HakikaaaLemma haweza ku survive bila Siasa za matusi, anapoteza relevancy.
Lissu ameshaanza kuangalia zaidi uhai wake nadhani pia familia inampa shinikizo, kwamba inamuhitaji, pia watoto wake wanasomea huko na hawajamaliza, hii inamchanganya, akirudi na hana kipato
UP kile cha Wasukuma?Skia hii. Mlema,lipumba,mbowe,ztto, lisu
navya vingine vyote
ni ccm blanches
tanzania Bado hatuna chama Cha upinzani kweli kweli Hawa waliopo nizuga tu ya kuu Hadaa ulimwengu wa democracy
Skia hii aliye mpeleka lisu Kenya hospital baada ya kupigwa risas ni jk,
Aliye mtoa sraha na kumweka rowasa ni mbowe lengo likiwa ccm ibaki madarakani
Usisahau mbowe NI chaga mr/wazee wa masrahi
Ccm itaendelea kubaki madarakani kwa Karne kadhaa
Chama pinzani labda kingekuwa umoja party na kwasababu walitokea nje ya mfumo huenda Safari yao ili ishia pale
Moderator Huyu jamaa akiwa na akili timamu alishasema hatoandika uzi kwenye jukwaa hili (Ushahidi wa wazi upo) , kwanini mnamuacha atambe na uzushi wake ?
Insider informer wa wapi bwege tuu huyo! Hivi hao mnaowaona wanatetea utawala huu kopakopa mnaziangalia kwa makini hoja zao?Si anasema yeye ni insider informer??
Useless scholar, mgogoro Gani Sasa? mbona mwaka umeisha sijaona Hilo fukuto Chadema!! No wonder uchumi haukui unakuta mtu kma ww ni professor au hta Katibu mkuu wa wizara.Mama kafungua nchi! Rangi yetu halisi imeanza kuonekana
EnheeAcha kuota ndoto za mchana.
Enhee
Bado sijaona hii ya chadema kutoelewana.Enhee
Bahatisha na wewe basiBado sijaona hii ya chadema kutoelewana.
Msigwa alikuwa anatumika na intelenjensia ya CDM iliona na kumtema ,baada ya kutemwa ndiyo akaona ajiunge moja kwa moja.
Dr Msukuma friji aligandishi alimchana live Iringa kwenye mkutano wa katibu mkuu(Chongolo).
Umebahatisha kwenye utengeuzi wa Nape na Makamba ila CDM Kufukuta si kweli.
Bahatisha na wewe basi
Utabaki kuwaombea mabaya na kufanya uchochezi usio na tija 😝
🤔Acha kuota ndoto za mchana.
Bado sijaona mgogoro ,kutofautiana kimawazo kwenye uchaguzi au vikao vya ndani ni kawaida sana.