CHADEMA na CUF walazimika kuomba msamaha Bungeni

CHADEMA na CUF walazimika kuomba msamaha Bungeni

hivi kama CHADEMA harakati zao ni kutukana matusi bungeni hadi nje, kejeli ,vurugu ,matamko ya uongo etc,.. sasa mkipewa nchi itakuwaje jamani???. si itakuwa vurugu tupu mawaziri wenyewe kina Wenje,Mbilinyi,Lema ,Lissu ,Kiwia,Nyerere... mhh itakuwa nchi au klabu ya pombe za kienyeji???

badilikeni ummarufu na chama haujengwi hivyo....
 
Siku hizi mnalipwa kwa kuanzisha thread? naona leo umafungua zaidi ya thread5, Lumumba Project sasa siyo kwa idadi ya post ni thread eh?
 
Siamini kuwa eti kwa sababu Conservative ya Cameroon wanaafiki ushoga na kuupigia debe na ni chama rafiki na CDM basi nawao CDM ni sawa na Conservative cha UK vile vile siamini CDM kuwa na uhusiano na Christian Democratic Union cha ujerumani basi na CDM ni chama cha kikristo! Vile vile siamini kuwa kwakuwa Tanzania ni wanachama wa jumuiya ya madola nchi zenye kupigania haki za mashoga nyingi zimo kwenye jumuiya hiyo kunaifanya Tanzania kuwa nchi inayopigania haki za mashoga unless and only I was stunted when I was under 5 years and my brain stunted too!
Pengine nikuambie tuu imani yako si kipimo cha ukweli.

Pili mahusiano ya vyama vingine na wenzao, kutetea "USHOGA SI AZIMIO LAO" na kam si azimio mwanachama hawajaibiki litekeleza. CUF wamejiweka sehemu mbaya kabisa ,na hii si bahati mbaya.Ukiangaliakwa makini ni wazi CUF ili wapitishwe walithibitisha mengi sana,ikiwepo kupeleka nakala ya katiba yao kuwekwa ktk file.Hii katiba na sera lazima ziwe compartible na katiba na kauli mbiu za hao jamaa.

Kuna mamabo yahusianayo na ushoga ktk vyama vyote duniani.Ila vyama vingine huwa vinapinga "ushoga/usagaji" ila kuwapiga vita mashoga ambao vi victims wa hii tabia.Hawa waliberal wanatetea "tabia "na si "watu".Kutetea watu ni haki na sahihi...na hili ni tatizo kwa nchi za kiarabu na africa...tabia za kishoga hazipigwi vita utaona ktk nyimbo zao,mazungumzo yao..ila kumshambuiwa mwathirika hata kumuua ni kawaida.

Ukipinga tabia unamsaidia mwathirika, ni kama kuusifu ukimwi na kuwapga vita waathirika wa ukimwi.
 
Unaweze kutaja tusi walilotukana bungeni Chadema? Acheni ushabiki unaowamaliza ninyi wenyewe! Hakuna faida hata chembe unayopata kwa kuwanenea owongo chadema. Sana sana tegemea lawama kwa watoto wako kwa kuwatakia maisha ya shida vizazi vyao vyote. Unataka uzao wote uishi maisha unayoishi wewe? Tumia vizuri ufahamu Mungu aliokupatia.
 
Walau cuf wamepata fursa ya kuandikwa na kusikika kwenye vyombo vya habari...
 
hivi kama chadema harakati zao ni kutukana matusi bungeni hadi nje, kejeli ,vurugu ,matamko ya uongo etc,.. sasa mkipewa nchi itakuwaje jamani???. si itakuwa vurugu tupu mawaziri wenyewe kina wenje,mbilinyi,lema ,lissu ,kiwia,nyerere... mhh itakuwa nchi au klabu ya pombe za kienyeji???

badilikeni ummarufu na chama haujengwi hivyo....
Katiba mpya ambayo CDM wanaipigania haitaki mbunge kuwa waziri...............kwanza inawezekana wizara zisizidi kumi, hayo mabo ya JK mawaziri 60 manaibu 30, kila mtu udenda............kwa kuzingatia maslahi ya wananchi CDM itawaacha wabunge wake makini bungeni ili waweze kuisimamia serikali makini ya Dr.Slaa kikamilifu kwa maslahi ya wananchi.........!
 
kati ya hao viongozi wa chadema nani ambaye anaweza kubadilisha maisha yako hata akija kuwa rais???tuwe wakweli ..hao wasanii tu vongozi bora tunawaona..angalia viongozi wa nccr wanapotoa hoja bungeni unaona kabisa hawa vijana ndio viongozi kweli wanatoa soln na sio kelele tu kama chadema hadi wanaboa sana tena sana ...
 
hivi kama chadema harakati zao ni kutukana matusi bungeni hadi nje, kejeli ,vurugu ,matamko ya uongo etc,.. sasa mkipewa nchi itakuwaje jamani???. si itakuwa vurugu tupu mawaziri wenyewe kina wenje,mbilinyi,lema ,lissu ,kiwia,nyerere... mhh itakuwa nchi au klabu ya pombe za kienyeji???

