Wapumbavu tuu ndio watakaoandamana ambao wapo tayari kupigana kwa ajili ya masilahi ya viongozi wa ChademaElezea huo upumbavu
HaswaPanic
Wewe uchawa wako kwa CCM unakusaidia nini zaidi kula matembele?Wapumbavu tuu ndio watakaoandamana ambao wapo tayari kupigana kwa ajili ya masilahi ya viongozi wa Chadema
Sijawahi kuwa chawa wa chama chochote kile, ht hao ccm wakizingua hua nasema ila tatizo lenu mnaona pale mnapokosolewa nyie tuu.Wewe uchawa wako kwa CCM unakusaidia nini zaidi kula matembele?
Wapumbavu tuu ndio watakaoandamana ambao wapo tayari kupigana kwa ajili ya masilahi ya viongozi wa Chadema