"Dereva wa lori hilo, Peter Mangula, mkazi wa Makambako, wilayani Njombe, aliyenusurika katika ajali hiyo, alitoroka baada ya ajali hiyo na Jeshi la Polisi limeahidi kumsaka mpaka apatikane."
Huyo dereva jina lake la kati ni nani? au ana majina mawili tu.
Huyo dereva jina lake la kati ni nani? au ana majina mawili tu.