SILINDE kavaa hovyo kweli kweli.Kavaa magwanda na sandals za hvyo hvyo,kama sio mbunge vile.
Hivi kuna mtu amesema sugu na Lema wako dar kwa mkutano pale kwa alimaua ni kweli? Natamani kufika pale kumsikiliza kamanda wa kuwajengea vijana ujasiri. Huyu si mwingine ni Lema hana mpinzani kwa hilo.
SILINDE kavaa hovyo kweli kweli.Kavaa magwanda na sandals za hvyo hvyo,kama sio mbunge vile.
Hivi kuna mtu amesema sugu na Lema wako dar kwa mkutano pale kwa alimaua ni kweli? Natamani kufika pale kumsikiliza kamanda wa kuwajengea vijana ujasiri. Huyu si mwingine ni Lema hana mpinzani kwa hilo.
"musifiche uchadema wenu,huwezi kufukuzwa chuo kwa kuonesha identity yako kama wewe ni CDM" SILINDE
Silinde hanatoa history yake ya udsm,vijana tunafurahi.kweli chadema wanamajembe