CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

Haya maknjanaja wa Tanzania sidhani kama wanaweza kupata hata nafasi ya ufagiajii Wallstreets journal.

Hebu angalieni these two contradictory statements

1. CDM imemuangukia mbunge wa Kiggoma Kasikazini ZZK kutaka suluhu kuhusu chama chao kuelekea uchaguzi mkuu.

2. Apewa (ZZK) mtihani wa kukiomba chama radhi.

CDM imuangukie ZZK, halafu baadaye impe mtihani wa kuombwa radhi, badala ya CDM yenyewe kumuomba radhi ZZK?!.

Huyu mwandishi wa RAI ni zaidi ya Kanjanja, even my four years hero boy can't write that STUPIDITY.
 
hilo gazeti huwa linaandika hapari za kumsifu zitto tu.....

hizo habari ni za uongo tu.
 
imeripotiwa katika magazeti ya leo kwamba chadema imemwangukia mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe na kutaka kusuluhishana na kumaliza tofauti zao na hatimaye kurudi kukijenga chadema kuelekea uchaguzi mkuu wa dola 2015.

Nini tafsiri na mantiki ya hatua hiyo muhimu ya chadema baada ya kukamisha uchaguzi wa ndani ya chama bila Zitto kisha kumwangukia?? Je, ni dhamira ya dhati au ni kumhadaa na kumkejeli kumpima kama yuko imara??
DSC03488.jpg

Huyo mwandishi wa gazeti nadhani ni mmoja wa wale aliosema Zitto kuwa ni wapambe wake waliomgombanisha na Freeman na sasa (mwandishi) anajibaraguza ili aonekane mwema kwa ZZK wakati kammwagia kitumbua chake na sasa ni shida ZZK kuaminika tena ndani ya CDM. Nitaamini tu kama atatoa ushahidi wa hayo aliyoandika. Tangu lini ZZK kachukua mikoba ya marehemu shekhe Yahaya? Shame upon such journalists whose aim is always to cause misunderstandings among the members of the society.
 
Gazeti ni la Rostam, Rostam ni rafiki wa karibu wa Lowassa, lowassa ni mfadhiri wa chama cha zitto kitwaacho ACt, lowasa akibwagwa ccm atagombea urais kupitia ACT, hivyo wanalowassa(Rai) wanamfariji kijana wao. Simple syllogism Tu
 
Kilichoimaliza chadema sio zitto kabwe.

Kilichoimaliza chagadema ni

UDINI

UKANDA NA

UKABILA.

FULL STOP.

na kilichommaliza zitto ni ile briefcase nyekundu ya fedha chafu za ccm hadi kawa mbunge wa mahakama,hivi kwa nini hayupo bungeni?nisaidie radical islamist
 
Akili ndogo imeamua kurudi chini na kuitambua akili kubwa...! Cdm bado inamuhitaji Zuber..!
 
Ebu iwekeni habari kamili basi tuwasome maana inasema chama kimemtaka yeye ndiye aombe radhi kwa hiyo pengine kuna mazungumzo yamefanyika. Mlokuwa ndani mtujuze ukweli ni upi maana hizi habari haziwekwi ovyo ovyo ikiwa kweli hakuna mzazungumzo. lazima zimetoka mahala na kama kawaida yetu msema kweli japo ni siri -huitwa mwongo!..
 
Naona si vibaya kuomba radhi kama atamaanisha. There is neither permanent enemy nor friend in politics.
 
We mleta mada kwa nn usiseme zito kaiangukia chadema?
 
Hatumtaki. Hatuna muda wa kumwangalia. Meambieni aendelee kupalilia shamba lake la ACT

Iwe jua iwe mvua, Chadema chama ninancho kiamini hakiwezi kwa namna yoyote eti kimuombe/kitafute suluhu na Zitto! kwa lipi? Yaani baada ya kufanya yote aliyo yafanya kwa nia ovu na chama leo hii chama ndio kiombe suluhu?

Labda mmesahauu! Mhariri wa gazeti la rai ni Denis msacky aliye kuwa mwananchi, ni rafiki na swahiba wa MM aliye kuwa anampa front page kwa namna anavyo taka. Kama alifanya hivyo akiwa mwananchi nini kinamshinda leo akiwa rai?

Sisi (Chadema) tulisha malizana naye na yeye kupitia mkasi alisha sema ana elekea chama gani, kwa nini Rai lilazimishe kuifix Chadema kwa hila?

Kwa sasa habari ya mjini kule Kigoma Kaskazini ni Dr Yared Fubusa.

Ngoja nikumegee CV yake kidogo.

- Yared Fubusa ni Phd (Uchumi na maliasilia)

- kaziliwa kijiji cha kiganza kata ya mwandiga kigoma kaskazini

- Shule ya msingi Kiganza, Kigoma 1989

- O level Mwandiga Kigoma 1993

- A level Milambo Tabora 1996

- Degree ( Uchumi) 2000 Longwood University Marekani

- Masters (Uchumi na maliasili) 2003 University of Utah Marekani

- Phd (Phd economics and natural resources) 2010 Utah state university Marekani

Lecturer African studies 2003 - 2004

Kazi kwa sasa.

Mwanzilishi na mkurugenzi Gombe School of Environment and society (Gaseso)

Mmiliki wa chuo kikuu (kinajengwa Kigoma). Chuo kikuu cha maliasili, Gombe university of Tanzania.

Yuko kwenye orodha ya Ashoka (Washington DC) ya watu adimu duniani wenye mawazo na uwezo wa kubadili maisha ya wengine.

Makazi kwa sasa.

Kijiji cha Kiganza kata ya Mwandiga Kigoma.

Tulisha funga kitabu cha MM tuna ukurasa mpya aache kutafuta nitoke vipi.
 
Back
Top Bottom