CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

Unapaswa kujua Chadema sio mtu, ni taasisi. Na kwa jinsi suala lenyewe lilivyo aliyetakiwa kuangukiwa ni chama sio Zitto kwani yeye ndiye mkosaji, kasaliti chama.
Pengine Zitto ameanza mipango ya kutaka kuomba radhi kwa hiyo anazusha haya ili ikitokea akaomba radhi ili arudishwe kwenye chama ionekane aliangukiwa.
Chadema kama taasisi haiko tayari kumwangukia yoyote zaidi ya kutekeleza majukumu yake ya kikatiba likiwemo suala la kuwatimua wanaoenda kinyume.
Kwa kifupi, labda uwe na ubongo wa mende ndo utaamini uzushi huu wa habari Za kubumba ili kujaribu kuiondoa Chadema katika harakati Za kupambana na uhuni unaofanywa kwenye mchakato wa Katiba Mpya.
Ova
chadema ni mbowe kwa taarifa yako.
 
Mwanasiasa huwa hatelezi mkuu Kituko anachokifanya ni lengo madhubuti Lenye mtaji kwake kisiasa ..!
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kuwa viongozi wa chadema watataka zito awaombe radhi bali watataka awaombe radhi wanachama,then atawekwa cini ya uangalizi
 
Kwa hiyo RAI ndilo linamwombea Zitto msamaha? sijakuelewa.

Mkuu ukiingia kwenye website ya hilo gazeti ukabofya waandishi wa RAI utakuta Zitto ni miongoni mwa waandishi wa kila wiki wa hilo gazeti.Kwa hiyo si ajabu mwandishi wa hiyo makala ni Zitto mwenyewe kwa gia ya mwandishi maalumu.Pia Kitila Mkumbo ni mwandishi hapo.Nimeanza kumdharau sasa Jenerali Ulimwengu maana kwa weredi alio nao ni aibu sana hii.
 
Last edited by a moderator:
Binafsi huwa naumia sana ninapoona vijana wanalazimisha kuzimisha nyota zao kwa tamaa ya fedha!!

Zitto, kama unataka kuomba msamaha, omba msamaha kwa watanzania(chama) bila kutumia propaganda mufirisi, hazitakusaidia!!
 
hakuna ubaya kama zitto anapenda kufanya suluhu, chadema hakuna haja ya kumsusa, wamkaribishe ma wanaweza kumpa kazi( role) isiyo ya kiutendaji moja kwa moja ili kumweka ktk uangalizi
 
Mkuu ukiingia kwenye website ya hilo gazeti ukabofya waandishi wa RAI utakuta Zitto ni miongoni mwa waandishi wa kila wiki wa hilo gazeti.Kwa hiyo si ajabu mwandishi wa hiyo makala ni Zitto mwenyewe kwa gia ya mwandishi maalumu.Pia Kitila Mkumbo ni mwandishi hapo.Nimeanza kumdharau sasa Jenerali Ulimwengu maana kwa weredi alio nao ni aibu sana hii.

Mkuu,si hao tu pia yumo msaliti mwingine Yona Patrick aliekuwa mwenyekiti Chadema Temeke na vibaraka wote wa Zito wanaofahamika wamehamia huko
 
Last edited by a moderator:
propaganda tu nani atake maiti irudi duniani si atakuwa msukule hata azikili ameshapoteza tena nafasi yake ya kitaifa kisiasa na kuaminika na wananchi wewe uliyemdanganya kwa milioni mia mbili na vidola vya ujerumani upo wizarani unatamba naibu waziri mpuuzi shetani uliyesimama

Ha ha ha, Mwigulu Nchemba ana akili kubwa kuliko Zitto Kabwe! Kweli Zitto wamemlogea Pangani.
 
Mkuu ukiingia kwenye website ya hilo gazeti ukabofya waandishi wa RAI utakuta Zitto ni miongoni mwa waandishi wa kila wiki wa hilo gazeti.Kwa hiyo si ajabu mwandishi wa hiyo makala ni Zitto mwenyewe kwa gia ya mwandishi maalumu.Pia Kitila Mkumbo ni mwandishi hapo.Nimeanza kumdharau sasa Jenerali Ulimwengu maana kwa weredi alio nao ni aibu sana hii.

