CHADEMA mwendo mdundo

Vipi kuhusu Mbowe kutumia pesa vibaya, ambapo CHADEMA wanajinadi ni chama mbadala?.Tukuwapa nchi si ndo yaleyale?, Tuangalie upande wapili pia. Maybe Wangwe, Chacha was right.
 
Vipi kuhusu Mbowe kutumia pesa vibaya, ambapo CHADEMA wanajinadi ni chama mbadala?.Tukuwapa nchi si ndo yaleyale?, Tuangalie upande wapili pia. Maybe Wangwe, Chacha was right.

Labda uongelee mambo mengine lakini usimhusishe marehemu....mwache apumzike. Hata kama wangwe alikuwa right so what? he's dead already and we need to get things moving.

Nimekuwa nikisema mara kwa mara kwamba vijana muanzishe chama chenu ndo mtakabana wenyewe lakini haya mambo ya kujiunga na vyama vya wengine alafu mnataka madaraka kwa haraka kuliko walioanzisha vyama vyao hamtafika.
 
Labda uongelee mambo mengine lakini usimhusishe marehemu....mwache apumzike. Hata kama wangwe alikuwa right so what? he's dead already and we need to get things moving.

Nimekuwa nikisema mara kwa mara kwamba vijana muanzishe chama chenu ndo mtakabana wenyewe lakini haya mambo ya kujiunga na vyama vya wengine alafu mnataka madaraka kwa haraka kuliko walioanzisha vyama vyao hamtafika.
kaka nilisema labda Wangwe yupo right, nikimaanisha CHADEMA hawana budi kufuata aliyokuwa aki advocate....Hata Mwalim nyerere amefariki lakini si vibaya kuenzi aliyokuwa aki advocate. Chadema imeanza kuwa a dissappointing one.
 
Vipi kuhusu Mbowe kutumia pesa vibaya, ambapo CHADEMA wanajinadi ni chama mbadala?.Tukuwapa nchi si ndo yaleyale?, Tuangalie upande wapili pia. Maybe Wangwe, Chacha was right.


Semenya, kwa chadema ya mbowe hawataweza kamwe kuchukua nchi, na wanajua hilo!!

Kwa sasa chadema ni chachu ya mageuzi lakini bado hawajawa mbadala

  1. they need wider coverage
  2. they need more money (actually mara 500 ya walizonazo kwa sasa)
  3. wanahitaji wanaCCM wa nguvu na wapiganaji wa kweli wajiunge humo
  4. wanahitaji kushinda local government elections kwanza
  5. wanahitaji kuondoa upupu mule ndani wa watu kama kafulia, jujuman nk. (huwezi ukaacha mke halafu unamtusi mitaani - hayo ni mambo ya ndani)
  6. wanahitaji mbowe replacement
  7. wanahitaji kusuka upya safu ya juu saha kuwa na jumuiya za nguvu
  8. wanahitaji dare devils ndani ya chama kukosoana wenyewe na si kuchukia wanaokosoa ndani ya chama
  9. wanahitaji more financial management and accountability
  10. wanahitaji kuruhusu demokrasia ya kweli ndani ya chama

baada ya hapo tutawapa nchi!!
 
sasa kama Mwenyekiti sio signatory wa hundi mnataka nani awe signatory ? mimi sioni kosa, maana hundi ili iwe nauwezo wakulipa ni lazima iwe na masignatory wawili, hivyo mbowe hawezi kujichotea pesa, kirahisi.
kunaweza kuwa na mapungufu kaTika matumizi ya pesa, lakini anaetoa huu ujumbe ni mtu ambae amekimbia baada ya kushindwa kukubalika katika harakati za ukombozi .
 
sasa kama Mwenyekiti sio signatory wa hundi mnataka nani awe signatory ? mimi sioni kosa, maana hundi ili iwe nauwezo wakulipa ni lazima iwe na masignatory wawili, hivyo mbowe hawezi kujichotea pesa, kirahisi.
kunaweza kuwa na mapungufu kaTika matumizi ya pesa, lakini anaetoa huu ujumbe ni mtu ambae amekimbia baada ya kushindwa kukubalika katika harakati za ukombozi .

