CHADEMA msijidanganye, Dr. Slaa hayuko peke yake

CHADEMA msijidanganye, Dr. Slaa hayuko peke yake

watanzania tusipokuwa makini tutaishia kusikiliza porojo tu na matatizo yatabaki palepale....
 

Najua, nafahamu, natambua kuwa yeyote asomaye huu uzi anaelewa namaanisha nini lakini kwa kuwa tayari wengi wameshakula kiapo cha giza, wataporomosha matusi, kebehi na kubeza.

CHADEMA mnaodhani mmeshika mpini, tambueni kwamba Dr. Slaa hayupo peke yake. Kuna kundi kubwa la wanamageuzi wa kweli ambao wanamuunga mkono na wanajua cha kufanya ili kuondokana na upuuzi wa viongozi waroho kutaka kutumia njia za mkato kufanikisha malengo yao huku wakisigina misingi iliyofanikisha Chama kukubalika na wengi. Misingi ya kupambana na Ufisadi, ukiukwaji maadili ya uongozi na wizi wa amali za umma.

Dr. Slaa ni kioo, msimamo wake usiyoyumbishwa ni tunu pia ana mapenzi ya dhati kwa Taifa na watu wake.


Maneno mazito haya; sasa tunajua na tumeona tofauti ya watu wanaotaka mabadiliko ya kweli na wanaotaka mabadiliko tu. Wanaotaka mabadiliko tu hawana cha kusimamia isipokuwa kitu kibadilike tu. Hawajali ni mabadiliko gani, ya nini, kwanini na kwa vipi tu. Ni kama watu wanaopigishana stori kijiweni; mtu anaweletea stori za mpirani jinsi magoli yalivyofungwa na watu wanashangilia na kurudia jinsi kona ilivyopigwa n.k kumbe aliyewasimulia alisikia redioni tu. Wanataka tuamini kuwa Lowassa anawakilisha kweli mabadiliko! Hata kusema "CHADEMA" Lowassa maskini wa Mungu anapata tabu, halafu juu yake anatakiwa awakilishe UPAWA vile vile! Ili watu wapewe!

Ndio maana toka mwanzo nilishapuuzia huu UPAWA niliamini wakati ule kuwa ni dubwasha baya zaidi lililovuruga harakati za mabadiliko na litatusumbua baadaye. Lakini sikudhania lingetokea na la Lowassa vile vile. Sasa hivi CCM wala hawana haja ya kupiga kelele tena, wanasubiri vichinjio vyao wafutilie mbali upinzani tarehe 25 liwe onyo na somo kwa wengine!

Umefika golini kabisa na umebaki wewe na kipa mtu anakuonesha kisura halafu unabutua juu; hata wakionesha replay zile unashindwa kuangalia kwani ni aibu.
 
Baada ya Dr. Slaa kung'atuka siasa za kitapeli za CHADEMA na washirika wake, tumeshuhudia manguli na viwanda vya propaganda wa CHADEMA wakitumia kila mbinu kutuaminisha kuwa kila kitu ni shwari ndani ya Chama hicho na kikundi cha UKAWA. Hoja nyingi zinazokosoa kitendo cha CHADEMA hususani UKAWA kuonyesha taswira ya kununuliwa na mgombea wake wa urais ambaye walipita nchi nzima na kutumia rasilimali nyingi ikiwemo damu na wengine kupata ulemavu kwa kumnadi ni FISADI papa pamoja na wenzake alioambatana nao. Hoja hizi hazijibiwi badala yake viwanda vya propaganda vimekuwa vikifanya CYBER BULLYING kwa yeyote anayehoji ama kukosoa.

Vinara wa uhuni huo wamekuwa wakiongea kwa kusema Dr. Slaa amechelewa na hakuna kinachobadilika na kinachoshangaza zaidi, yule waliyekuwa wanamnadi ni Rais wa mioyo ya Watanzania amepewa majina mapya ya Babu, Mzee, Kizee n.k. Pia wazungumzaji wanaotulazimisha tuwasikilize wao pekee wanajinasibu kuzungumza kwa niaba ya Watanzania wote. Hili ni kosa ambalo si muda mrefu watakuja kujutia na anguko lake si dogo.

Najua, nafahamu, natambua kuwa yeyote asomaye huu uzi anaelewa namaanisha nini lakini kwa kuwa tayari wengi wameshakula kiapo cha giza, wataporomosha matusi, kebehi na kubeza.

CHADEMA mnaodhani mmeshika mpini, tambueni kwamba Dr. Slaa hayupo peke yake. Kuna kundi kubwa la wanamageuzi wa kweli ambao wanamuunga mkono na wanajua cha kufanya ili kuondokana na upuuzi wa viongozi waroho kutaka kutumia njia za mkato kufanikisha malengo yao huku wakisigina misingi iliyofanikisha Chama kukubalika na wengi. Misingi ya kupambana na Ufisadi, ukiukwaji maadili ya uongozi na wizi wa amali za umma.

Dr. Slaa ni kioo, msimamo wake usiyoyumbishwa ni tunu pia ana mapenzi ya dhati kwa Taifa na watu wake.

