CHADEMA, mpira ni magoli sio chenga!

CHADEMA, mpira ni magoli sio chenga!

Honey K

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2008
Posts
629
Reaction score
72
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.

Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!
 
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.


Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!

Mdogo wangu Nape,wewe si ulishakatazwa kujihusisha na CHADEMA tu? Tutakutana vikaoni
 
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.

Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!
Hapo kwenye bold sijakuelewa,una maanisha "wanadai bila mzaha kuwa wameshinda"?Maana nimeshindwa kuelewa maudhui haswa ama lengo la thread hii.

Kwasababu kama statement hiyo bolded ni sahihi,then ina maana kwamba wanadai kwa mzaha kabisa kuwa wameshindwa(kwa kutumia hilo la "chenga tumewala).

Lakini tena kwa upande mwingine,kama ulimaanisha "wanadai bila mzaha kuwa wameshinda",then hilo la "chenga tumewala halina mantiki kwasababu ni mzaha.

Sasa umeznisha thread na sentensi kama tatu,lakini bado sijaona mantiki hapo.Funguka zaidi,kwa level yako ukianzisha thread tunategemea kukuta nondo na si kauli nyepesi zisizoeleweka.
 
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.

Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!

Duh! We dogo Nape kwa mipasho haujambo.

Hivi huu ni uenezi au utelezi?
 
Lakini kwenye sita kwa sita hata kama ukipiga bao kumi ni kazi bure kama hutamfikisha mwenzio kule kunako.

At the end of the day pamoja na bao zako kumi atamtafuta atakayempandisha hadi mlima kilimanjaro kwa staha na siyo fasta fasta.
 
Magwanda wanaanza jazba. Ni wakuwapa pole hawajui la kufanya.
 
Lakini kwenye sita kwa sita hata kama ukipiga bao kumi ni kazi bure kama hutamfikisha mwenzio kule kunako.

At the end of the day pamoja na bao zako kumi atamtafuta atakayempandisha hadi mlima kilimanjaro kwa staha na siyo fasta fasta.

Nilikuwa natafuta cha kumjibu huyu kijana.
Kwasababu wewe mzee mwenzangu umeamua kumjibu kwa lugha alotumia, basi mimi nabakia kusema....

Thanks you EMT for this useful post.
 
Last edited by a moderator:
Nape Mnauye katbu mwenezi bora kuliko wenezi wote ktk nchi yetu. Hii ni kutokana na uwezo wake wa kujenga hoja na kuitetea serikali ya ccm, pia ni mwepesi kutamka anapo ona chama kina shambuliwa, Pia ni mkweli sababu cdm walimtaka awaombe radhi la sivyo atapelekwa mahakamani mpaka leo hakuna kesi wala nini pia ndie mwenye uwezo wa kupambana na MBOWE na DK. SLAA.
 
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.

Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!

Kaka, umeamka toka usingizini...umekosa usingizi...unaota au una-msongo wa mawazo au umechoka na vuvuzela.
 
Nilikuwa natafuta cha kumjibu huyu kijana.
Kwasababu wewe mzee mwenzangu umeamua kumjibu kwa lugha alotumia, basi mimi nabakia kusema....

Thanks you EMT for this useful post.

Hata hivyo nategemea wafuasi wa Chadema watamuunga Nape mkono maana tokea juzi wamekuwa wakijisifia kuwala chenga CCM japokuwa walifungwa.

Hoja ya wafuasi wa Chadema hapa ni: Wametufunga lakini tumewala chenga. Utaikuta hii hoja kwenye thread kama hizi
CCM Kata 22=kura 29 000
CHADEMA Kata 5=kura 28 800

Hapa nani mshindi?

: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/347831-uchaguzi-wa-madiwani-ccm-kata-22-kura-29-000%3B-chadema-kata-5-kura-28-800-a.html
 
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.

Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!



TATIZO NI KUWA CCM INAWEZA KUTENGENEZA KATA HATA ZIKIWA NA WATU 30 WAAMINIFU WA CCM ILI TU Kuonyesha kuwa Imeshinda...

