Baada ya Andiko kabambe la Askofu Mwamakula, Walioituhumu Chadema kuhusika na Wabunge wa Covid 19 waombe radhi haraka

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
128,561
246,020
Tumeandika humu JF kwa miaka mingi kwamba kwa namna yoyote ile Chadema haikuwahi kuteua Wabunge wa Viti Maalum baada ya Uchaguzi wa 2020, tulifafanua kisomi kwamba Chadema haikuwa na uwezo wa kwenda Gerezani usiku wa manane kumtoa Mfungwa Nusrst Hanje na kumpeleka Bungeni kuapishwa ili awe mbunge wa viti maalum, Watu wajinga walitupinga na kututukana matusi ya nguoni huku lengo lao likiwa kuchafua Chadema, (Hata hivyo hawakufanikiwa).

Sasa Andiko hili la Askofu Mwamakula limewavua nguo na kuwaacha watupu wale wote waliohusisha Uchafu ule wa serikali ya awamu ya 5 wakishirikiana na Baraza lote la Mawaziri pamoja na Spika Ndugai na Tulia Ackson.

Huyu hapa Baba Askofu Mwamakula.

Screenshot_2025-01-04-13-01-56-1.png


Ni vema wale wote walioshambulia Chadema bila ushahidi wowote wajitokeze hadharani, Tena kwenye Ukurasa wa mbele wa JF kama vile walivyokuwa na kiherehere wakati wanaandika uongo hapa JF, Vinginevyo nitawataja kwa majina yao yote matatu na nitawatangaza kama Maadui wa Nchi wa Milele, NAWAPA WIKI MOJA TU YA KUOMBA RADHI.

Mungu Ibariki Chadema
 
Tumeandika humu JF kwa miaka mingi kwamba kwa namna yoyote ile Chadema haikuwahi kuteua Wabunge wa Viti Maalum baada ya Uchaguzi wa 2020, tulifafanua kisomi kwamba Chadema haikuwa na uwezo wa kwenda Gerezani usiku wa manane kumtoa Mfungwa Nusrst Hanje na kumpeleka Bungeni kuapishwa ili awe mbunge wa viti maalum, Watu wajinga walitupinga na kututukana matusi ya nguoni huku lengo lao likiwa kuchafua Chadema, (Hata hivyo hawakufanikiwa).

Sasa Andiko hili la Askofu Mwamakula limewavua nguo na kuwaacha watupu wale wote waliohusisha Uchafu ule wa serikali ya awamu ya 5 wakishirikiana na Baraza lote la Mawaziri pamoja na Spika Ndugai na Tulia Ackson.

Huyu hapa Baba Askofu Mwamakula.

View attachment 3192080

Ni vema wale wote walioshambulia Chadema bila ushahidi wowote wajitokeze hadharani, Tena kwenye Ukurasa wa mbele wa JF kama vile walivyokuwa na kiherehere wakati wanaandika uongo hapa JF, Vinginevyo nitawataja kwa majina yao yote matatu na nitawatangaza kama Maadui wa Nchi wa Milele, NAWAPA WIKI MOJA TU YA KUOMBA RADHI.

Mungu Ibariki Chadema
Mbowe must go
 
Wewe ni mbwiga Mno

Yaani CCM iteue hao COVID 19 kwa sababu ya Maendeleo ya nchi halafu wawaombe Mbowe na LISU waridhie?

Yaani Kabisa Magufuli aombe idhini ya Mbowe aliyefeli jimboni Hai?

Acheni ujinga 🐼😄
 
Makengeza Mbowe ana ushawishi gani zaidi ya kunywa konyagi na kudandia ruzuku za chama?

Hivi ukiwa Rais wa nchi mwenye kila instruments of power unahitaji idhini ya mlevi kama mbowe!?

You simply get things done, huhitaji walevi wakubaliane na jambo lako.
 
