CHADEMA, mpira ni magoli sio chenga!

CHADEMA, mpira ni magoli sio chenga!

Wanaodhani na kueneza nimekimbia si sawa, si kweli...SINA MUDA WA KUKESHA NA NYIE, MUNGU ALIUMBA USIKU TUPUMZIKE.....POLENI MLIOKESHA KUSUMBUA VICHWA MTAPOTOSHAJE UKWELI KUWA....mpira magoli si chenga......

Nawashukuru mliotambua na kukiri kuwa "nape kiongozi mkubwa" ...walau akili zimeanza kuwarudia huo ni mwanzo mzuri....! LAKINI KUBWA HAPA PIA NIMEFURAHI UKIRI WENU KUWA MAJIMBO NA KATA ZOTE NI MALI YA CCM, NDO MAANA YA HESABU YENU YA KATA MBILI KUZICHUKUA NA MKAFURAHIA KAMA MAJUHA....MPIGE HESABU HII HATA MWAKA 2014 NA 2015......MUWE NA LUGHA HII HII.....HAKIKA MTAONYESHA UKOMAVU MKUBWA SANA WA KISIASA....

ushindi wa magoli ya ofside kama manchester jumapili, subili ushindi wa ukweli kama wa chelsea jumatano bila ofside,
ndio utajua kua 2015 refa atakua sio wenu'tume ya katiba',
hamna goli la mkono 'kuiba kura'
goli la offside'daftari la wapiga kura.
 

NI POINT GANI KAIONGELEA; Kweli Unaona ni KIONGOZI anayefanya USHABIKI?
Nasikitika kweli NCHI YETU inakokwenda kama VIONGOZI ndio hawa Washabiki

Mategemeo yangu ni kuwa angeongelea NI JINSI GANI WALISHINDA kama HAWAKUTUMIA PESA Ni HOJA GANI ZILIWAFANYA hao Wananchi wa VIJIJINI Kuipigia kura CCM

NI Mipango Gani Wanayo ya KUZUIA RUSHWA, UFISADI na ULAJI wa MALI za UMMA?

Ni lini CHAMA CHA CCM kitaacha kutukuza WATOTO wa VIONGOZI?

Kuna MENGI AMBAYO YANAULIZWA na Wananchi Walio WENGI wa MIJINI kuhusu CCM

Na SIO KUFUNGA MAGOLI na KUPIGA CHENGA - HUO NI UTOTO; there is no SENSE - I CRY for MY BELOVED COUNTRY!!

*** TUNA TATIZO la UDINI Umeshasikia kiongozi NAPE NNAUYE KULIONGELEA?
ANAJUA TU KUMTUKANA Dr. SLAA na KUFUNGA MAGOLI??




Sikia wewe nngu007!acha utoto wako inamaana bado hujakuwa tu ndugu yangu?,achana na hayo mambo yako ya kizama umeshakuwa ni umekuwa ofisa kabisa wewe na kwa sasa unasimamia watu kadhaa ambao wako chini yako?.kumbuka huu ni uhuru wa mawazo.halafu koma kabisa.
 
Duh! We dogo Nape kwa mipasho haujambo.

Hivi huu ni uenezi au utelezi?

Dogo nape kajifunza mipasho kwa Sophia Simba, aliwahi kuwaambia wanawake wawe wanyatunyima unyumba kwa kosa la kuikataa ccm. Mimi mke wangu nusura atwangwe talaka kwa kuponza na ccm, siku hizi hataki kusikia kauli za mipasho za magamba.
 
Nape mpira ni magoli ndyo lakin lazma hayo magoli yaangaliwe ka ni halali.
Lakini kwa jinsi ilivoandika na nina uhakika ndo mwisho wa uwezo wako wa kufikiri kuwa hata kama mechi ni ya football ikichezwa ready uwanja kwako ni sawa maadam refer katoa maamuz kuwa tim yako imeshinda.me nadhani kwa nafasi yako ungesimama na kudai fair game ili unachoshangilia kiwe na maana.
 
safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii napeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

bora uwaambien hawa watu cdm..vichwa maji kwa matokeao hayo wazi kabisa havihitaji phd kusema wameshindwa vibaya mno..
mfano kampeni zote zimefanywa na viongozi toka taifa kina babu slaa, mbowe etc na nguvu kubwa walitupia kupitia M4C lakini walichokiambulia haikiendani na nguvu na kujinadia kwao...
liko wazi kabisa chadema wanawafuasi lakini hawana wapiga kura... wakishindwa utakuta sababu et rushwa,daftari la wapiga kura kwani arumeru daftari lilisajiliwa upya??

