CHADEMA msijidanganye, Dr. Slaa hayuko peke yake

CHADEMA msijidanganye, Dr. Slaa hayuko peke yake

ni kweli ulichosema kuwa dr slaa hayuko peke yake, kwa kuwa inajulikana wazi kuwa yupo sambamba na 'washikaji' wake wakubwa wa sisiem, ambao ndiyo waliompa full support kwenye kikao chake na waandishi wa habari pale serena hotel!
cctv camera zimeonesha mchezo mzima!!!!hatuangaiki!!!!!!!lowassa mbele
 
Huna hoja mleta uzi, kama ana wafuasi wengi nadhani hilo sio tatizo hata kidogo. Watanzania hawako after personalities au watu BALI wanataka nchi yeo ikomboloewe. Wapo after their beloved country Tanzania. #Mabadiliko2015
 
Mkuu hawa akili zao sijui wameziacha wapi? Yaani from Public Enemy number 1 kuwa mtetezi wa wanyonge? Rostam Aziz? Really?
Hawa vijana wanahitaji immediate intervention

Nah hawaitaji lolote isipokua kuona ccm inatoka madalakani simple that's what they need as want
 
Majibu unayopewa mleta.mada yanatosha kukupa jibu la mwelekeo wa wapiga kura.Maneno ya Dr hayatoi kiu ya wapiga kura wanaosota na maisha ya kila sku.Hapa Ccm hawajatambua kwa nn wapo kwenye ombwe zito.Jawabu ni kwamba wananchi walio wengi walitegemea CCM ije na ajenda ya.kuwaeleza imewafanyia nn ktk kipindi cha miaka 53 ya uhuru. Inaonyesha walio wengi hawajaridhika na waliyowatendea hasa ktk kupigana na adui watatu ujinga,maradhi na umaskini
Ndo sababu kila anayeulizwa anadai hana muda wa kusikiliza sera ila wanasisitiza mkutane october.Chao!!!.
 
Impact ya dr itaonekana kwny kupiga kura!!
tutadhibitishaje kuwa zilitakiwa kuwa zaidi ya zitakazopatikana au ndo kigezo mlichopanga kuibia kura?
 
Ccm wewe kamnadi magufuli .tuachie lowasa wetu.

Yani kuna comment za watu humu zimenikumbusha watoto,watoto wanapokua wanacheza na mmoja wao akiongea kitu ambacho mwingine hakipendi atakachofanya yule asiyependa kusikiliza ni kupiga makelele huku akitumia kiganja chake kuziba mdomo nakuachia,kitachosikika ni sauti zisizoelweka ili kumnyamazisha anaeongea.
Bavicha jengeni hoja msiwe kama watoto!
 
Mleta mada zimwi likujualo halikuli ukakwisha.mchawi mpe mwana akulelee tunapata shida juu utawala uliopo elimu mbovu,maisha magumu hatukopeshwi pesa za mitaji mpaka nani akujuae riba kubwa mikataba ya kificho isiyo na tija.Mungu siku zote hutumia wadhambi kuokoa au kutoa ujumbe ccm ndio iliyotufikisha hapa waache watu wafanye mabadiliko kwa kuwa wamethubutu na hakuna dhambi kubwa kama kutothubutu.VIVA UKAWA VIVA LOWASSA,VIVA TANZANIA.
 
Tunajua hayuko peke yake yuko nyuma yake walaghai.watu wasio na huruma wanaojali maslahi yao wenyewe na wanaotaka kuaminisha watanzania et reachmond ndo tatizo la nchi hii epa. Maremeta escrow na kadhalika hilo si tatizo ilani ile maneno yale yele milongo mitano sasa.Hivi niulize kipi bora wanaccm kuhakikisha kuna dawa na vipimo kwenye hospitali zilizopo sasa au ni kuongeza majengo ya hospital?
 
Maneno mazito haya; sasa tunajua na tumeona tofauti ya watu wanaotaka mabadiliko ya kweli na wanaotaka mabadiliko tu. Wanaotaka mabadiliko tu hawana cha kusimamia isipokuwa kitu kibadilike tu. Hawajali ni mabadiliko gani, ya nini, kwanini na kwa vipi tu. Ni kama watu wanaopigishana stori kijiweni; mtu anaweletea stori za mpirani jinsi magoli yalivyofungwa na watu wanashangilia na kurudia jinsi kona ilivyopigwa n.k kumbe aliyewasimulia alisikia redioni tu. Wanataka tuamini kuwa Lowassa anawakilisha kweli mabadiliko! Hata kusema "CHADEMA" Lowassa maskini wa Mungu anapata tabu, halafu juu yake anatakiwa awakilishe UPAWA vile vile! Ili watu wapewe!

Ndio maana toka mwanzo nilishapuuzia huu UPAWA niliamini wakati ule kuwa ni dubwasha baya zaidi lililovuruga harakati za mabadiliko na litatusumbua baadaye. Lakini sikudhania lingetokea na la Lowassa vile vile. Sasa hivi CCM wala hawana haja ya kupiga kelele tena, wanasubiri vichinjio vyao wafutilie mbali upinzani tarehe 25 liwe onyo na somo kwa wengine!

Umefika golini kabisa na umebaki wewe na kipa mtu anakuonesha kisura halafu unabutua juu; hata wakionesha replay zile unashindwa kuangalia kwani ni aibu.

Umenunuliwa....sisi tunasonga mbele tumekupuuza

Leo sauti ya masaburi akipnga mipango ovu imepatikana na itasambaaa...mtaaibika
 
We ndo mpuuzi kwani Dr Slaa kaanza leo kuzungumzia Richmond na ufisadi? Tatizo hamna sense of history or any sense for that matter!

Mbona hakuzungumzia escrow au uuzaji nyumba za serikali

Insanity is a dope
 
Hivi ni uvivu wa kufikiri au makusudi tu? Katibu mkuu wa chama anapofanya jambo kwa maslahi ya chama anachokiongoza atakuwa amenunuliwa na nani? Amenunuliwa na mwenyekiti? Kajinunua?
Hivi kusimamia unachokiamini ni kununuliwa? Yaani wewe huwezi kusimamia mawazo yako bila kununuliwa?
 
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Sisi sote ni watz tufanye kaz kwa pamoja
 

Attachments

  • 1441260296670.jpg
    1441260296670.jpg
    37.2 KB · Views: 113
Kwahiyo wewe ndiyo unamsemea..Dr Slaa aka babu.. Sbb yeye amedai hakuwai kuchukua form ya uraisi au kuomba nafasi hiyo mambo hayo yote yalikuwa bado..sasa kilicho haribika kiko wapi... Pia kwa umri wake kuitwa babu au mzee si makosa
 
Back
Top Bottom