britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Nasemaga na yana kuwa tuna Muda wa kuweka historia katika maandishi, visiki na vigogo ndani ya CHADEMA hawaelewani,
Mnajua mbowe kashtuka? ...yaani Lissu anataka kumfanya mtu asiyejielewa Saana ...alikimbia nchi hapa akasema usalama wake uko hatarini....uchaguzi ukafika akarudi kuja kugombea hakuhofia usalama....
Uchaguzi umeisha tu huyooo anakimbia eti usalama mara ushageuka kuwa mbaya kumbe anakimbilia $6000 kwa mwezi Belgium zinazolipwa na shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa akiwa aa premium package....
Sasa Mbowe akaona isiwe tabu na mimi kabla CHADEMA haijawa kama ilivyokuwa NCCR na CUF vilipopanda na kushuka na huku Mbowe akikiona kabisaaa ACT kikihatarisha kuchukua nafasi ya Chama kikuu cha upinzani na CHADEMA Kufa KAMA NCCR na CUF...Mbowe Kaona BORA TU AWE UPande wa kupata chochote, bahasha ya mbowe jana ilikuwa nono kuzidi wajumbe wengine,
Msigwa alipanga aongelee Suala hili akapigwa beat akafuta tweet.
Lema na Lissu hawakubaliani kabisa na msimamo wa Mbowe Kwenda kuonana na Samia wakiamini watapoteza nguvu ya kuipinga serikali
Vijana waliojizolea Umaarufu mtandaoni Kwa matusi nao wako njia Panda ama wafuate mlengo wa akina Lissu Au mlengo wa akina Mbowe
Ndembe ndembe sana yan
Naendelea
Mnajua mbowe kashtuka? ...yaani Lissu anataka kumfanya mtu asiyejielewa Saana ...alikimbia nchi hapa akasema usalama wake uko hatarini....uchaguzi ukafika akarudi kuja kugombea hakuhofia usalama....
Uchaguzi umeisha tu huyooo anakimbia eti usalama mara ushageuka kuwa mbaya kumbe anakimbilia $6000 kwa mwezi Belgium zinazolipwa na shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa akiwa aa premium package....
Sasa Mbowe akaona isiwe tabu na mimi kabla CHADEMA haijawa kama ilivyokuwa NCCR na CUF vilipopanda na kushuka na huku Mbowe akikiona kabisaaa ACT kikihatarisha kuchukua nafasi ya Chama kikuu cha upinzani na CHADEMA Kufa KAMA NCCR na CUF...Mbowe Kaona BORA TU AWE UPande wa kupata chochote, bahasha ya mbowe jana ilikuwa nono kuzidi wajumbe wengine,
Msigwa alipanga aongelee Suala hili akapigwa beat akafuta tweet.
Lema na Lissu hawakubaliani kabisa na msimamo wa Mbowe Kwenda kuonana na Samia wakiamini watapoteza nguvu ya kuipinga serikali
Vijana waliojizolea Umaarufu mtandaoni Kwa matusi nao wako njia Panda ama wafuate mlengo wa akina Lissu Au mlengo wa akina Mbowe
Ndembe ndembe sana yan
Naendelea