Hallo wana-jf,
siku ya tar 28-jan{jumapili} makamanda wa CDM watakuwepo MZUMBE university.
Mpaka sasa board za matangazo zinaeleza viongozi wafuatao watakuwepo:-
1.Zitto
2.Lusinde
3.Mdee
4.Mnyika
5.Msanii Sugu.
6.Tundu Lissu.
Wakiongozwa na katibu mwenezi,bwana John Mnyika.
Nitakuwepo kwnye mkutano kama "jf presenter" kuwapa full update.
Ahsante.
badala watulie majimboni kwao wanaenda kusumbua watoto wasisome
badala watulie majimboni kwao wanaenda kusumbua watoto wasisome
amerekebisha hili, kuwa flexible ni muhimu, pia jaribu kupitia post zote kabla hujapost ya kwako kwa maneno mengine acha uvivu wa kusomaleo ni 28 ambayo ni jumamosi na wewe unasema jpili vipi bwana..
kulikuwa na haja gani kumuita miss wakati yeye ni Mr. MzumbeMr. Mzumbe/Miss Mzumbe, asante kwa taaria.
Watatuliaje wakati watu wanakufa ma-dr wamegoma, vijana wako mitaani hakuna ajira....badala watulie majimboni kwao wanaenda kusumbua watoto wasisome
JF presenter? Una maana gani mkuu?
Shilinde au Lusinde?