Pesambilli
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 283
- 78
habar zenu wana jamvi... Ni mda mrefu sana mwana siasa machachali zitto kabwe zuberi amekuwa na mgogoro na chama chake cha chadema ambacho kilifikia na kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama. Pamoja na hayo mambo mengi alihusishwa nayo kama vile usaliti, na huku akishukiwa kuwa ni kibaraka mkubwa wa ccm. Yote yalipita na hatimaye kauli ya mwisho ya zitto ikawa kwamba "mimi ntakuwa mtu wa mwisho kutoka chadema..." lakin jana nimeweza kushitushwa pale zitto kabwe alipo uelezea umma kuwa alikaribishwa kwenye mkutano wa (ukawa). Kijana huyu kaweza kukalibishwa na walio mwita msaliti? Hakika chadema wamegundua kitu kwa kijana huyu.... Chadema wamefyata mkia kwa zitto kabwe tusipepese macho kwa kuongea uongo. Huo ndio ukweli na hakika ukweli unauma. Tafakari. Nawasilisha.
Acha kuongea pumba. Swala linalojadiliwa ni la kitaifa kwa manufaa ya Wananchi wote wa Tanzania. Sasa mambo ya vyama yanaingiaje hapo? Maana wote vyama vya upinzani na CCM wamejadili swala hilo kwa pamoja kwa sbb ni la kitaifa. It means na CCM nawo wameufyata? Shame on you