It takes one to know the other, dontcha think?
yah..tena na wewe ni m1 wao!
It takes one to know the other, dontcha think?
Duh Kamba mchana kweupeeeeee!!!!!!! Mashariki si yupo Zambi (CCM) na Magharibi ni Silinde (Chadema)?Lusinde yupi, huyu mbunge we CCM mwenye matusi au CDM na nyinyi mnaye wa kwenu?
Mtoto mwenyewe!!!! Kwani Nape Nnauye si amevuka umri wa kuwa UVCCM? Mbona anasoma pale? Au yupo kwenye list ya watoto?badala watulie majimboni kwao wanaenda kusumbua watoto wasisome
Lusinde ni mbunge wa Mbozi Mashariki kwa ticket ya Chadema.
Taarifa yako ya kesho tafadhari naomba isiwe na makosa kama ya leo
mf Tarehe 28.02.2012 badala ya 29.02.2012
Lusinde badala ya Silinde
Military University
Mtoto mwenyewe!!!! Kwani Nape Nnauye si amevuka umri wa kuwa UVCCM? Mbona anasoma pale? Au yupo kwenye list ya watoto?
ok! tutashukuru ila usisahau kusema kweli daima hata wakizomewaHallo wana-jf,
siku ya tar 28-jan{jumapili} makamanda wa CDM watakuwepo MZUMBE university.
Mpaka sasa board za matangazo zinaeleza viongozi wafuatao watakuwepo:-
1.Zitto
2.Lusinde
3.Mdee
4.Mnyika
5.Msanii Sugu.
6.Tundu Lissu.
Wakiongozwa na katibu mwenezi,bwana John Mnyika.
Nitakuwepo kwnye mkutano kama "jf presenter" kuwapa full update.
Ahsante.
ok! tutashukuru ila usisahau kusema kweli daima hata wakizomewa
"JF presenter" anamuwakilisha nani?
Lusinde yupi, huyu mbunge we CCM mwenye matusi au CDM na nyinyi mnaye wa kwenu?