Thanks kwa kuiweka vizuri, lakini je! nani atachagua hao signatories?
 
kaka nilisema labda Wangwe yupo right, nikimaanisha CHADEMA hawana budi kufuata aliyokuwa aki advocate....Hata Mwalim nyerere amefariki lakini si vibaya kuenzi aliyokuwa aki advocate. Chadema imeanza kuwa a dissappointing one.
HAYO NI MANENO Mneno yaulongo, CHADEMA ni chama makini kuliko CCM, KINA NIDHAMU NA MAADILI, NDIO MAANA HAWAONEANI HAYA KUADHIBIANA KAMA KUNA UPUPU na madudu mengine, mafisadi bado wanatamani kuona CHADEMA ikifa nakusambaratika, hii ni taasisi yenye kila sababu yakupigiwa chapuo na kila Chama, kweli mafisadi mtasubiri kuona hiki chama kinaporomoka mpaka mwisho CHADEMA itaingia iikulu ikiwaacha nyinyi vibaraka wa mafisadi ngomeni Ukonga , keko na Segerea. Amini nawaambia.
 
Thanks kwa kuiweka vizuri, lakini je! nani atachagua hao signatories?
kuna mambo mawili yakuangalia juu ya swala hili, kuna kanuni ama sheria ndani ya Chama cha siasa, inaweza kutoa muongozo wa nani awe mtia saini, pia mtoa ruzuku hiyo , serikali inaweza kuwa na sheria itakayotoa mwongozo maridhawa wa nani awe mtia saini ......ila naamini Muhazini wa chama, katibu na mwenyekiti wanaweza kua ni watia sign, sasa kama mtoa pesa huna kanuni ya kuminitor pesa zako, lazima kutakua na vurugu.
 
hapa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu tutaona na kusikia mengi sana ni jinsi ya kusoma nyakati tu
 
hapa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu tutaona na kusikia mengi sana ni jinsi ya kusoma nyakati tu
ni kwamba , hakuna haja ya kuogopa, ni harakati za kisiasa Tz zinzvyotawaliwa na wanasiasa mafisadi, huku wakitumi vyombo vyao vya habari kuhAribu taswira ya Chadema mbele ya umma, wanapandikiza ulongo, kila kukicha, ninachoona mimi CHADEMA NI CHAMA makini kuliko vyote TZ, tuseme kweli angalia mipasuko inavyoitafuna CCM, VURUGU TUPU, HAWAAMINIANI WENYEWE KWA WENYEWE, WANAFIKIA HATUA YAKUOGOPANA,rejea kauli ya Kikwete juu ya hali ya mambo ndani ya CCM.
CHADEMA inapambana na halii hii, inajenga nidhamu maridhwa, hakuna double standard kwenye utoaji wa haki ndani ya Chama, wanaadhibiana kutoka top leaders hadi hawa wadogodogo.....hivyo ndivyo chama kinavyojengwa....hatutaki hali iwe kama ya kina sophia Simba na CCM yao
 
HIi yote ni dalili kuwa kuna watu waliingia upinzani ili kuganga nJaa. Huyu Juju namfahamu. Anapenda madaraka kuliko Lowassa. Hata utambulisho wake kwamba yeye ni kiongozi wa Bunge ni dhihirisho kwamba ni mpenda madaraka. Huyu alikuwa karani katika idara inayoshunghulikia masuala ya Bunge na Halmashauri.

