Chadema ndani ya military university...!!

Hallo wana-jf,
siku ya tar 28-jan{jumapili} makamanda wa CDM watakuwepo MZUMBE university.
Mpaka sasa board za matangazo zinaeleza viongozi wafuatao watakuwepo:-
1.Zitto
2.Lusinde
3.Mdee
4.Mnyika
5.Msanii Sugu.
6.Tundu Lissu.
Wakiongozwa na katibu mwenezi,bwana John Mnyika.
Nitakuwepo kwnye mkutano kama "jf presenter" kuwapa full update.
Ahsante.

leo ni 28 ambayo ni jumamosi na wewe unasema jpili vipi bwana..
 
mie nilijuwa watakuwa monduli kumbe Mzumbe! how do you call it millitary university?
 
Mkutano huo utahusisha wanachuo peke yake? Na saa ngapi utaunguruma? PIPOS.............
 
Utahusisha wanachuo peke yake? Na ni saa ngapi utaunguruma? Pipos....................
 
Back
Top Bottom