Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Hii ndio hali halisi kwa sasa huko Mikoani, kwamba Baada ya Mafanikio ya Maandamano ya Amani katika Majiji manne , Maandamano hayo yameanza kutakiwa kila Mkoa.
Taarifa zinaonyesha kwamba Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa Wananchi wake kuyataka maandamano hayo ya amani , ambayo mbali na wananchi kuyatumia kama njia ya kuelezea kero zao , ikiwemo ugumu wa maisha ambao haujawahi kutokea tangu Nchi hii ilipopata Uhuru wake, lakini inasemekana Heshima ya Mkoa yanapofanyika Maandamano hayo huongezeka mara dufu , inadaiwa kwamba wanaoshiriki maandamano wanaonekana kama watu wanaojitambua na wenye akili timamu .
Bali Swali letu ni hili, Je Chadema wataweza kutimiza Takwa hili muhimu la Wananchi kote Tanzania ?
Taarifa zinaonyesha kwamba Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa Wananchi wake kuyataka maandamano hayo ya amani , ambayo mbali na wananchi kuyatumia kama njia ya kuelezea kero zao , ikiwemo ugumu wa maisha ambao haujawahi kutokea tangu Nchi hii ilipopata Uhuru wake, lakini inasemekana Heshima ya Mkoa yanapofanyika Maandamano hayo huongezeka mara dufu , inadaiwa kwamba wanaoshiriki maandamano wanaonekana kama watu wanaojitambua na wenye akili timamu .
Bali Swali letu ni hili, Je Chadema wataweza kutimiza Takwa hili muhimu la Wananchi kote Tanzania ?