Kwako hujui mbowe kaomba msamaha kwenye nini?watz tunakuwa driven sana na itikadi za kisiasa zetu kuliko kuitanguliza nchi mbele na kukubali tulipoteleza m/kiti wako amb=ekubali kama pale wameteleza na ameomba msamaha wewe umekaa unangangania tu
CUF wamekwazwa nini?, vyama vya kiliberali haviungi mkono haki za mtu binafsi ikiwemo ushoga?Ningekuwa mimi siombi radhi wala nini...
CUF wamekwazwa nini?, vyama vya kiliberali haviungi mkono haki za mtu binafsi ikiwemo ushoga?
Ha ha......CUF wamekuwa caught by surprise masikini....Suala hili nyeti sana kwa masalahi yao.Ni kama wafalme wa uarabuni wanatunza sana mashoga,na kwao wanapitisha sana amri za kuwaua mashoga wanaoshikwa mitaani.Ingawa wanapenda fanya haya ktk makasri yao, au ktk madanguro nje ya nchi yao...Ngoma inakuja pale wakishikwa ktk nchi za watu halafu taarifa ikawafikia raia wa kawaida wa hizo nchi(za kiarabu) wanaoamini kuwa hayo maovu makubwa sana.Na ukweli umejulikana, itawafanya CUF kutulia maaba ghiliba zao zimeanikwa kweupe.
Najiuliza kama ISINGEKUWA KWELI kwa nini CUF walihamanika vile kiasi cha kutishia usalama wa Bunge?
Sasa kama ni kweli Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ambayo inatambua haki za mashoga, kwa nini CUF nao wanakasirika kuambiwa ni wanachama wa vyama vya kiliberali ambavyo vinatambua haki za mashoga? Mbona watanzania tunaujua ukweli kuhusu msimamo wa Jumuiya ya Madola na hatukasiriki?... Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?...
shallow! haki sawa! unaweza kubeba mimba ww?CUF wanaposema "Haki sawa kwa wote" wanakua na maana gani?
Bosi wenu Nape aliambiwa alete ushahidi kuwa CHADEMA kinapokea misaada ya fedha kutoka nje akang'aa macho, na wewe leta kwanza ushahidi wa madai yako ndipo tujadili hoja hako.Lkn CHADEMA pia naona wamo ktk misaada ya consavative wakati kiongozi wao mkuu ni David Cameroon ambae nae ni mmoja waliopendekeza ndoa za jinsia moja,pia wamejiunga ktk umoja wa vyama vya kikiristo duniani na walipokea misaada mingi kupitia huko,leo nani atakataa kuwa chadema sio chama cha kidini?ukizingatia hata hao viongozi wao waanglicana ndio source ya ushoga ulimwenguni,inamana na waanglikana wote nao ni mashoga????
Pole kwa kutoelewa hili suala..muone mwana CDMwa karibu yako kwa msaada zaidi.Mimi nakushangaeni sana mnaopiga kelele,dunia nzima watu wote wanajua kuwa WAANGLIKANA ndio mashoga wakubwa duniani hd kutamani kudinyana wenyewe kwa wenyewe vidume,sasa km hvyo ningefurahi sana km wenje angesema kuwa KANISA LA ANGLIKANA ndio linaloongoza kwa ushoga wakatibndani ya CUF hakuna waanglikana lkn CHADEMA waanglikana kibao akiwemo kiongozi wao,kwa hiyo nadhani angesema hv basi ingekuwa safi sana.
Acha umbea wewe.pamoja na mimi kuwaelimisha humu ndani tofauti ya "haki ya mwizi" na "wizi", haki ya teja, uteja", "haki ya uislam" na "mwislam", Ukristu na mkristu,ugaini na gaidi.....hawa akina CUF wao wanatetea "ushoga" na si "haki ya shoga".Lkn CHADEMA pia naona wamo ktk misaada ya consavative wakati kiongozi wao mkuu ni David Cameroon ambae nae ni mmoja waliopendekeza ndoa za jinsia moja,pia wamejiunga ktk umoja wa vyama vya kikiristo duniani na walipokea misaada mingi kupitia huko,leo nani atakataa kuwa chadema sio chama cha kidini?ukizingatia hata hao viongozi wao waanglicana ndio source ya ushoga ulimwenguni,inamana na waanglikana wote nao ni mashoga????
Mnadhimu wa CUF kwa niaba ya CUF na Mh Freeman Mbowe kwa niaba ya CHADEMA wameombana radhi Bungeni baada ya kikao cha jana kilichokaa mpaka usiku.
CHADEMA.
CHADEMA japokuwa hawabadilishi msimamo wao kuhusu ukweli kwamba CUF wapo ktk umoja wa vyama vya kilibirerali ambavyo msingi wake mkuu ni kutetea haki za watu binafsi ikiwepo ushoga na usagaji hata hivyo, kwa ajili ya mustakabali mwema wa Tanzania CHADEMA wakawaomba radhi CUF pale waliopokwazwa na maneno yaliyotumika.
Mbowe pia amemwomba spika radhi kutokana usumbufu wa kuahirishwa Bunge kutokana hotuba yao.
CUF.
CUF wamewaomba radhi CHADEMA kupitia kwa kiongozi wao kuhusu matusi, kejeli na Kashfa walizomwambia Wenje. Wenje alisoma kwa niaba ya CHADEMA, siyo hotuba binafsi. Matusi dhidi ya wenje ni matusi dhidi ya kambi nzima ya CHADEMA.
Pili, Cuf walichana hotuba ya CHADEMA bungeni.
Tatu, CUF walifanya vurugu zilizosababisha Bunge kuahirishwa.
aamlishwa kumuomba radhi naibu spika kwa kosa la Wenje kumdhalau naibu spika,na pia anatakiwa kuomba radhi bunge lote.
My take.
wote wamefanya jambo jema.
Basi ujue kuwa idadi ya maliberali itakuwa imeongezeka kwa kasi kubwa....au na wewe ni mliberali..?
Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.
My take;
CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.
Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?
Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.
Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza...Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.
My take;
CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.
Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?
Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.
Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.