Ccm wewe kamnadi magufuli .tuachie lowasa wetu.
 
Ndiyo tunajua kuwa ccm na serikali yake iko nyuma ya huyu mzee Slaa.
 
Slaa muongo, Mbowe muongo, Lowassa ndio kabisa.

Chama cha kutawala mpaka sasa ni CCM pekee.
 
Hamna kiongozi yoyote yule mashuhuli duniani ambaye huwa hapitii matatizo na ukiona kiongozi yoyote ambaye hajapitia misukosuko ujue huyo hafai kuwa rais kama makufuri hajapitia misukosuko yoyote ile kwanza ile nafasi aliipata kwa zali tu sasa kwa mfano akiwa rais atatuambia nini wakati siku zote matatizo ndio yanamjenga mtu kisiasa kama muheshimiwa lowassa kwa 100% anafaa kuwa rais kwa misukosuko mingi aliyo pitia anamengi ya kutuambia watanzania na amejifunza mengi kwenye maisha yake kwanza anasema anauchukua umaskini inamaana ameisha jua yote yanayo tokea tatizo ni umaskini. Kwanza tu hiyo ni point ya kwanza na kwa kusema hivyo tayari uchaguzi ameshinda.
 
Dr.W.Slaa hayuko peke yake ndio,
Yuko na Gambaz
 
Last edited by a moderator:
Dr. Slaa amesema kinachomsumbua moyoni mwake na hawezi kufuta kauli zake kwani hana imani na Mh. Mgombea wa Ukawa. Tunamshukuru kwani tunahitaji kujua mengi ili tuwapime wagombea wetu lkn hatuwezi kumpuuza kirahisi bila kuwa na majibu ya hoja zake kwani ni mtu anayeaminika na watanzania
 
Zamani Slaa alipokuwa anamshambulia Lowasa akiwa CCM alikuwa sawa hajaongwa, lakini sasa hivi kwa kuwa Lowasa yuko CHADEMA Slaa yule yule aliyekuwa akiyasema yale yale anaposema sasa amehongwa na CCM!!! Kisa Lowasa safi baada ya kuhamia CHADEMA!! Ni kweli?

Wepesi wa hoja zake unakujaje? EMB kumbuka kuhusu list of shame af fananisha na press conference yake pale Serena yani iko wazi kuna kitu kama mfatiliaji na si mlopokaji
 
tanzania niya watu wachache lowasa kutoka huko inawaumiza kichwa sana hawa coz wanaona ulaji unaenda kukwatwa coz anafahamu kila kitu. DAH najuta sana kuzaliwa tanzania bora hata uganda mara mia duh
 
Baada ya Dr. Slaa kung'atuka siasa za kitapeli za CHADEMA na washirika wake, tumeshuhudia manguli na viwanda vya propaganda wa CHADEMA wakitumia kila mbinu kutuaminisha kuwa kila kitu ni shwari ndani ya Chama hicho na kikundi cha UKAWA. Hoja nyingi zinazokosoa kitendo cha CHADEMA hususani UKAWA kuonyesha taswira ya kununuliwa na mgombea wake wa urais ambaye walipita nchi nzima na kutumia rasilimali nyingi ikiwemo damu na wengine kupata ulemavu kwa kumnadi ni FISADI papa pamoja na wenzake alioambatana nao. Hoja hizi hazijibiwi badala yake viwanda vya propaganda vimekuwa vikifanya CYBER BULLYING kwa yeyote anayehoji ama kukosoa.

Vinara wa uhuni huo wamekuwa wakiongea kwa kusema Dr. Slaa amechelewa na hakuna kinachobadilika na kinachoshangaza zaidi, yule waliyekuwa wanamnadi ni Rais wa mioyo ya Watanzania amepewa majina mapya ya Babu, Mzee, Kizee n.k. Pia wazungumzaji wanaotulazimisha tuwasikilize wao pekee wanajinasibu kuzungumza kwa niaba ya Watanzania wote. Hili ni kosa ambalo si muda mrefu watakuja kujutia na anguko lake si dogo.

Najua, nafahamu, natambua kuwa yeyote asomaye huu uzi anaelewa namaanisha nini lakini kwa kuwa tayari wengi wameshakula kiapo cha giza, wataporomosha matusi, kebehi na kubeza.

CHADEMA mnaodhani mmeshika mpini, tambueni kwamba Dr. Slaa hayupo peke yake. Kuna kundi kubwa la wanamageuzi wa kweli ambao wanamuunga mkono na wanajua cha kufanya ili kuondokana na upuuzi wa viongozi waroho kutaka kutumia njia za mkato kufanikisha malengo yao huku wakisigina misingi iliyofanikisha Chama kukubalika na wengi. Misingi ya kupambana na Ufisadi, ukiukwaji maadili ya uongozi na wizi wa amali za umma.

Dr. Slaa ni kioo, msimamo wake usiyoyumbishwa ni tunu pia ana mapenzi ya dhati kwa Taifa na watu wake.

