Damu ya waliouwa mwembechai na pemba itawalilia hadi makaburini.
Msishangae kuhusu yanayotokea sasa hivi
Mbona unanisikitisha sana,yaani unashangilia watu kufa?.Jaribu kuficha tofauti zako za kiitikadi hata katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.
Sidhani kama unaweza kumshawishi mtu apende sera za chama chako kwa kauli kama hizi.