johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Ni katika kukumbushana tu.
Nichukue fursa hii kumpongeza mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema kwa kulielewa hili na kuwaandaa wapiga kura wake.
Maendeleo hayana vyama!
Nichukue fursa hii kumpongeza mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema kwa kulielewa hili na kuwaandaa wapiga kura wake.
Maendeleo hayana vyama!