Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
naona mtu kishaanza kujichanganya hapo juu, mara hawakutoa salamu na sasa kishaanza kuwa zito alisambaza picha ambazo kamera report ya Mathayo inaonyesha kuwa yeye ndiye alisambaza
naona mtu kishaanza kujichanganya hapo juu, mara hawakutoa salamu na sasa kishaanza kuwa zito alisambaza picha ambazo kamera report ya Mathayo inaonyesha kuwa yeye ndiye alisambaza
ndio hawakutoa kama chama, hao walitoa na kuhudhuria kama ni watu wa kawaida, kama chama la msiba wa mwanasiasa mwenzao halijawakaa, wao imewakaa kuspin kuhusu mafisadi na kutafuta mianya ya kujiup hilo basi.
CHADEMA aibu hivyo, igeni wenzenu CUF, ule ndio uvumiliano wa kisiasa
mwafrika wa kike CHADEMA kikipewa sio siri kitafanya unyama haujawahi kutokea, inaonyesha wazi, basi hata kutoa rambi rambi kama chama mmeshindwa? wanafunzi walipogoma chuo kikuu mbio wafitinifu mkatoa tamko, na kila panapowaka moto hamchelewi kuutia mafuta.
nyie hasa ndio mafisadi wakuu wa nchi yetu
mwafrika wa kike CHADEMA kikipewa sio siri kitafanya unyama haujawahi kutokea, inaonyesha wazi, basi hata kutoa rambi rambi kama chama mmeshindwa? wanafunzi walipogoma chuo kikuu mbio wafitinifu mkatoa tamko, na kila panapowaka moto hamchelewi kuutia mafuta.
nyie hasa ndio mafisadi wakuu wa nchi yetu
JF imeingiliwa....
so MKUU what do you think is the solution ??????
Hizi discussions hazijengi kitu jamani.. Zitto kasambaza picha ama CHADEMA hakikutoa rambi rambi nafikiri hazijengi wala kusaidia kitu, zaidi ni kupunguza credibility ya hii JF. Kuna issue za muhimu na kushare na kuchangia....naomba kuwakilisha mkuu!!
nyie binaadamu nyie!!
kaumia MUdhhir kwenye ajali mkafurahi na kupongezana, mmesahau kabisa kama yule binaadam na ajali niko kinachotokea.
halafu mnapenda demokrasia na kuheshimu sheria kipi alichokosea kutumia haki yake ya kidemokrasia na kutoa hoja keshakuwa fisadi.
alieleta uongo sio fisadi?
sijawahi kuona, utu ndio mila na utamaduni wa watanzania, sijui utamaduni huu mpya mnaotaka kuupandikiza kwenye nchi yetu mmeutoa wa wapi?
lakini mtajizuru wenyewe na hasada zenu
Damu ya waliokufa Pemba na mwembechai inakulilieni toka huko makaburini waliko!
Wakina nani hao?
Wakina nani hao?