nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
ni kwamba, CHADEMA si taasisi ya familia, huo ni uongo masatu, Chadema imeanzishwa chini ya sheria halali ya vyama vya siasa, inamuundo kamili wa taasisi, inakurugenzi na jumuia zake, Mbowe kua katika familia ya siasa haimnyimi haki ya kua sehemu ya siasa.Ninyi mnataka Mbowe & family wafanye nini? Chama waanzishe wao kwa pesa zao, wamehangaika nacho miongo kadhaa mpaka sasa kimekuwa na umaarufu na kupata ruzuku kedekede and now its now payback time waacheni watafune ruzuku kama kinawauma kaanzisheni vyama vyenu.
Kila siku Mbowe tu its too much now vyama vipo vingi tu waende TPP maendeleo, Chausta, NRA, nk. Msione vyaelea vimeundwa!
Hata kama watakua na hati chafu y ukaguzi sio lazima pesa awe amekula Mbowe, wapo watu pale walioajiliwa kudhibiti nidhamu ya matumizi y PEsa za umma.
CHADEMA ni ya Watanzania wapenda mageuzi na maendeleo ya Taifa Masatu.