ukweli uko wazi sehemu ambazo cdm wanashinda ni sehemu ambazo ccm wamegawanyika wao kwa wao au kuna makundi yamejitokeza baina yao lakini sehemu ambazo hakuna makundi ndani ya ccm ukweli uko wazi cdm hawawezi shinda na ushahidi tumeona arumeru na sehemu nyingine ambazo cdm wameshinda.......
na tukiwaambia cdm bi taasisi ya watu wawili hawaamini mana chama kipo arusha ,moshi na mwanza kidogo chama hata viongozi wa mashina vijiji hakina sasa utajinadi vipi kuwa mtashinda au tunaelekea kushinda na husasani 2015???.na chama chenyewe anacho slaa na mbowe dar es salaam???.

endelea kujipa moyo hivyo hivyo .... ccm endeleeni kutekeleza ahadi kwa speed mbaya NTAFANYA VS NIMEFANYA .....Now napita daraja la kilombero naona ujenzi unaendelea
 
yani hiki chama hakitaweza kuja ongoza hii nchi kamwe..kwanza viongozi na wafuasi wao wabishi hata penye ukweli.... nguvu iliyotumiwa na cdm ,operation sangara,m4c na kampeni kupigwa na viongozi wa juu kabisa babu slaa,mbowe ,zito etc kweli mumeambulia kata 5 kati ya 29 alafu leo umnakuja macho mbelee et tumeshinda umeshinda nini sasa?????.....
toka mwaka 2010 baada ya uchaguzi cdm wanaendelea na kampeni maandamo,sangara ,m4c leo mwaka 2012 mnakuja pata viti 5?????.....
na mimi nawambieni cdm 2015 ndo mtapotea kabisa nasema kwa sababu cdm anayo babu slaa,mbowe dar es salaam.. cdn inawafuasi haina wanachama, viongozi ,wafuasi wa cdm wanapenda kusifiwa na sio kukosolewa.... na cdm ni chama ambacho kipo magazetini,jf,fb.
kaza buti nape endeleeni kutekeleza ahadi zenu na kazani mwambie mwakyembe aongeze train nyingeni dar ili zipishane tusafiri kwa rahaaa zetu..... NTAFANYA VS NIMEFANYA.
 
Mkorogo na taarabu...! ni rafiki kama ufisadi na vijisenti.......akili zako Nape aliye kuita NEPI hakukosea kabisa.
 
nape mnauye katbu mwenezi bora kuliko wenezi wote ktk nchi yetu. Hii ni kutokana na uwezo wake wa kujenga hoja na kuitetea serikali ya ccm, pia ni mwepesi kutamka anapo ona chama kina shambuliwa, pia ni mkweli sababu cdm walimtaka awaombe radhi la sivyo atapelekwa mahakamani mpaka leo hakuna kesi wala nini pia ndie mwenye uwezo wa kupambana na mbowe na dk. Slaa.
.sina chama lakini ninashawishika kujiunga na magamba.
 
Inatia huruma ninaposoma watani zangu wanapoamua kujifariji kwa kutunga wenyewe uzushi na kuuamini kuwa uzushi waliotunga wenyewe ni sahihi.!!!!!

CCM si ya kutaniana na mtu makini kwa sababu utani wao siku zote unadhuru, Kolimba mmoja, Kombe wa pili, Shija, acha wapinzani waliofia mikononi mwao kwa matumizi yao mabaya ya vyombo vya dola. etc

Wamefanana na timu inayojisifu kuwa eti pamoja na kufungwa magoli ya kutosha lakini aaah chenga tumewala...... aibu sana.!!!!

Ni kweli CCM siasa za nchi hii kwao ni mchezo ambao uwanja ni wao, marefa/waamuzi ni wao, wasimamizi wao, washiliaji ni wao, watazamaji ni wao na matokeo yanajulikana kabla ya mchezo. Kwa anayekubali utani na CCM ajue ukoma hadi kifo kinamzengea.

Sasa hapa kila wakijadili matokeo ya udiwani kwenye kata 29 ambapo waliambulia kata 5, wanadai bila mzaha kuwa WAMESHINDWA!!!!!