RAI si gazeti la Jenerali Ulimwengu bali la Rostam Aziz
 
Last edited by a moderator:
Nilivyosikia na mleta uzi unayoyaongea ni tofauti kabisa kwan inaelekea zitto ndio anataka yaishe na ameambiwa akitaka aombe msamaha kwa umma, sasa ndugu yako ww aya umeyatoa wap?
 
imeripotiwa katika magazeti ya leo kwamba chadema imemwangukia mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe na kutaka kusuluhishana na kumaliza tofauti zao na hatimaye kurudi kukijenga chadema kuelekea uchaguzi mkuu wa dola 2015.

Nini tafsiri na mantiki ya hatua hiyo muhimu ya chadema baada ya kukamisha uchaguzi wa ndani ya chama bila Zitto kisha kumwangukia?? Je, ni dhamira ya dhati au ni kumhadaa na kumkejeli kumpima kama yuko imara??

Source; RAI NGUVU YA HOJA

Angalia source yako; hilo ni gazeti la kada maarufu wa CCM, mzaliwa wa Igunga, Rostam Aziz; mzee wa siasa za maji taka; ambalo mtendaji mkuu wake ni Hussein Bashe; kada mwingine wa CCM kutoka kule Nzega
Maisha yako; CDM haiwezi kufanya kitu kama hicho; Zitto aende zake ACT; Alliance of Cowards and Traitors. period

Baada ya uchaguzi wa ndani wa CDM; Zitto hana lake tena pale; kafa kifo cha mende, aendelee kusubiri kesi zake ziishe hata kama zikichukua miaka 20; hana athira tena ndani ya CDM. dead men do not matter!
 
imeripotiwa katika magazeti ya leo kwamba chadema imemwangukia mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe na kutaka kusuluhishana na kumaliza tofauti zao na hatimaye kurudi kukijenga chadema kuelekea uchaguzi mkuu wa dola 2015.

Nini tafsiri na mantiki ya hatua hiyo muhimu ya chadema baada ya kukamisha uchaguzi wa ndani ya chama bila Zitto kisha kumwangukia?? Je, ni dhamira ya dhati au ni kumhadaa na kumkejeli kumpima kama yuko imara??

Source; RAI NGUVU YA HOJA
Magazeti mengi ya kibongo bana, yaani wanachojali ni watoto wao wakimbizane maliwato tu!!
 
Gazeti la RAI si ndo lilinuunuliwa na makada wa ccm na waandishi wake wa makala wakaanzisha Raia mwema so source yako tayar ina disqualify habari yako!!!
 
imeripotiwa katika magazeti ya leo kwamba chadema imemwangukia mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe na kutaka kusuluhishana na kumaliza tofauti zao na hatimaye kurudi kukijenga chadema kuelekea uchaguzi mkuu wa dola 2015.

Nini tafsiri na mantiki ya hatua hiyo muhimu ya chadema baada ya kukamisha uchaguzi wa ndani ya chama bila Zitto kisha kumwangukia?? Je, ni dhamira ya dhati au ni kumhadaa na kumkejeli kumpima kama yuko imara??

Source; RAI NGUVU YA HOJA
Zitto hana jipya ndani ya CDM, Kinachofanyika ni kitu wanaita political lobbying
 
Uchaguzi wa viongozi muhimu wa chama umeshaisha; kwa hiyo hata akirudi poa tu

Hii habari kaiandika zitto mwenyewe kupima upepo. Ujue kwa sasa hana jukwaa la kisiasa na bado kesi yake ipo mahakama kuu. Hata hivyo chadema ni chama makini na hakina uhaba wa wanasiasa. Hakina haja ya muafaka na Zitto eti kuimarisha safu ya kuelekea uchaguzi. Ndani ya chama wapo makada wengi tena wenye kumzidi uwezo kwa mbali. Chama kitawatumia hao na sio mamluki. Asubiri kama uamuzi wa mahakama ukitoka mapema achukue uenyekiti wa chama chake Act apate jukwaa na agombee nafasi za kisiasa.
 
Back
Top Bottom