Chadema ndani ya Bukoba

Chadema ndani ya Bukoba

Big up Regia Mtema-WK-KA.

Tunawaombea na tuko nyuma yenu. Saa ya Ukombozi imewadia. Nifikishie pole za dhati kwa Mhe.Dr.Slaa na wabunge kutokana na usumbufu wa kukamatwa kule Shinyanga. Hilo halitazuia nia na kusudi la CDM la kuwakomboa Watanzania kutoka kwenye MAKUCHA YA MAFISADI WA CCM. Hawa jamaa wa CCM wanafikiri kamatakamata na mabomu ndiyo vitazima moto wa CDM. They are totally wrong!

FREEDOM IS COMING TOMORROW!!!!!

God Bless you all. God Bless CHADEMA. God bless Tanzania.
 
Yananihusu kwa sababu huyu Mwanamke anamhusu Slaa, na Slaa ananihusu mimi kama mpiga kura.

Huyu jimama alim cost Slaa hundreds of thousands of votes kufuatia kashfa ya kesi ya ugoni na ngono katikati ya kampeni.

Sasa anatembea na vi skin tight kwenye grass root campaigns za chama vijijini kwenye mizizi ya mila za Kiafrika zinazochefuliwa na mavazi yanayoonyesha nyuchi za nyuma na mbele. A devastating impact on the image of Dr. Slaa's values and his wayward sex partner.


attachment.php
Kama ni mila za kiafrika kabla ya ukoloni tulikuwa tunaziba sehemu chache za mwili,kama unabisha nenda kwa wahadzabe.
Nakuinama kwa mrembo huyu wa Slaa ni kuonesha heshima kwa Mwenyekiti tu siyo kuwa anaona aibu ya vazi alilovaa,watu wengine tabia zenu mbaya zinafichwa tu na mavazi marefu,hivyo msimsakame na vazi la kupambana ulitaka ajitande vitenge ili aoneshe kuwa yeey ni mwafrika halisi
 
Wakuu, Habari!!!

Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

Kutoka Kahama
Regia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.

=================
KATIKA PICHA

KEMONDO.jpg

Hapa ni Kemondo

BUKOBA.jpg

Nimeipenda sana hii picha, siyo sura za watu bali wanayowaza
 
Maumivu ya kichwa huanza taaaaratb kisha, usije kabisa kupuuza yanapokuwa taaaaaratb piga pain killer mara moja maana unaweza ishia kitandani kwa siku kadhaa au kaburini kabsaaaaaa.
Hatima ya uongozi iko njia moja. huko cdm inakopita ni kama kuvuta manati tu cjui itaachiliwa wapi nimependa sana mfano wa manati toka kwa mwanajamvi ni kweli.
 
walah mimi ni mwanachama wa ccm ila kwa stail hii naamini sasa sisiem no way out lazima tung'ooke tu. Hali ngumu ya maisha ni kwa wote bila kujali vyama. Hakuna pakutokea ccm haifiki 2015. Keep my woods for true.
daima big up dada yetu hata sisi tulio nje ya nchi tunapata taarifa za uhakika mara zote toka kwako - edmonton canada
 
Awamu ya kwanza imekamilika awamu ya pili ni KUIMARISHA CHAMA MIKOANI NA WILAYANI. Hongera CDM kwa kutuamsha WATANZANIA.
 

wadau, msikatishwe tamaa na utaratibu uliopo...niwape imani kuu kuwa sehemu ambazo maandamano yamepita, hakuna atakayerudi nyuma tena, kama kutakuwa na mabadiliko, basi ujue ni positive changes(yaani hapo utasikia ..tawi zima la ccm labadilika na kuwa la cdm...et al)...
Lakini pia mjue kilichofanyika kwa muda huu mfupi ni kikubwa sana,..tusisahau pia kuwa jopo hili zima lilikuwa kwenye kazi kama hiyo just three months ago, hivyo kuna hali ya kuchoka na kuhitaji mapumziko kidogo...
Lakini pia na tujue kuwa maandamano haya yanatakiwa yaende nchi nzima, na ukifanya harakaharaka unaweza kukuta byjust end of the year umeshamaliza mikoa yoote, na huna la kufanya tena, hivyo inatakiwa kwenda kwa step iliyopimwa...!
Lakini pia kuna wajibu za kiofisi za wabunge, katibu mkuu, mwenyekiti wa chama, na wengineo wote wanaozunguka sasa, na kazi hizo ni lazima zifanyike, hivyo concentration ikiwa kwenye maandamano tu kuna hatari ya kupoteza channel'''
nadhani tupongeze kazi iliyofanyw
a, maana kwa mtu yeyote mwenye fikra za kidemokrasia kichwani, uwakilishi wa mikoa iliyopitiwa umetuingia barabara mioyoni!
na pia hivi vitu vina hitaji rasilimali fedha,watu na logistics ambayo nayo inahitaji fedha ,kwahiyo let give them space to complete there strategic plans ndugu.
 