Inaeleweka CCM ni watu wa propaganda wenye akili zilizokufa ganzi kiasi hawajadili matokeo kwa sababu hawana habari na ushindani kwa sababu ya ubingwa wa rafu za kisiasa.

Nakushangaa lakini nikupongeze pia kujitokeza kwenye jamvi baada ya muda mrefu. Ila naamini umeingia kiushabiki kama ulivyowatuma vijana wako. NGUVU YA HOJA HUNA HAPA KWENYE WENYE FIKRA PEVU. JIONEE HURUMA WEWE NA CHAMA CHAKO MNAOCHEZA MCHEZO WA SIASA NCHINI MWETU.

Baadhi yetu humu tunachangia bila kuwa wananchama ila tunafarijika nakufaidika na michango makini na ya kipuuzi pia.
 
....................Haya ya kukatikiana viuno ndo mambo yao wanayoyaweza na kusambaziana miwaya kwenye kampeni zao. Huwa nahisi kutapika nisomapo utumbo aandikao huyu Nepi. Watu wanapojadili mambo ya msingi katika mustakabali wa taifa haonekani hapa ila kwa habari hizi za mipasho lazima atimbe humu. Habari za mipasho kawatafute akina Hadija Kopa na wenzako wengine akina Nchemba, Lusinde na kiranja wenu ndo mtaenda sawa.
 
Chadema wamelinda magoli yao 2 walio kuwa nayo hapo awali.wamepiga chenga wakapata magoli 3 toka ccm.ccm wameshindwa kulinda magoli yao25 waliyokuwa nayo hapo awali wamenyang'anywa magoli 3 na chadema.wamepiga chenga ili wapate magoli kutoka chadema,tlp na cuf wameambulia patupu.sasa wana weweseka kutokana na majeraha 3waliyoyapata toka chadema.Chadema songa mbele kumjeruhi tembo majeraha 3 si kazi ndongo ipo siku tembo atakuja kuangushwa chini hapo ndipo watanzania tutakapo fanya sherehe kubwa kitoweyo kitakuwa ni nyama ya tembo.
 
Sikia wewe nngu007!acha utoto wako inamaana bado hujakuwa tu ndugu yangu?,achana na hayo mambo yako ya kizama umeshakuwa ni umekuwa ofisa kabisa wewe na kwa sasa unasimamia watu kadhaa ambao wako chini yako?.kumbuka huu ni uhuru wa mawazo.halafu koma kabisa.

SIJUI MAMBO yangu ya KITOTO ni YAPI... Kama Umeshindwa kujibu HOJA yangu...PLEASE don't GO AROUND THE BUSH!!!
 
We kwel kilaza huoni ka kuna KATA mmenyanganywa? Znatosha mpaka 2015 vp
 
Ingekuwa ni magoli, wako wapi malindi, mlandege, small simba, kikwajuni, gorlmahia, express, wale wa england wako wapi notinhamforest mabingwa wa ulaya mara mbili back to back. Ni bora kuwa kama arsena kuliko kubebwa na refa au kutegemea fedha kununua wajirani ili uonekane bora.
 
Nape Mnauye katbu mwenezi bora kuliko wenezi wote ktk nchi yetu. Hii ni kutokana na uwezo wake wa kujenga hoja na kuitetea serikali ya ccm, pia ni mwepesi kutamka anapo ona chama kina shambuliwa, Pia ni mkweli sababu cdm walimtaka awaombe radhi la sivyo atapelekwa mahakamani mpaka leo hakuna kesi wala nini pia ndie mwenye uwezo wa kupambana na MBOWE na DK. SLAA.
Time will tell.
 
Hivi wewe Nnauye Jr, unafikiri kabla ya kuandika kaka yangu? Mimi Ni mwanachama we ccm na nitabaki kuwa hivyo ila penye ukweli tuseme.... Nijibu falsafa ya kujivua gamba imeishia wapi? Lowassa anazidi kupepea na ufisadi wake na sasa NEC inaundwa na 80% ya kambi yake... Unabisha??? Yaliyotokea UWT na UV-CCM ni aibu tupu... Au unayazungumziaje hayo?? Grow up acha kuandika mipasho Kama na wewe Ni kundi la UWT na mipasho kama kina kopa!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom