CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

Mkuu ukiingia kwenye website ya hilo gazeti ukabofya waandishi wa RAI utakuta Zitto ni miongoni mwa waandishi wa kila wiki wa hilo gazeti.Kwa hiyo si ajabu mwandishi wa hiyo makala ni Zitto mwenyewe kwa gia ya mwandishi maalumu.Pia Kitila Mkumbo ni mwandishi hapo.Nimeanza kumdharau sasa Jenerali Ulimwengu maana kwa weredi alio nao ni aibu sana hii.
jenerali Ulimwengu hahusiki na RAI yyanahusika na RAIA MWEMA Rai alishaiuza kwa ----- Aziz
 
Nitamshangaa sana Zitto akirudi chadema bora ubaki ukijenge ACT waache hao na uchaga wao.
 
Kisa sio Mchaga!
Dhambi ya ukabila itaendelea kukutafuna hadi kaburini ww unaona kama malengo yako ya kisiasa yanafanikiwa lkn hii dhambi unayoifanya ina madhara makubwa kwa jamii ya watz.
 
Hiyo yote ni kutaka kuhalalisha hurka yako ila basically wewe uko biased na hasa linapokuja sula la Zitto(CCM) Vs. Chadema. Ni sahihi kujenga taswira ya kuyajadili masuala ya kisiasa kwa upeo mpana zaidi wa kujenga. Sambamab na hilo pongezi zitolewe, haiingii akilini kuwa siku zako zote Cdm ina makosa tuu, lini uliwapongeza hao Chadema? Kubwa hapa unaendeleza utapeli ule ule wa kitanzania wa kutumia wasomi kuhadaa watu wa mashambani kuwa Ccm ndio tegemeo bila kuweka balance of truth, bado haiingii akilini kuwa ccm inatenda mema kwako tu kila siku. Ipo siku mta aibika tu!
Kweli kabisa mimi niko bias na ndivyo nionavyo tofauti na kuwa mshabiki wa kitu nisokijua kina malengo gani. Kupingana na maamuzi ya kijinga ambayo yamekigharimu chama inaweza chukuliwa vyovyote utakavyo lakini sintoficha maovu yanayofanyika kwa sababu tu niwafurahishe watu hapa JF. Na wala hutanisikia nikiisifia CCM mahala popote isipokuwa KISIASA wanavyoweza kukabiri mambo kama haya kiasi kwamba hadi kesho wataendelea kututawala kwa ujinga kama huu.

Jengeni hoja za msingi kisera dhidi ya CCM na sio kutumia majina ya watu kuwa ndio sera za Chadema hii itawafikisha wapi? nani atawakipigia kura Chadema kwa sababu eti Zitto ni msaliti - Mrema aliitwa msaliti CCM yule pale hadi kesho anapeta. Kama chama kimekosa mwelekeo tusiseme?
 
Msamaha kama wa Zitto hauombwi kupitia magazeti tena yale ya propaganda. Hii ni topic nzito sana.
 
Hii ni hazina ya chama.Lazima uchumi upae baada ya 2015.

Iwe jua iwe mvua, Chadema chama ninancho kiamini hakiwezi kwa namna yoyote eti kimuombe/kitafute suluhu na Zitto! kwa lipi? Yaani baada ya kufanya yote aliyo yafanya kwa nia ovu na chama leo hii chama ndio kiombe suluhu?

Labda mmesahauu! Mhariri wa gazeti la rai ni Denis msacky aliye kuwa mwananchi, ni rafiki na swahiba wa MM aliye kuwa anampa front page kwa namna anavyo taka. Kama alifanya hivyo akiwa mwananchi nini kinamshinda leo akiwa rai?

Sisi (Chadema) tulisha malizana naye na yeye kupitia mkasi alisha sema ana elekea chama gani, kwa nini Rai lilazimishe kuifix Chadema kwa hila?

Kwa sasa habari ya mjini kule Kigoma Kaskazini ni Dr Yared Fubusa.

Ngoja nikumegee CV yake kidogo.