USHINDI WA CCM Unajulikana NI WIZI; UFISADI; hata NDANI YA JUMUIA za CHAMA CCM KULIKO Wewe kama Katibu MWENEZI Unahitaji kuondoa huo UFISADI na WIZI wa Wanachama wa CHAMA TAWALA cha CCM kuliko kuhangaikia kuongelea MAGOLI wakati STATISTICALLY POPULATION RATIO haionyeshi USHINDI MKUBWA ILA KUJAZANA NA KUPEANA VYEO kama Kawaida

Mtoto wa MZAZI wa CCM; LAZIMA APATE CHEO CHOCHOTE NDANI ya Serikali ya CCM

BUT WHAT GOES AROUND COMES AROUND... CCCP KILIKUFA isiwe CCM???
 
Hata hivyo nategemea wafuasi wa Chadema watamuunga Nape mkono maana tokea juzi wamekuwa wakijisifia kuwala chenga CCM japokuwa walifungwa.

Hoja ya wafuasi wa Chadema hapa ni: Wametufunga lakini tumewala chenga. Utaikuta hii hoja kwenye thread kama hizi


: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ura-29-000;-chadema-kata-5-kura-28-800-a.html


NI POINT GANI KAIONGELEA; Kweli Unaona ni KIONGOZI anayefanya USHABIKI?
Nasikitika kweli NCHI YETU inakokwenda kama VIONGOZI ndio hawa Washabiki

Mategemeo yangu ni kuwa angeongelea NI JINSI GANI WALISHINDA kama HAWAKUTUMIA PESA Ni HOJA GANI ZILIWAFANYA hao Wananchi wa VIJIJINI Kuipigia kura CCM

NI Mipango Gani Wanayo ya KUZUIA RUSHWA, UFISADI na ULAJI wa MALI za UMMA?

Ni lini CHAMA CHA CCM kitaacha kutukuza WATOTO wa VIONGOZI?

Kuna MENGI AMBAYO YANAULIZWA na Wananchi Walio WENGI wa MIJINI kuhusu CCM

Na SIO KUFUNGA MAGOLI na KUPIGA CHENGA - HUO NI UTOTO; there is no SENSE - I CRY for MY BELOVED COUNTRY!!

*** TUNA TATIZO la UDINI Umeshasikia kiongozi NAPE NNAUYE KULIONGELEA?
ANAJUA TU KUMTUKANA Dr. SLAA na KUFUNGA MAGOLI??



 
mchezo huu mi rahisi kuelewa nashangaa hata katibu wao mwenezi ana kichwa kigumu kuelewa.

CCM ILIKUWA INATETEA KATA JUMLA 25
CHADEMA KATA 2
CUF 1
TLP 1.

KIPENGA KIMEPIGWA BAADA YA DAKIKA TISINI.
MATOKEO.
CCM KATA IMERUDISHA KATA 23 IMEPOTEZA KATA 2
TLP 1 IMERUDISHA KATA YAKE 1 IMEONGEZA KATA 0
CHADEMA 5 IMERUDISHA KATA ZAKE 2 NA IMEONGEZA KATA 3
CUF IMEPOTEZA KATA 1 HAKUNA WALICHOONGEZA.

Kitu simple kama hicho kina ugumu gani wa kuelewa wakati kitu kinaonyesha losers na winner ni nani ndiyo maana nchi tuna matatizo
makubwa ya uongozi kama kiongozi wa chama kikubwa kama hiki haelewi hesabu rahisi namna hii unategemea anao uwezo wa kutatua matatizo ya wananchi kweli.
 
Tatizo la Nape ni kutuwekea hoja na kukimbia! Hakai hapa kujibu hoja kinzani wala zinazomsapoti. Na huu ni utoto!
 
mchezo huu mi rahisi kuelewa nashangaa hata katibu wao mwenezi ana kichwa kigumu kuelewa.

CCM ILIKUWA INATETEA KATA JUMLA 25
CHADEMA KATA 2
CUF 1
TLP 1.

