Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.
Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.
Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!
Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.
Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!