Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,559
- 41,077
Hao wabunge, madiwani na halmashauri zinazoongozwa na upinzani zilipatikana vipi !? Hakukosea aliyewaita 'malofa'
Kwani hao walishinda chini ya mfumo huu wa kidikteta wa sasa?
Hao wabunge, madiwani na halmashauri zinazoongozwa na upinzani zilipatikana vipi !? Hakukosea aliyewaita 'malofa'
Hao akina Mdee, Mnyika, na Kubenea walipataje ubunge !? Hapa mtaani kwangu Diwani ni chadema na mwenyekiti ni chadema. Walipataje hawa ? Ulofa mbaya sana !
Jee kura zina heshimika? Kwamba matokeo ya kura ndio yanayotangazwa na sio utashi wa "mlipaji mshahara" wa muhesabu kura?Ni katika kukumbushana tu.
Nichukue fursa hii kumpongeza mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema kwa kulielewa hili na kuwaandaa wapiga kura wake.
Maendeleo hayana vyama!
Upinzani ndio unafurahia low turn over !