- Yared Fubusa ni Phd (Uchumi na maliasilia)

- kaziliwa kijiji cha kiganza kata ya mwandiga kigoma kaskazini

- Shule ya msingi Kiganza, Kigoma 1989

- O level Mwandiga Kigoma 1993

- A level Milambo Tabora 1996

- Degree ( Uchumi) 2000 Longwood University Marekani

- Masters (Uchumi na maliasili) 2003 University of Utah Marekani

- Phd (Phd economics and natural resources) 2010 Utah state university Marekani

Lecturer African studies 2003 - 2004

Kazi kwa sasa.

Mwanzilishi na mkurugenzi Gombe School of Environment and society (Gaseso)

Mmiliki wa chuo kikuu (kinajengwa Kigoma). Chuo kikuu cha maliasili, Gombe university of Tanzania.

Yuko kwenye orodha ya Ashoka (Washington DC) ya watu adimu duniani wenye mawazo na uwezo wa kubadili maisha ya wengine.

Makazi kwa sasa.

Kijiji cha Kiganza kata ya Mwandiga Kigoma.

Tulisha funga kitabu cha MM tuna ukurasa mpya aache kutafuta nitoke vipi.
 
Chadema bila Zitto haiendi popote pale, jana nilongea na mtu wa karibu sana na Mbowe. Akadai kuwa CCM ni Chama cha waislam ndo maana mgombea uraisi lazima awe mwislam. Chadema ndio mkombozi wa Wakristo. Ndo maana kila mwislam akionyesha nia ya kugombea uwenyekiti CDM anaitwa msaliti. Mfano: Kabur, Wangwe, Arfi, Zitto...
Kama we ni mkristo na ukiwa na nia ya kuwa mwenyekiti taifa wa CCM lazima uitwe mfisadi. Mfano: Lowassa, Mtei...
Nani alahumiwe? Je! ni Nyerere au vyama vya siasa?
 
Chadema bila Zitto haiendi popote pale, jana nilongea na mtu wa karibu sana na Mbowe. Akadai kuwa CCM ni Chama cha waislam ndo maana mgombea uraisi lazima awe mwislam. Chadema ndio mkombozi wa Wakristo. Ndo maana kila mwislam akionyesha nia ya kugombea uwenyekiti CDM anaitwa msaliti. Mfano: Kabur, Wangwe, Arfi, Zitto...
Kama we ni mkristo na ukiwa na nia ya kuwa mwenyekiti taifa wa CCM lazima uitwe mfisadi. Mfano: Lowassa, Mtei...
Nani alahumiwe? Je! ni Nyerere au vyama vya siasa?

Alivyokongoroka ana nguvu ya kuongoza ACT tu sio chama la kimataifa, Kikwete kabeba wanawe wako marekani mzimu wake Zitto anajipamba kwenye gazeti eti kuna anayemtaka chadema, akamalize dozi kwanza
 
Chadema bila Zitto haiendi popote pale, jana nilongea na mtu wa karibu sana na Mbowe. Akadai kuwa CCM ni Chama cha waislam ndo maana mgombea uraisi lazima awe mwislam. Chadema ndio mkombozi wa Wakristo. Ndo maana kila mwislam akionyesha nia ya kugombea uwenyekiti CDM anaitwa msaliti. Mfano: Kabur, Wangwe, Arfi, Zitto...
Kama we ni mkristo na ukiwa na nia ya kuwa mwenyekiti taifa wa CCM lazima uitwe mfisadi. Mfano: Lowassa, Mtei...
Nani alahumiwe? Je! ni Nyerere au vyama vya siasa?
ahahaha! Duh, sikujua kunmbe Chacha Wangwe alikuwa Muislaam? na Mkapa, Nyerere pia.. ama kweli vyama hivi wanajua sana kuwasoma watu.
 