KIPENGA KIMEPIGWA BAADA YA DAKIKA TISINI.
MATOKEO.
CCM KATA IMERUDISHA KATA 23 IMEPOTEZA KATA 2
TLP 1 IMERUDISHA KATA YAKE 1 IMEONGEZA KATA 0
CHADEMA 5 IMERUDISHA KATA ZAKE 2 NA IMEONGEZA KATA 3
CUF IMEPOTEZA KATA 1 HAKUNA WALICHOONGEZA.

Kitu simple kama hicho kina ugumu gani wa kuelewa wakati kitu kinaonyesha losers na winner ni nani ndiyo maana nchi tuna matatizo
makubwa ya uongozi kama kiongozi wa chama kikubwa kama hiki haelewi hesabu rahisi namna hii unategemea anao uwezo wa kutatua matatizo ya wananchi kweli.

atuambie kwa hesabu hizi, anajivunia kuishinda wapi cdm!?
 
atuambie kwa hesabu hizi, anajivunia kuishinda wapi cdm!?

ndio wanavyokaa kwenye vikao vyao wanadanganyana na m-kiti wao anakubali bila kuhuliza simple question tulikuwa na talanta 25 mmerudi na talanta 23/22 halafu mnadai accord. to NAPE mmerudi na ushindi/faida na m-kiti anafurahi utasema kweli ni kosa kwa baadhi ya watanzania ku question judgement ya mwenye talanta/m-kiti ya kukubali uongo ambao hata mtoto mdogo wa darasa la kwanza anauona.
 
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.

Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!

Hivi wewe Nape huna kazi nyingine za kufanya kila leo Chadema Chadema kaka hawa jamaa wa Chadema hutawaweza kwani wao wantumia akili sana na wewe unatumia Umasaburi ndio maana kila leo waota Chadema.Hivi wewe huelewi tu kuwa umeshindwa sasa angalia anguko la 11.1% na Chadema kupanda kwa 60% hapo bado tu huoni kama umeyumba,Uliambiwa na Mh John Heche kama uko na watoto 10 na 3 wakafariki utacheka au utalia japokuwa wamebaki 7??hebu tumia kichwa kufikiri usitumie miguu.
Hivi wewe ni katibu muenezi au ni katibu wa Propoganda maake hueleweki.
 
Nnauye Jr,
Usiwe unaweka mada na kukimbia.
hili sio jukwaa la STATUS........unaweka status yako na kutambaa zako.

Can you be a man for a second?
 
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.

Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!

Mnashinda kwa hila mabove na rushwa sehemu ambazo viti vya madiwani vilikuwa wazi na CHADEMA walikuwa wazi kushinda mlihakikisha uchaguzi haufanyi mfano Sengerema. CCM mnashinda kwa mabavu kwa kutumia vyombo vya dola kama uchaguzi ungekuwa wazi wa haki bini haki bila watendaji na wakuu wa wilaya kuingilia msingeshinda kama vile ambayo CCM haijawahi kushinda mfumo wa vyama vingi Zanzibar tangu mfumo huo uanzishwe.

Uchaguzi uligubikwa kwa vurugu, fujo, ufujaji, vitisho, ukiukaji wa uchaguzi, rushwa toka CCM na mabavu ya chama tawala haukuwa uchaguzi huru wala wa haki nafikiri ulisikia jinsi viongozi wa CHADEMA walivyoumizwa Mashishanga mbunge wa viti maalumu na Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa na hakuna kauli hata moja toka serikalini kukemea huo uhalifu

Kwa kifupi CCM mtatoka kwa mabavu kama kwa kura hamtaweza mfano Misri, Libya, Tunisia na sasa Syria au UPC walivyotoka kwa mabavu chini ya Museveni chama kimegeuka cha kindugu ndugu za rais wanapita bila kupigwa urais unanunuliwa waziwazi kuanzia Kikwete alivyonunua uras na sasa Lowassa ndio maana Kikwete hana ubavu wa kumzuia maana Lowassa anajua kuwa Kikwete alitumia njia hizohizo kwenda Ikulu jana kashinda mfuasi mwingine wa Lowassa kanunua uongozi Wazazi what next? CCM mtatoka the time has come you better read the signs because the dogmas of the past will never prevent the storm present.
 
Sanamu la Michelen......

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom