nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
bwana wenger, ni kwamba tunaposema Chenge , Lowasa, RA, Karamagi, nk kua ni mafisadi tunakua na malengo mawili.kwahio na wale wanao toa tuhuma kwa mafisadi hawana haja ya kuwachukulia hatua kwa vile siasa haiko kiivyo sana? mie naona tuhuma za mbowe kufuja mil 35 ni nzito sana ukiangalia wananchi wengi wana moyo na chadema sasa kupatikana tuhuma kama hizi inatufanya tuone mambo ni yale yale kote kote.
1. tunataka waliowapigia kura wapime na waamua kua waliowapa dhamana ya uongozi ni wezi wa mali ya umma, ili wasiwapigie kura tena.
2. Tunatoa taarifa kwa DPP,Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na kwa raisi kuwa wateule hawa ni wezi na wanastahili kutiwa jela. sasa watu hawa hawatimizi wajibu wao.
sasa kama hao kina kafulila na mwenzie wanahisi kuna wizi CHADEMA wa pesa za ruzuku eti kwasababu Mbowe ni signatory CAG amesikia, atakuja kukagua, report yake itawasilishwa na mamlaka husika zitapima maoni yake kuona kama kuna wizi ama hakuna, maana sikila report Chafu maana yake ni wizi, zingine ni uzembe wa kufanya marejesho tu.....elimika ujue na utambue, jikomboe wakati ni huu mtanzania mwenzangu.