Kuhusu Chadema kuwa na hati chafu, huyo jamaa kweli ni Ziro. Hajui kwamba hata Ikulu hupata hati chafu, Bunge na taasisi nyingine kibao za serikali zinapata hati chafu. Hata hicho chama kilichomtuma (CCM) kumchafua Mbowe, matumizi yake yanaamriwa na kikundi kicahche cha watu wakiongozwa na Makamba. Ndiyo maana pamoja na kupata karibu 2 bilioni kutoka serikalini kila mwezi chama hiki kinakwenda kupiga magoiti kwa mafisadi na juzi hapa wamechukua 200 milioni kutoka kwa fisadi Nyangumi, Reginald Mengi na mafisadi Papa wakachukia.

Juju hana jipya. Anatoa madai ya kale katika zama mpya. LaKINI sishangai madai yake kwamba wanachama wanaomuunga mkono Zitto ni masikini ndani ya Chadema. Kauli za karibuni na matendo ya Zitto YAnaonyesha kuwa anatafuta fedha kwa ILI KUKIDHI MATAKWA YA KINA JUJU. LAKINI kubwa zaidi ni kwamba Zitto amejua kuwa waliomuunga mkono katika harakati zake za kuchukua uopngozi wa Chadema walikuwa vibaka. Tunawasubiri Mtemelewa na Chitanda kurejea CCM.
 
Unajua mie najiuliza hapa kwamba Danda haya mambo ya Mbowe aliyajua lini na kwa nini hakusema huko nyuma ? Au yeye ana shida na Mbowe na si Chadema ?Maana naona wote wanalia na Mbowe . Kuna makosa najua ambapo naamini Zitto , Slaa , wanatakiwa kumwambia Mbowe kurekebisha lakini kurusha tuhuma baada ya kufutwa kazi na si ufukuzwa uanachama makes no sense to me . Ulalame kabla na ukiwa kwenye madaraka na si zaidi ya hapo .
 
ni kwamba , hakuna haja ya kuogopa, ni harakati za kisiasa Tz zinzvyotawaliwa na wanasiasa mafisadi, huku wakitumi vyombo vyao vya habari kuhAribu taswira ya Chadema mbele ya umma, wanapandikiza ulongo, kila kukicha, ninachoona mimi CHADEMA NI CHAMA makini kuliko vyote TZ, tuseme kweli angalia mipasuko inavyoitafuna CCM, VURUGU TUPU, HAWAAMINIANI WENYEWE KWA WENYEWE, WANAFIKIA HATUA YAKUOGOPANA,rejea kauli ya Kikwete juu ya hali ya mambo ndani ya CCM.
CHADEMA inapambana na halii hii, inajenga nidhamu maridhwa, hakuna double standard kwenye utoaji wa haki ndani ya Chama, wanaadhibiana kutoka top leaders hadi hawa wadogodogo.....hivyo ndivyo chama kinavyojengwa....hatutaki hali iwe kama ya kina sophia Simba na CCM yao

Nguvumali chama chetu hiki ndo hicho kina migogoro ya kufa mtu sijui tumepeana yamini ... inauzi inatisha inasikitisha
 
Labda uongelee mambo mengine lakini usimhusishe marehemu....mwache apumzike. Hata kama wangwe alikuwa right so what? he's dead already and we need to get things moving.
Hivi mkuu hatujasikia mara kadhaa kuwa a mans right deeds live forever?
 
Hivi mkuu hatujasikia mara kadhaa kuwa a mans right deeds live forever?
Gwakisa, Wangwe kuna mambo alikua mkweli lakini anamambo mengi ya hovyo aliyoyafanya chamani hata kustahili kufutiwa uanachama wake, kwa Wangwe mimi nimtakie pumziko la milele .
 
Ninyi mnataka Mbowe & family wafanye nini? Chama waanzishe wao kwa pesa zao, wamehangaika nacho miongo kadhaa mpaka sasa kimekuwa na umaarufu na kupata ruzuku kedekede and now its now payback time waacheni watafune ruzuku kama kinawauma kaanzisheni vyama vyenu.

Kila siku Mbowe tu its too much now vyama vipo vingi tu waende TPP maendeleo, Chausta, NRA, nk. Msione vyaelea vimeundwa!
 
Back
Top Bottom