CHIMBELEKO
Senior Member
- Sep 19, 2014
- 120
- 12
Viongozi wanambembeleza sababu wameshapata walichokua wanataka.
Mkuu ukiingia kwenye website ya hilo gazeti ukabofya waandishi wa RAI utakuta Zitto ni miongoni mwa waandishi wa kila wiki wa hilo gazeti.Kwa hiyo si ajabu mwandishi wa hiyo makala ni Zitto mwenyewe kwa gia ya mwandishi maalumu.Pia Kitila Mkumbo ni mwandishi hapo.Nimeanza kumdharau sasa Jenerali Ulimwengu maana kwa weredi alio nao ni aibu sana hii.
imeripotiwa katika magazeti ya leo kwamba chadema imemwangukia mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe na kutaka kusuluhishana na kumaliza tofauti zao na hatimaye kurudi kukijenga chadema kuelekea uchaguzi mkuu wa dola 2015.
Nini tafsiri na mantiki ya hatua hiyo muhimu ya chadema baada ya kukamisha uchaguzi wa ndani ya chama bila Zitto kisha kumwangukia?? Je, ni dhamira ya dhati au ni kumhadaa na kumkejeli kumpima kama yuko imara??
![]()
Bila zitto hakuna chadema.
Mkuu ukiingia kwenye website ya hilo gazeti ukabofya waandishi wa RAI utakuta Zitto ni miongoni mwa waandishi wa kila wiki wa hilo gazeti.Kwa hiyo si ajabu mwandishi wa hiyo makala ni Zitto mwenyewe kwa gia ya mwandishi maalumu.Pia Kitila Mkumbo ni mwandishi hapo.Nimeanza kumdharau sasa Jenerali Ulimwengu maana kwa weredi alio nao ni aibu sana hii.
Kilichoimaliza chadema sio zitto kabwe.
Kilichoimaliza chagadema ni
UDINI
UKANDA NA
UKABILA.
FULL STOP.
Yule kijana ambaye bila yeye hakuna chadema