Ila ule uhuni waliofanya Ndugai, ndio nilijua umuhimu wa katiba mpya.
Ndugai anapaswa kabisa kumfuata Magufuli. Alilewa madaraka kabisa.


Chadema haikufuata taratibu za kikatiba kuwafukuza hilo nalo hamuoni kuwa ni mbinu ya Fisadi Mbowe kujisafisha.

Hivi unajua kila mbunge alikua anatoa laki tano kumchangia Mbowe tangu wabunge wakiwa zaidi ya mia moja . Pesa zote hizo Huyo Fisadi alikua anazipeleka wapi wakati chama hakina ofisi za wilaya na majimbo yote ??

Mbowe must go .
 
Tumeandika humu JF kwa miaka mingi kwamba kwa namna yoyote ile Chadema haikuwahi kuteua Wabunge wa Viti Maalum baada ya Uchaguzi wa 2020, tulifafanua kisomi kwamba Chadema haikuwa na uwezo wa kwenda Gerezani usiku wa manane kumtoa Mfungwa Nusrst Hanje na kumpeleka Bungeni kuapishwa ili awe mbunge wa viti maalum, Watu wajinga walitupinga na kututukana matusi ya nguoni huku lengo lao likiwa kuchafua Chadema, (Hata hivyo hawakufanikiwa).

Sasa Andiko hili la Askofu Mwamakula limewavua nguo na kuwaacha watupu wale wote waliohusisha Uchafu ule wa serikali ya awamu ya 5 wakishirikiana na Baraza lote la Mawaziri pamoja na Spika Ndugai na Tulia Ackson.

Huyu hapa Baba Askofu Mwamakula.

View attachment 3192080

Ni vema wale wote walioshambulia Chadema bila ushahidi wowote wajitokeze hadharani, Tena kwenye Ukurasa wa mbele wa JF kama vile walivyokuwa na kiherehere wakati wanaandika uongo hapa JF, Vinginevyo nitawataja kwa majina yao yote matatu na nitawatangaza kama Maadui wa Nchi wa Milele, NAWAPA WIKI MOJA TU YA KUOMBA RADHI.

Mungu Ibariki Chadema
YAANI UKIMWAMINI HUYO ANAYEJIITA ASKOFU UCHWARA ANAYOYASEMA UJUE TAYARI NI KIPIMO KUWA UMESHAKUWA NA TATIZO LA AFYA YA AKILI HUYU ANATUNGA TU MANENO ILI APATE KUSIKIKA NAYE KAONGEA SASA JPM KWELI AMFUATE KIBAKA KAMA HUYU AMUAMBIE IU KAMA HICHO? NI KICHEKESHO CHA MWAKA HUYU MZEE TANGU ALIVYOINGIZWA MAHABUSU WAKALAMBA TIGO AKILI YAKE ISHAKUWA NA MAFUTA YA TAA KWAHIYO HATA WEWE UNAYEAMINI MANENO YAKE TAYARI NA MATATIZO YA AKILI
 
Wewe ni mbwiga Mno

Yaani CCM iteue hao COVID 19 kwa sababu ya Maendeleo ya nchi halafu wawaombe Mbowe na LISU waridhie?

Yaani Kabisa Magufuli aombe idhini ya Mbowe aliyefeli jimboni Hai?

Acheni ujinga 🐼😄
KILA MTU ANAMSHANGAA HUYI CHIZI ALIYESEMA NA ALIYEANDIKA
 
YAANI UKIMWAMINI HUYO ANAYEJIITA ASKOFU UCHWARA ANAYOYASEMA UJUE TAYARI NI KIPIMO KUWA UMESHAKUWA NA TATIZO LA AFYA YA AKILI HUYU ANATUNGA TU MANENO ILI APATE KUSIKIKA NAYE KAONGEA SASA JPM KWELI AMFUATE KIBAKA KAMA HUYU AMUAMBIE IU KAMA HICHO? NI KICHEKESHO CHA MWAKA HUYU MZEE TANGU ALIVYOINGIZWA MAHABUSU WAKALAMBA TIGO AKILI YAKE ISHAKUWA NA MAFUTA YA TAA KWAHIYO HATA WEWE UNAYEAMINI MANENO YAKE TAYARI NA MATATIZO YA AKILI
Matusi hayatakuondolea Umasikini unaokukabili
 