Wakuu, Habari!!!

Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

Kutoka Kahama
Regia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.

=================
KATIKA PICHA

KEMONDO.jpg

Hapa ni Kemondo

RWAMISHENYE.jpg

Hapa ni Rwamishenye

BUKOBA.jpg

dada asante sana mungu akubariki na akulinde siku zote uweze kutupa habari mbalimbali! viva forever CDM! NATAMANI 2015 IFKIE HARAKA NIICHAGUE TENA CHADEMA
 
Leo tunashambilia wilaya za mkoa huu na hivi sasa vikosi kazi ndio vinaondoka kuelekea kwenye maeneno husika.Dr Slaa atakuwa Nkenge wakati Mbowe atakuwa Biharamulo.Wengine watakuwa Chato,Karagwe na Muleba.

Aluta Continua.
 
leo tunashambilia wilaya za mkoa huu na hivi sasa vikosi kazi ndio vinaondoka kuelekea kwenye maeneno husika.dr slaa atakuwa nkenge wakati mbowe atakuwa biharamulo.wengine watakuwa chato,karagwe na muleba.

Aluta continua.
safi sana.
Viva la revolusion.
 
Dada Regia,mby lini?cc 2naonekana kama wanaharakat,2napata shida mitaani,kuulizwa kuwa,rais atakuja lini,yaani wa2 wana mzuka mpaka bac
 
Safi sana dada Regia,

Ahsante sana kwa updates.

Watu wa Dar msitusahau jamani, tunataka tuanze kwa kuwapokea kwa maandamano.

Pliz plz ..kama hili halipo kwenye ratiba mliweke pliz. haipendez mrudi makao makuu kimya kimya..lazima tuwapokee kama wakombozi, plizzz ya Dar muhimu sana.
 
Leo tunashambilia wilaya za mkoa huu na hivi sasa vikosi kazi ndio vinaondoka kuelekea kwenye maeneno husika.Dr Slaa atakuwa Nkenge wakati Mbowe atakuwa Biharamulo.Wengine watakuwa Chato,Karagwe na Muleba.

Aluta Continua.

Mueneze amani na sio chuki miongoni mwa wana jamii na sio chuki na uchochezi,

Jipangeni kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa mwakani na uchaguzi mkuu wa 2015.
 
amani ya k*i*s*e*n*g*e anaitaka nani?

kikwete lazima ang'oke kwa maana dhambi alizotenda nchi hii ni kosa sawa na kosa la uhaini dhidi ya serikali yake mwenyewe.

nchi kama china RA na AL wangekuwa wamenyongwa.

lakini jk na genge lake wanamuandaa AL kuwa Rais.

this is purely ridiculous

Mtasema maneno yoooote lkini siku zenu zinahesabika.

hamuwezi hata siku moja kuteteresha amani a nchi.

waulizeni Arusha nini kiliwapata baada ya kujaribu kucheza na dola
 
Hiyo yote ni mayuyu tu na mvua kubwa bado kushenya hivyo Mungu awe nanyi wote wote huko na pia dada yangu Regina Mungu atakungulie
 
wewe ndugu yangu nahisi ni zero brain,
yani CDM umeona wanapoteza hela, lakini chama chako matanuzi(CCM) wanapoteza mabilioni kwa ufisadi na starehe, kwako ni poa tu.
sasa hivi Jk yuko paris anabembea, hayo huoji.
CDM wanazunguka mikoani kutoa somo la elimu wa uraia, we unaona wanapoteza hela...kweli we mpuuzi
Mkuu hapo umekosea kabisa! kwanza unamjua Gurudumu? Huyu ni mpiganaji na mpambanaji wa CDM dhidi ya mafisadi CCM.
Ujawahi kuona hata post zake na coment zake? Alichokifanya hapo kwa mh.R.Mtema ni kupeleka ujumbe ambao yeye na wata
nzania tuliowengi tungependa kuona maandamano ya nguvu ya umma kupitia CDM yanaenda moja kwa moja hadi ikulu na mkwere
alale mbele maana yeye na chama chake ccm wameshindwa kutekeleza kile ambacho wananchi wanataka.
 
Ni kweli kabisa mbona tangu Kikwete ahutubie Taifa Tv nyingi hazionyeshi maandamano hayo bora mngeandaa vipindi maalum hata kwa kulipia ili Watanzania wengi waelewe Tanzania inaelekea wapi mambo kama matukio ya Arusha,maandamano na mikutano inayofanyika kanda ya ziwa watu kama Pinda wanadanganya lakini watu kutoka maeneo mengine wanashindwa kuelewa ukweli ni upi na niwachache wenye access ya computer kama sisi asante
 
Hakika saa ya ukombozi ni sasa. Aliyekuwepo jana uwanja wa uhuru ameona kuwa sasa kilichobaki ni kuanza kuchimba kaburi na kukizika chanma cha majambazi. peeeeeeeeeeeeeeeepleeeeeeeeeeeeeeeeees?
 
Back
Top Bottom