjua Mbowe kuliko nyinyi mnaomsoma mitandaoni.
Sasa viongozi wenu pamoja na kejeli zote zote na matusi lakini wameishia alipokuwa anawaambia Zitto.
Kinachofata jiandaeni kuwaona viongozi wenu wakienda kwenye kikosi kazi cha Zitto kutoa maoni yao.
Watachukua ruzuku iliyotakana na uchaguzi haramu.
Mwisho wa siku wataenda kushiriki uchaguzi bila katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi na wimbo utakuwa ule ule wa siku zote maCCM yanaiba kura.
Haya yote Zitto ameyaona kabla ya viongozi wenu.
Zitto anajua muafaka wa kitaifa upo ndani ya katiba kila kitu mnachoenda kujadili na Rais kipo kwenye katiba na sheria za nchi ila anafahamu upinzani wote ni njaa kali, huwezi kuwa na principles ukiwa na njaa kali ndio maana kina Halima walichagua ulaji sio misimamo. Hivyo Zitto alikuwa anawaona mkirukaruka mwisho wenu ni kusogea kwenye foleni ya kulamba asali.
Tukubali tukatae Zitto amewazidi kwa mbali sana upeo viongozi wa Chadema.
Chadema kaeni karibu na Zitto awasaidie mawazo ya kuendesha chama chenu, kina Mbowe vichwa havioni mbali anymore.
View attachment 2233677
Chadema walisema hawawezi kwenda kupiga picha ikulu wala hawawezi kujadiliana na watesi waoTatizo mnaandika KWa hisia , kwani ni wapi walisema hawataki majadiliano ya maridhiano tangu kipindi Cha mwendazake, ata wa Sasa mpaka kuandika barua ya Kukutana naye, kupitia viongozi wa chadema ndo kilichofanyika juzi bila kujali unaekutana nae anania ya dhati?
Sasa utalinganisha vipi kilichofanyika juzi na Chadema na uyo zito anayetaka maridhiano kufanyika pitia TCD huku zikiwepo agenda zisizo wazi ,
Wako sawa huwezi kwenda Ikulu piga picha za kujipendekeza ,bila agenda msingi ,na wameomba mda mrefu wasilisha agenda hizo tena KWa maandishi mda tu ,na juzi mda umepatikana wakaenda shida nini apo, ???Chadema walisema hawawezi kwenda kupiga picha ikulu wala hawawezi kujadiliana na watesi wao
Nitajie ajenda hata mbili ulizoambiwa wamewakilisha.Wako sawa huwezi kwenda Ikulu piga picha za kujipendekeza ,bila agenda msingi ,na wameomba mda mrefu wasilisha agenda hizo tena KWa maandishi mda tu ,na juzi mda umepatikana wakaenda shida nini apo, ???
Wewe unazitaka za nini wakati upo apa kimchongo,Nitajie ajenda hata mbili ulizoambiwa wamewakilisha.
Wamewakilisha kwa Kinana?
Jamaa umeandika kama tupo wakati wa kampeni maana katika kipindi hicho ndio mtu uongea bila hata kufikilia kama ulivyofanya wewe? Umejinasibu kumjua zzk lakini kumbe humjui hata kidogo unatoa ushauri kwenye chumba tupu na sauti inakurudia mwenyewe.Pamoja na madhaifu yake lakini kiukweli Zito Kabwe amedhiilisha ni kiongozi mwenye maono kuliko viongozi wote waliopo Chadema.
Kila kinachotokea sasa Zitto alikiona muda mrefu nyuma na akawa anawakumbusha kuweka akiba ya maneno sababu yeye anamjua Mbowe kuliko nyinyi mnaomsoma mitandaoni.
Sasa viongozi wenu pamoja na kejeli zote zote na matusi lakini wameishia alipokuwa anawaambia Zitto.
Kinachofata jiandaeni kuwaona viongozi wenu wakienda kwenye kikosi kazi cha Zitto kutoa maoni yao.
Watachukua ruzuku iliyotakana na uchaguzi haramu.
Mwisho wa siku wataenda kushiriki uchaguzi bila katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi na wimbo utakuwa ule ule wa siku zote maCCM yanaiba kura.
Haya yote Zitto ameyaona kabla ya viongozi wenu.
Zitto anajua muafaka wa kitaifa upo ndani ya katiba kila kitu mnachoenda kujadili na Rais kipo kwenye katiba na sheria za nchi ila anafahamu upinzani wote ni njaa kali, huwezi kuwa na principles ukiwa na njaa kali ndio maana kina Halima walichagua ulaji sio misimamo. Hivyo Zitto alikuwa anawaona mkirukaruka mwisho wenu ni kusogea kwenye foleni ya kulamba asali.
Tukubali tukatae Zitto amewazidi kwa mbali sana upeo viongozi wa Chadema.
Chadema kaeni karibu na Zitto awasaidie mawazo ya kuendesha chama chenu, kina Mbowe vichwa havioni mbali anymore.
View attachment 2233677
NjaaWako sawa huwezi kwenda Ikulu piga picha za kujipendekeza ,bila agenda msingi ,na wameomba mda mrefu wasilisha agenda hizo tena KWa maandishi mda tu ,na juzi mda umepatikana wakaenda shida nini apo, ???
Ulikuwa unatafutwa na MTAZAMO kwenye uzi fulani hivi.Kwani Zitto yeye hana njaa? Atusaidie vipi?
Kwakua umeitaja kigoma naona nikujibu niwanasiasa kutuka kigoma nfio wenyehoja nzito zilizowahi kuleta muelekeo nakusisimua binge mfanoYaani kibaraka wa CCM ndio aombwe mawazo?!! Si bora wakakaa na CCM yenyewe kujadiliana kuliko kibaraka wa CCM?!!
Zitto ni mnafiki mkubwa na ndumi la kuwili,asili ya wanasiasa wa Kigoma ni kutumika kama toilet paper!!