Tumeandika humu JF kwa miaka mingi kwamba kwa namna yoyote ile Chadema haikuwahi kuteua Wabunge wa Viti Maalum baada ya Uchaguzi wa 2020, tulifafanua kisomi kwamba Chadema haikuwa na uwezo wa kwenda Gerezani usiku wa manane kumtoa Mfungwa Nusrst Hanje na kumpeleka Bungeni kuapishwa ili awe mbunge wa viti maalum, Watu wajinga walitupinga na kututukana matusi ya nguoni huku lengo lao likiwa kuchafua Chadema, (Hata hivyo hawakufanikiwa).

Sasa Andiko hili la Askofu Mwamakula limewavua nguo na kuwaacha watupu wale wote waliohusisha Uchafu ule wa serikali ya awamu ya 5 wakishirikiana na Baraza lote la Mawaziri pamoja na Spika Ndugai na Tulia Ackson.

Huyu hapa Baba Askofu Mwamakula.

View attachment 3192080

Ni vema wale wote walioshambulia Chadema bila ushahidi wowote wajitokeze hadharani, Tena kwenye Ukurasa wa mbele wa JF kama vile walivyokuwa na kiherehere wakati wanaandika uongo hapa JF, Vinginevyo nitawataja kwa majina yao yote matatu na nitawatangaza kama Maadui wa Nchi wa Milele, NAWAPA WIKI MOJA TU YA KUOMBA RADHI.

Mungu Ibariki Chadema
Kwa nini Chadema iwanyime nafasi wanawake Kwa Kisingizio Cha msimamo wakati kura zilitosha wao kuwa Wabunge?

Hongera sana Wabunge wanawake wa Chadema Kwa kukubali na kupigania Haki yenu,yaani kuishi maisha ya shida Kwa Kukiuka Haki zenu kisa mnamfurahisha Lisu na genge lake?
 
Tumeandika humu JF kwa miaka mingi kwamba kwa namna yoyote ile Chadema haikuwahi kuteua Wabunge wa Viti Maalum baada ya Uchaguzi wa 2020, tulifafanua kisomi kwamba Chadema haikuwa na uwezo wa kwenda Gerezani usiku wa manane kumtoa Mfungwa Nusrst Hanje na kumpeleka Bungeni kuapishwa ili awe mbunge wa viti maalum, Watu wajinga walitupinga na kututukana matusi ya nguoni huku lengo lao likiwa kuchafua Chadema, (Hata hivyo hawakufanikiwa).

Sasa Andiko hili la Askofu Mwamakula limewavua nguo na kuwaacha watupu wale wote waliohusisha Uchafu ule wa serikali ya awamu ya 5 wakishirikiana na Baraza lote la Mawaziri pamoja na Spika Ndugai na Tulia Ackson.

Huyu hapa Baba Askofu Mwamakula.

View attachment 3192080

Ni vema wale wote walioshambulia Chadema bila ushahidi wowote wajitokeze hadharani, Tena kwenye Ukurasa wa mbele wa JF kama vile walivyokuwa na kiherehere wakati wanaandika uongo hapa JF, Vinginevyo nitawataja kwa majina yao yote matatu na nitawatangaza kama Maadui wa Nchi wa Milele, NAWAPA WIKI MOJA TU YA KUOMBA RADHI.

Mungu Ibariki Chadema
Mbona hao COVID-19 wako kwenye kampeni na Freeman Mbowe ambae ni Mkt wa CHADEMA 🤣🤣
 
Back
Top Bottom