Kwa hali ikofikia zito ndo mkombozi aliyebaki ukizingatia mbowe slaa wamepoteza mvuto na hoja wananchi wamewakinai hawana jipya lema lisu mnyika wanaonekana ni mapepe
Kwa jinsi alivyokonda hadi fuvu kwa msongo wa mawazo kwa kuishiwa sera na mvuto wa kisiasa amebakiza kupelekwa milembe tu hana jinsi lazima ajinyonge chadema aliyoisaliti inapaa
 
Honestly, Zitto asingekuwa msaliti, ni mjenga hoja mzuri. Ila naona CDM imeimarika zaidi baada ya kumtimua. Wanasemaga, njia ya mwongo ni fupi, uongo na usaliti wa Zitto, umejitenga.
 
Ni kituko na kichekesho Zitto kutumia magazeti ya washirika zake CCM kujaribu kuomba msamaha Chadema.Hiki ni kituko cha mwaka.

Kama Zitto anataka kuomba msamaha asimame mbele ya Watanzania atubu madhambi yake na hila zake za kutaka kuua upinzani Tanzania.

Ni mwendawazimu pekee atakayeamini uchafu huu wa Zitto alioupenyeza kwenye gazeti la CCM eti tunataka suluhu naye! Ebo..Tutake suluhu na mhujumu mageuzi Tanzania?

Mkutano mkuu wa Chadema uliofanyika wiki iliyopita na kumrudisha kwa kishindo madarakani Freeman Mbowe umewaumbua makuwadi wote wa kisiasa Tanzania na kuwaacha wameficha nyuso zao kwa aibu.

Just Imagine mkutano mkuu uliohudhiriwa na mabalozi wa mataifa ya kigeni zaidi ya 19!

Namshauri Zitto aende akauze dagaa kama biashara ya siasa imemshinda kuliko kutapatapa na vijarida vya CCM.

tukaneni, jifarijin mjuavyo na mpendavyo lakin shughul bila ZZK mtaijua vizur 2015 kama mlivyoionja kwny chaguz ndogo kwa chopa 3 na viti 3-saa hiz mnatembelea nyota ya UKAWA, Mliwatukana CUF na NCCR lakin leo mmekubal kuvua vyeo na kuwapatia hao mliowaita Waliberali-na bado, wizi na udanganyifu wa Mbowe na Slaa vitaendelea kuitafuna Chagadema mpaka ife na ninyi mtakuja kusema hapa 2015 M/mungu akitupa uhai. kwa upande wa Mtoi ni wa kumuonea huruma-ni sawa na mfanyakaz wa mwarabu (huwa hawajitambui) nadhan kwa fikra zake ni kwamba Chama bado kinampima kwa ajili ya madaraka wakat kurasa zimeshafungwa na sasa ni kama fisi anamfuata binadam akidhan mkono unaoning'inia unakaribia kudondoka
 
Last edited by a moderator:
tukaneni, jifarijin mjuavyo na mpendavyo lakin shughul bila ZZK mtaijua vizur 2015 kama mlivyoionja kwny chaguz ndogo kwa chopa 3 na viti 3-saa hiz mnatembelea nyota ya UKAWA, Mliwatukana CUF na NCCR lakin leo mmekubal kuvua vyeo na kuwapatia hao mliowaita Waliberali-na bado, wizi na udanganyifu wa Mbowe na Slaa vitaendelea kuitafuna Chagadema mpaka ife na ninyi mtakuja kusema hapa 2015 M/mungu akitupa uhai. kwa upande wa Mtoi ni wa kumuonea huruma-ni sawa na mfanyakaz wa mwarabu (huwa hawajitambui) nadhan kwa fikra zake ni kwamba Chama bado kinampima kwa ajili ya madaraka wakat kurasa zimeshafungwa na sasa ni kama fisi anamfuata binadam akidhan mkono unaoning'inia unakaribia kudondoka

Mwambie Zitto amlipe Mbowe nguo za ndani soksi na hela za chipps mayai aliyokuwaa akipewa chuoni na Mbowe vipi hana shukrani anamtambia mfadhili wake wa zamani baada ya wafadhii uchwara akina mwigulu msakynd the like ku take over
 
Back
Top Bottom