Kwani leo ungekaa tu kimya ili siku moja moja nako uonekane sio mpumbavu ungepungukiwa na nini? Kosa hapo ni nini?Wazungu husema hivi "Once is an accident, Twice is a Coincidence, but Thrice is a Pattern". Hizi namba zipo kamili kama hesabu za hela? CHADEMA mnapenda namba lakini hamjui hesabu.
View attachment 2220660
Kwanini mnahangaika na chama ambacho kimeshajifia? Mlituaminisha kuwa chama mbadala ni ACT, ghafla mnataka kuanzisha Umoja Part.Wazungu husema hivi "Once is an accident, Twice is a Coincidence, but Thrice is a Pattern". Hizi namba zipo kamili kama hesabu za hela? CHADEMA mnapenda namba lakini hamjui hesabu.
View attachment 2220660
Kwani kiko Bungeni au Ikulu?Kwanini mnahangaika na chama ambacho kimeshajifia? Mlituaminisha kuwa chama mbadala ni ACT, ghafla mnataka kuanzisha Umoja Part.
Sasa kwanini muumizwe na chama ambacho hakina madhara kwenu? huo muda mnaotumia kukiwaza chadema iliyokwishajifia utumieni kutatua kero za watanzania wanaoumizwa na kodi ambazo bunge la ccm limezianzisha.Kwani kiko Bungeni au Ikulu?
Hata mioyoni mwa watanzania hakimo kivile!