Chadema ndani ya military university...!!

Mr.mzumbe

JF-Expert Member
Oct 11, 2011
1,014
957
Hallo wana-jf,
siku ya tar 28-jan{jumapili} makamanda wa CDM watakuwepo MZUMBE university.
Mpaka sasa board za matangazo zinaeleza viongozi wafuatao watakuwepo:-
1.Zitto
2.Lusinde
3.Mdee
4.Mnyika
5.Msanii Sugu.
6.Tundu Lissu.
Wakiongozwa na katibu mwenezi,bwana John Mnyika.
Nitakuwepo kwnye mkutano kama "jf presenter" kuwapa full update.
Ahsante.
 
Hallo wana-jf,
siku ya tar 28-jan{jumapili} makamanda wa CDM watakuwepo MZUMBE university.
Mpaka sasa board za matangazo zinaeleza viongozi wafuatao watakuwepo:-
1.Zitto
2.Lusinde
3.Mdee
4.Mnyika
5.Msanii Sugu.
Wakiongozwa na katibu mwenezi,bwana John Mnyika.
Nitakuwepo kwnye mkutano kama "jf presenter" kuwapa full update.
Ahsante.
JF presenter? Una maana gani mkuu?
 
Mkuu mbona umesema Military University umekosea au ni mimi siwezi kusoma vyema na kuelewa kitu hapa ?
 
Waambieni wasisahau kuhutubia changarawe kuna watoto tuliowaacha enzi zetu wanafaa kujiunga na CDM
 
Miti yote ya bendera iwe mitupu tafadhali tunakuja simika serikali halali isiyotambulika kisheria pipooooooooooooos
 
Back
Top Bottom