Mimi bado najiuliza swali moja tu. Baada ya maaskofu kutoa tamko lao, Kardinali Pengo alilipinga peupe. Ghafla akatokea Gwajima from nowhere akichukizwa na kitendo cha kupingwa kwa tamko hilo. Hewa ilichafuka kwa muda. Leo hii tunasikia tena kauli kuwa Gwajima alishuhudia maaskofu 30 wakipokea rushwa ili wamuunge mkono mgombea fulani. Je hili jambo laweza kuwa na uhusiano?
 
Baada ya Dr. Slaa kung'atuka siasa za kitapeli za CHADEMA na washirika wake, tumeshuhudia manguli na viwanda vya propaganda wa CHADEMA wakitumia kila mbinu kutuaminisha kuwa kila kitu ni shwari ndani ya Chama hicho na kikundi cha UKAWA. Hoja nyingi zinazokosoa kitendo cha CHADEMA hususani UKAWA kuonyesha taswira ya kununuliwa na mgombea wake wa urais ambaye walipita nchi nzima na kutumia rasilimali nyingi ikiwemo damu na wengine kupata ulemavu kwa kumnadi ni FISADI papa pamoja na wenzake alioambatana nao. Hoja hizi hazijibiwi badala yake viwanda vya propaganda vimekuwa vikifanya CYBER BULLYING kwa yeyote anayehoji ama kukosoa.

Vinara wa uhuni huo wamekuwa wakiongea kwa kusema Dr. Slaa amechelewa na hakuna kinachobadilika na kinachoshangaza zaidi, yule waliyekuwa wanamnadi ni Rais wa mioyo ya Watanzania amepewa majina mapya ya Babu, Mzee, Kizee n.k. Pia wazungumzaji wanaotulazimisha tuwasikilize wao pekee wanajinasibu kuzungumza kwa niaba ya Watanzania wote. Hili ni kosa ambalo si muda mrefu watakuja kujutia na anguko lake si dogo.

Najua, nafahamu, natambua kuwa yeyote asomaye huu uzi anaelewa namaanisha nini lakini kwa kuwa tayari wengi wameshakula kiapo cha giza, wataporomosha matusi, kebehi na kubeza.

CHADEMA mnaodhani mmeshika mpini, tambueni kwamba Dr. Slaa hayupo peke yake. Kuna kundi kubwa la wanamageuzi wa kweli ambao wanamuunga mkono na wanajua cha kufanya ili kuondokana na upuuzi wa viongozi waroho kutaka kutumia njia za mkato kufanikisha malengo yao huku wakisigina misingi iliyofanikisha Chama kukubalika na wengi. Misingi ya kupambana na Ufisadi, ukiukwaji maadili ya uongozi na wizi wa amali za umma.

Dr. Slaa ni kioo, msimamo wake usiyoyumbishwa ni tunu pia ana mapenzi ya dhati kwa Taifa na watu wake.

Tazama hiyo sentensi yako ya mwisho. Nainukuu, "Dr Slaa ni kioo, msimamo wake usiyoyumbishwa ni tunu pia ana mapenzi ya dhati kwa Taifa na watu wake" mwisho wa kunukuu.
Hivi umesukumwa na nini kusema hayo? Mtu mwenye sifa hizo na akiwakilisha upinzani anaweza kuandaliwa mkutano na kulipiwa gharama zote za ukumbi, matangazo ya moja kwa moja ya Radio na Television kwa vituo kadhaa na serikali anayoipinga? Anaweza kufanya kikao cha siri hotelini na Waziri wa serikali mwandamizi kwa masaa kabla hajaongea na waandishi?
Hatukatai, kama sifa hizo anaweza kuwa nazo HAPO AWALI lakini kwa sasa hana sifa hizo tena, amebadilika na ameamua kubadilika. Sababu hakuna anayeijua kwa dhati ila yeye mwenyewe. Wapo wanaosema ni mchumba, hakuna mwenye uhakika. Wapo wasemao ni kukosa nafasi aliyokuwa ameiweka akilini kwa muda mrefu na kujiaminisha ni yake, sijui.
Lakini wapo wasemao ni mchanganyiko wa sababu hizo zingine kisha ukakolezwa na PESA.
DR Slaa kama kapokea pesa ya hongo ili asaliti hizo sifa ulizozitaja wala haitakuwa jambo la ajabu kwa binadamu na nitashangaa atakaye sema kuwa Slaa hawezi kufanya hivyo. Kama Yuda mfuasi wa Yesu na miongoni mwa mitume na aliyeshuhudia miujiza na nguvu za Yesu aliweza kukubali kumsaliti Yesu kwa fadha ndio itakuja kuwa Slaa ambaye tayari ana hiyo historia ya kusaliti mamlaka nyingine?
Ni bahati mbaya kwake kuwa mission ime backfire na atashusha mvi zake kaburini kwa fedheha kubwa na kukiachia kizazi chake huzuni ya aibu yake.
 
Hatusikilizi majungu mwenye ushahidi peleka mahakamani. LOWASSA NI RAIS
 
Back
Top Bottom