badilikeni ummarufu na chama haujengwi hivyo....
Kama chadema wangekuwa wanafanya hayo wangekuwa tayali wanao wafanyia hayo wamewapeleka mahakamani na hatua za kisheria zimechukuliwa juu yao, hivi wewe hujui kutukana matusi mtu, kumfanyia vulugu mtu ni makosa na sheria iko wazi na hii aihitajaji mpaka usome sheria ila ni kujitambua tu, wewe umefafanua kuwa wanatukana, kejerim vurugu na matamko ya uongo lakini wenzio wanao tamkiwa hayo hawachanganyikiwi sababu wanajua kuwa wanaambiwa ukweli.
Alafu ongeza kidogo kaupeo ka kujenga hoja kwani mawaziri wa sasa wakoje mpaka ulio wataja washindwe kushika uwaziri wa nchi hii, au kwa sababu mawazili wengi wa ccm wana sifa zifuatazo ambazo wambunge na mawaziri watarajiwa hawana ambazo ni:
Wengi wao ni wazee ambao hawajiwezi.
Mawaziri wanao simamia maslahi ya chama ni si uma wa watanzania.
Mawaziri wenye uwezo mdogo wa kufanya kazi.
Mawaziri wanao shindwa kusimamia rasilimali za watanzania.
 
Ukweli wa mambo ni vyama vote vilivyoingia kwenye mashikisho haya na jumia hizi za vyama ni kwasababu ya itikadi na mirengo yao yenye kufanana. Katika shirikisho la Liberals moja ya misingi yake ni haki sawa kwa wote, hii inajumuisha uhusiano wa mashoga na wasagaji. Kwa mantiki hii kuingia kwa CUF kwenye husiano na associations hizi kuonyesha kuwa wanakubaliana na Mirengo hio.

Kinachowasumbua CUF ni kule kwa wao kugundulika kuwa wanamahusiano na vyama vyenye misimamo kama hio wanaojifanya kupigia kelele. Kwahiyo hapa hakuna kukemewa kwa Chadema bali wakemewe wao CUF kwa kuaibisha mila zetu ambazo hazikubali tabia hizi.
 
Jamani msikubali uonevu wakati vielelezo mnavyo, jamani kimo cha chini cha mshahara sekta binafsi ni shilingapi bado nipo gizani nisaidieni.

Buku saba

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
watu waombe radhi kwa kusema ukweli au? cuf waache unafki wao c ndo wanasema haki sawa kwa wote au(
Hata kabla ya CUF kutangaza na watu kuangalia mfumo mzima wa uliberali, ni nani asiyejua tabia chafu za waarabu na wazanzibari za li utumishi wao uliotukuka kwa shetani kwa mambo ya ushoga? Wanaona aibu na kukitaa kivuli chao? Wapuuzi kwlei kweli.
 
To divide and rule can only tear us apart.

The opposition parties in Tanzania should stand together against CCM and NOT to fight each other.

It's advantage to the rulling party.
 
Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.

Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?

Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.

Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.
Nillikuwa sitaki kuchangia mada yoyote leo jf lakini wewe umenifanya nivunje huu utaratibu ili nikujibu kama ifuatavyo:-
Yawezekana ukawa na chuki na Chadema jambo ambalo ukatazwi ni haki yako, lakini linapokuja suala la ukweli ni vyema ukaweka chuki pembeni ili kwamba utakayochangia ukiamini yatasomwa na wenye kuwa na uwezo wa kuchambua wasibaini kwamba umechangia kwa chuki.
Suala la hotuba ya jana nionavyo mimi, cuf ndio walisoma hotuba ya upinzani na si Chadema. Kwa sababu Wenje alikuwa hajafikia hiyo sehemu inayobishaniwa lakini mbunge wa cuf akaisoma sehemu hiyo na hivyo kuingia kwenye Ansadi ya bunge kupitia cuf!
Kama cuf wasingetaka vurugu wangeacha Wenje amalize kkusoma hotuba yake nao wangeleta hoja ya kupinga sehemu hiyo kwa taratibu za kuchangia mjadala. Lakini kwakuwa cuf wanajijua kuwa ni ccm b walijua wakifanya fujo na kukihuka adabu ya bunge kwa kuchana hotuba (Nyalaka ya Bunge) hawatachukuliwa hatua yoyote na yeyote.
Kwa kifupi hapa cuf na ccm ndio janga la bunge na si Chadema.
 
hivi kama CHADEMA harakati zao ni kutukana matusi bungeni hadi nje, kejeli ,vurugu ,matamko ya uongo etc,.. sasa mkipewa nchi itakuwaje jamani???. si itakuwa vurugu tupu mawaziri wenyewe kina Wenje,Mbilinyi,Lema ,Lissu ,Kiwia,Nyerere... mhh itakuwa nchi au klabu ya pombe za kienyeji???

badilikeni ummarufu na chama haujengwi hivyo....
wewe ndio unatoa nchi au...umekaa kimbea sana bob
 
kufuatia msimamo wa wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu cuf kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo chadema imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

chadema imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa chadema.

Tukija kuangalia uhalisia wa cuf kuwa mjumbe wa liberal, ni kama vile tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, tanzania tuna zitambua?

Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na chadema kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.

Nakiri kusema chadema ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.

waislam bwana hahahahahahah mnakazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom