Kukiwa na uchaguzi tutashiriki lakini kukiwa na huu upuuzi wa kudharau maamuzi ya wapiga kura, itakuwa ni uwendawazimu kushiriki katika hadaa.Kwahiyo 2020 hamtapiga kura?
Ni katika kukumbushana tu.
Nichukue fursa hii kumpongeza mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema kwa kulielewa hili na kuwaandaa wapiga kura wake.
Maendeleo hayana vyama!
hata wakipigiwa kura hawatatangazwa mpaka DED aoate maelekezo.haina haja wapite tu wenyeweNi katika kukumbushana tu.
Nichukue fursa hii kumpongeza mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema kwa kulielewa hili na kuwaandaa wapiga kura wake.
Maendeleo hayana vyama!
Teuzi hizo,Uchaguzi upo tarehe 24/11/2019........ni uchaguzi wa kikatiba kabisa siyo uteuzi!
Ajabu wanapigia debe watu wasijiandikishe ! Hawajiulizi hao wachache waliojiandikisha ni wa cjama gani ? Je, kuna maeneo upinzani una mpaka Halmashauri unaziongoza. Hivi wakishindwa kwa kishindo watadai ni 'bao la mkono !?'Ni katika kukumbushana tu.
Nichukue fursa hii kumpongeza mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema kwa kulielewa hili na kuwaandaa wapiga kura wake.
Maendeleo hayana vyama!
Hao wabunge, madiwani na halmashauri zinazoongozwa na upinzani zilipatikana vipi !? Hakukosea aliyewaita 'malofa'Kwani kuna uchaguzi au ni uteuzi wa wana ccm kutawala kwa maamuzi ya rais ambaye ndiye mwenyekiti wa ccm? Yaani nipoteze muda wangu kwenda kupiga kura wakati najua kabisa hiyo kura yangu wala haitaangaliwa bali wataamua tu fulani awe kiongozi na anakuwa?
Ina maana wote wasiojiandikisha ni CDM tu?
Hao akina Mdee, Mnyika, na Kubenea walipataje ubunge !? Hapa mtaani kwangu Diwani ni chadema na mwenyekiti ni chadema. Walipataje hawa ? Ulofa mbaya sana !Watu wajiandikishe au wasijiandikishe, hakuna tofauti. Ukampigia mgombea wa CCM au usimpigie, ndiye atakayetangazwa. Hivyo ndivyo alivyowaamrisha wasimamizi wa uchaguzi. Hakuna msimamizi mwenye uthubutu wa kwenda kinyume na aliyemteua na anayedai anawalipa mshahara, japo hela siyo yake.
Na ndiyo wanaopigwa risasi na kuuwawa pamoja na kutekwa. Basi hatujiandikishi ng'o msije kutumaliza na sisi tunafamilia.Chadema ndio wabishi wabishi na walalamishi!
Tatizo ni chama kilichoweka watu wanao nunulika ! Sugu, Lema, Profesa J, Mnyika na Mdee hao bei yao ilishindikanaMbona wakati chama chako kinanunua wapinzani hukukishauri
Uchaguzi au uchafuzi!!Msije kulia lia hapa Jf baada ya uchaguzi!